gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,406
- 3,888
,Namuunhga mkono Sheikh Mwaipopo, anaongea ukweli mtupu, Chadema ni washenzi na wadini sana,Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Hizi porojo na kampeni zenu zinawafaa nyinyi wenyewe,
Sheikh Mwaipopo kamatia hapo hapo
Acha kuwa muoga wewe, hawa wanajifanya sisi watanzania, lakini hakuna kitu, hawampendi Samia just because ni Mwislamu,Huyo ni mnyakyusa wala sio shekhe waislamu hatumuungi mkono angalia tu alivyo mtu wa hovyo kabisa.
Hakuna muislamu anaweza kuunga mkono huyo mjinga ,clip imesambaa magroup kibao watu wanampinga...
Hushangai ni wewe peke yako humu, halafu wote waliovalia njunga ni mbuzi tupu.*
Hapa litawaka moto na bani itanihusu, tusubiri