Mwai Kibaki awadharau watanzania!

Mwai Kibaki awadharau watanzania!

Kwanini haikubadilishwa ile Nyerere road?
 
Lo! yatakushinda ZIPUWAWA!!!!!!! Kama wewe ni mwanamume katu hutaishi na mke! kama we mwanamke basi siku moja utasutwa!
Watu wote tumemsikia huyo mzee lakini wewe na negativity zako, umesikia unayoyawaza kichwani mwako. Kazungumza kiswahili hukumwelewa, angezungumza kiingereza sijui ungetoa thread gani!!!!!!!!!!!

Tuseme alimaanisha ulivyosema, je wewe hata mikumi ulishatembelea? pengine hata coco beach hupajui
Naishi na mke na familia yangu vizuri sana natamani na wewe kama ni mwanaume uwe house boy uonenitakavyokumiliki vizuri na kama mwanamkwe nitakuacha umilikiwe na mkwe wangu tu..............swala lipo wazi hilo kama hukuelewa ni wewe......kawaida ya watu kama wewe unaelewa juu juu "think Big"
 
maskhara hayo, keshaiona pasport ya fastjet? mwambien aache utan
 
Naishi na mke na familia yangu vizuri sana natamani na wewe kama ni mwanaume uwe house boy uonenitakavyokumiliki vizuri na kama mwanamkwe nitakuacha umilikiwe na mkwe wangu tu..............swala lipo wazi hilo kama hukuelewa ni wewe......kawaida ya watu kama wewe unaelewa juu juu "think Big"

Acha ubishi wewe! nasi pia tumemsikia hilo la dharau ni tafsiri yako potofu hakuwa na maana hiyo hata kidogo
 
Ukitaka kupatana na m'bongo, mpe sifa ambazo hastahili.
 
Naishi na mke na familia yangu vizuri sana natamani na wewe kama ni mwanaume uwe house boy uonenitakavyokumiliki vizuri na kama mwanamkwe nitakuacha umilikiwe na mkwe wangu tu..............swala lipo wazi hilo kama hukuelewa ni wewe......kawaida ya watu kama wewe unaelewa juu juu "think Big"


Dense and thick! ho hohohoh........usitafute umaarufu, simple mind!!!!!!!!!
 
Naunga mkono kwa JK kumzawadia barabara Mwai Kibaki simply because

Je, Kibaki aliingiaje madarakani ktk term yake hii ya pili?

Je, Kikwete ameingiaje madarakani ktk term yake hii ya pili?

Na iwapo njia zao kuingia madarakani hazifanani...SIUNGI MKONO.
 
Mkiambiwa ukweli na mabepari mnasema dharau ninyi mnakalia ujamaa ilihali dunia ya sasa haiko hivyo.
 
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais JK Kikwete kuipa barabara ya Old Bagamoyo yenye historia ya Tanzania na kumpa Mwai kibaki, ikumbukwe Mwai kibaki aliingia kwa nguvu Kenya na kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi Watanzania ni kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa Kibaki?

Source ITV habari saa 2000hrs usiku
Kapewa barabara kwa sababu wote ni wezi wa kura. Na kwa vile kuna uchaguzi pia nchini Kenya sasa hivi kaja kuchukua mbinu mpya za uchakachuaji ampelekee kijana wake Kenyatta akaibe kura kwani kabanwa mbavu na Odinga.
 
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.


Source ITV habari saa 2000hrs usiku

Kwani uongo?
Wewe mwenyewe kwenda Morogoro au Tanga mpaka kuwe na msiba!
 
tugombane sababu ya jina la barabara iliyofinyu na yenye mashimo,tunaacha kupigania ujenzi wa barabara bora ziendazo mashambani kweli siasa ni mbaya.
 
ni kweli... idadi ya wa k hapa tz ni kubwa kuliko ya wa Tz huko Kenya

Tanzania inatosha kuwaendeleza watanzania, kinachotakiwa ni kuwa mipango mizuri na uongozi thabiti. Kenya ardhi yote iko mikononi mwa wachache, lazima wakatafute. Kwani si unaona wachagga wanavyosambaa kila kona ya nchi kutafuta, kutokana na ukweli kwamba ardhi Kilimanjaro ni tatizo kulingana na idadi ya watu.
 
Rais wa kenya Mwai Kibaki leo akiwahutubia wazee wa Dar kwa niaba ya Watanzania amesema ''Watanzania hamjazoea kutembea'' maana yake kuwa watanzania wengi wanaishi Tanzania tu Je hi si dharau kwa Watanzania? Inamaana Watanzania huushi pwani tu na hatutoki nje ya nchi hivyo akasisitiza tuende kenya.

Hata hivyo kitendo cha serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais JK Kikwete kuipa barabara ya Old Bagamoyo yenye historia ya Tanzania na kumpa Mwai kibaki, ikumbukwe Mwai kibaki aliingia kwa nguvu Kenya na kusababisha mauaji ambayo leo hii hatosaulika kenya. Sisi Watanzania ni kipi kilichotufanya barabara ya kihistoria kupewa Kibaki?

Source ITV habari saa 2000hrs usiku

For so saying kakosea wapi?
 
Back
Top Bottom