Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Watanzania tukigongwa utosini na ukweli tunaanza kulalamika.
Holidays tu tunazimalizia majumbani mwetu. Kuna Watanzania wengi hata vivutio mbali mbali vya ndani hawajawahi kuvitembelea achilia mbali kutoka nje ya mpaka wa nchi. Siyo cha kushangaza kukutana na watalii wengi wanaifahamu vizuri Tanzania zaidi ya Watanzania wenyewe.
Hata mizunguko ya Africa mashariki kwa Watanzania ni luxury achilia mbali kwenda kutafuta kazi au ujasilimali kwenye nchi hizo.
Sijui ni kuridhika kimaisha au ni ukosefu wa uwezo kifikra katika kubuni mbinu mpya kimaendeleo.
Ukweli ni ukweli pamoja na kwamba unauma.
Holidays tu tunazimalizia majumbani mwetu. Kuna Watanzania wengi hata vivutio mbali mbali vya ndani hawajawahi kuvitembelea achilia mbali kutoka nje ya mpaka wa nchi. Siyo cha kushangaza kukutana na watalii wengi wanaifahamu vizuri Tanzania zaidi ya Watanzania wenyewe.
Hata mizunguko ya Africa mashariki kwa Watanzania ni luxury achilia mbali kwenda kutafuta kazi au ujasilimali kwenye nchi hizo.
Sijui ni kuridhika kimaisha au ni ukosefu wa uwezo kifikra katika kubuni mbinu mpya kimaendeleo.
Ukweli ni ukweli pamoja na kwamba unauma.