Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

duu
 
Hamjui kibaka Mwaipopo huyo kawaibia waislamu swala Tano na mihadhara yake ya kusingizia kuwa Wakristo kibao wanaslimu wanafukuzwa majumbani akaomba misaada kibao ya kujenga misikiti Eti Walau wawe wanalala misikitini Kwa kuanzia sababu wengi wanaosilimu wanaume waislamu wakampa mahela kibao akajenga vimisikiti kibao barabara ya Dar kwenda mbeya Hadi porini barabarani barabara kuu vile vyenye rangi ya kijani juu waamini uislamu Tanzania Wakristo wamesilimu Kila Kona ile misikiti hiyo ya barabarani barabara ya mbeya Kwake ya Dar mbeya mingi wanaishi mijusi na ngedere hakuna Cha mwislamu hata mmoja eneo Hilo majani yameota Hadi kibla

Sema alienda Saudi Arabia au wapi sikumbuki vizuri wakapata taarifa kuwa tapeli wakampangia hoteli kubwa wakaweka DVD za ngono za EX kwenye chumba kumpima na kamera zinamulika Kipindi hicho bwege hajui

Akawa hata halali kumbe anaangalia tu video za X walimfukuza kama mbwa hata hajuruhusiwa kutoa mawaidha kule na ripoti zake za mamilioni Tanzania Wakristo wanaslimu kuwa waislamu

Binafsi nimpongeze kuibia waarabu waliuza Babu na Bibi zetu na kubeba biashara ziwe pembe za ndovu nk hawajawahi lipa TRA Hao akina Tip tip nk Wacha awaibie waturudishie Walau kiasi

Hajatapeli Watanzania Sina kesi naye Sheikh Mwaipopo songa mbele kwapulia Hao waarabu waislamu Babu zao ukoo wa Tip tip wametuibia sana wakwapulie wekeza Tanzania
Anayemfuata huyu mwehu basi naye atakuwa ni mwehu mwenzake
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

Profesa wa kiarabu huyo.... Yaani huyo ndo wanamtegemea... Na Hapo ndo kamaliza... Hakuna anaye weza kupangua hoja zake huko uarabuni...
 
Mnyakyusa na uislamu Wapi na Wapi,, Sisi Kwetu kitimoto Ni Kama chai ya Asubuhi.. wanyakyusa Karibu Wote wanakula nguruwe
 
Hamjui kibaka Mwaipopo huyo kawaibia waislamu swala Tano na mihadhara yake ya kusingizia kuwa Wakristo kibao wanaslimu wanafukuzwa majumbani akaomba misaada kibao ya kujenga misikiti Eti Walau wawe wanalala misikitini Kwa kuanzia sababu wengi wanaosilimu wanaume waislamu wakampa mahela kibao akajenga vimisikiti kibao barabara ya Dar kwenda mbeya Hadi porini barabarani barabara kuu vile vyenye rangi ya kijani juu waamini uislamu Tanzania Wakristo wamesilimu Kila Kona ile misikiti hiyo ya barabarani barabara ya mbeya Kwake ya Dar mbeya mingi wanaishi mijusi na ngedere hakuna Cha mwislamu hata mmoja eneo Hilo majani yameota Hadi kibla

Sema alienda Saudi Arabia au wapi sikumbuki vizuri wakapata taarifa kuwa tapeli wakampangia hoteli kubwa wakaweka DVD za ngono za EX kwenye chumba kumpima na kamera zinamulika Kipindi hicho bwege hajui

Akawa hata halali kumbe anaangalia tu video za X walimfukuza kama mbwa hata hajuruhusiwa kutoa mawaidha kule na ripoti zake za mamilioni Tanzania Wakristo wanaslimu kuwa waislamu

Binafsi nimpongeze kuibia waarabu waliuza Babu na Bibi zetu na kubeba biashara ziwe pembe za ndovu nk hawajawahi lipa TRA Hao akina Tip tip nk Wacha awaibie waturudishie Walau kiasi

Hajatapeli Watanzania Sina kesi naye Sheikh Mwaipopo songa mbele kwapulia Hao waarabu waislamu Babu zao ukoo wa Tip tip wametuibia sana wakwapulie wekeza Tanzania

Hizi hadithi za vikao vya mbege zinaiangamiza chadema
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

Mganga wa kienyeji na Dini yake ya "SHETANI" Awamu ya 5 waliishindwa Chadema nyie wavaa kobazi mutaiweza? Sasa Chadema wako na Mungu, nyie simameni na Shetani na hamtashinda wala mahali penu hapataonekans kizazi cha NYOKA nyie.
 
Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!

Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.

Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication

hili ni lipumbavu fulani tu limeshiba ubwabwa kwahiyo linatafuta pakupumulia. kwanza tangulini mnyakyusa akawa muislam, si itakuwa mbegu ya mnyakyusa fulani tu hapo alimjaza mimba mama wa ndugu katika imani huko akatokea yeye? zaidi ya yote hata kama mimi sio chadema, sidhani kama hao ndugu zake katika imani wengi wake wana kadi za chadema, atakusanya hewa tu. mbuzi kasoro mkia.
 
CCM huwa inastawi kwenye Siasa za chuki na kubaguana, Watanzania wenzangu tusikubali hawa Wanasiasa watuchezee huyu Shehe ana Baraka za Viongozi wa CCM katumwa huyu.
 
Back
Top Bottom