Mwafrika bila mzungu si chochote

Mwafrika bila mzungu si chochote

Tukitaka tusiwe watumwa wa wazungu tunatakiwa Hata Elimu na lugha vyote tubadili tangu nursery
 
1.africa ya kusini kabla ya mandela kuwa huru ilikuwa na uchumi unaotisha na timu kali( bafanabafana ),baada ya waafika kushika dola uchumi hauridhishi na timu imebaki jina
2.wachezaji wa soka toka africa kama yaya toure,drogba,etoo nk utawajua ni wachezaji wakiwa ulaya wakija kuchezea timu zao za afrika si lolote si chochote
3.zimbabwe kabla ya uhuru ilikuwa kama london mliofika harare mtaona mitaa yake ilivyo sasa si lolote si chochote
4.tanzania kiwanda cha bia na sigara vilitaka kufa baada ya wazungu kuvichukua vinaongoza kwa kulipa kodi
5.reli zote za tanzania ,(tazara mchina)majengo mazuri ya serikali kando ya bahari ya hindi including ikulu na oysterbay ni kazi ya wazungu
6.chaguzi zote za kidemokrasia huwa zinapata bajeti toka kwa wazungu
7.wasomi wazuri wa afica wengi wao waliwahi kwenda nje ya nchi kujiendeleza kielimu
8.karne ya kumi na tano africa na ulaya vilikuwa sana kiuchumi na kitechnolojia leo ni mbingu na ardhi

hitimisho
kwa vile katiba zetu zinaandaliwa na waafika wenyewe si lolote si chochote

Umetukana uafrika hadi nimeogopa, sijawahi kudhani watu kama nyie mpo.
 
Mkuu Kijakazi Walioishi nyumba za kimila zilizoezekwa kwa nyasi waliona kuwa kuishi humo ni tatizo?
Mbona dola za misri na Afrika magharibi ziliwahi kuwa juu hata kuliko hao unaowataja? Kama waafrika wasingekuwa na uwezo yangewezekanaje hayo?

Hawakuona kama ni tatizo kwa kuwa hawakuwa na namna nyingine lkn haimaanishi kwamba ilikuwa ni njia bora ya kuishi kama ingekuwa hivyo leo hii tusingekuwa tunatumia fedha nyingi kujenga nyumba Imara tungebaki huko kwenye nyasi!

Unaongelea mambo ya Misri, hayo mimi sijui, siwezi kuanza kujadili mambo yaliyotokea miaka 4000 iliyopita kabla ya Yesu kuzaliwa, mimi naishi leo na ninaona mambo jinsi yanavyokwenda kwamba tatizo letu kubwa ni uwezo mdogo wa kutatua matatizo, ni hivyo tu!
Isitoshe hata kuhusu Misri yenyewe kama wewe ni Mtz na umezaliwa TZ ni Mzungu ndiye aliyekufundisha hata kulikuwa na mafarao, kama unataka kupinga pinga tu, lkn ndio UKWELI huo, mimi bibi yangu kijijini nikimuuliza Mambo ya farao wala hajui achilia mbali hata kujua kama kuna Nchi inaitwa Misri!

Tunarudi palepale Uwezo mdogo wa kiakili ndio Adui yetu Mkubwa, angalia hii inayokitwa Katiba Mpya tumetumia mabilioni ya fedha kukarabati hili linaloitwa Bunge la Katiba, lkn mpaka leo hii hakuna jipya na bado watu wanendela kulipana fedha bila ya kazi,sasa kama walijua hawataki Katiba ni kwanini hawakupeleka hizo fedha kujenga Shule? Kwa nini hakuna Mtu aliliona Hili? Hapo ni Akili tu ndugu, kama umesoma Hisabati ndio utaelewa vizuri kuna watu wanakaa siku nzima kujaribu kukokotoa swali moja la hesabu mwingine ukimpa swali hilo hilo anatumia dakika 2 anakupa jibu, hivyo huyu wa dakika 2 ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kutatua tatizo, Ni rahisi kihivyo tu!

 
Umetukana uafrika hadi nimeogopa, sijawahi kudhani watu kama nyie mpo.
sijatukana ni ukweli mchungu ndugu yangu tetea uafrika wako kwa point
 
Aah,ndo upeo wako wakufikilia ndipo ulipoishia,we wa kuhurumiwa
 
Hawakuona kama ni tatizo kwa kuwa hawakuwa na namna nyingine lkn haimaanishi kwamba ilikuwa ni njia bora ya kuishi kama ingekuwa hivyo leo hii tusingekuwa tunatumia fedha nyingi kujenga nyumba Imara tungebaki huko kwenye nyasi!

Unaongelea mambo ya Misri, hayo mimi sijui, siwezi kuanza kujadili mambo yaliyotokea miaka 4000 iliyopita kabla ya Yesu kuzaliwa, mimi naishi leo na ninaona mambo jinsi yanavyokwenda kwamba tatizo letu kubwa ni uwezo mdogo wa kutatua matatizo, ni hivyo tu!
Isitoshe hata kuhusu Misri yenyewe kama wewe ni Mtz na umezaliwa TZ ni Mzungu ndiye aliyekufundisha hata kulikuwa na mafarao, kama unataka kupinga pinga tu, lkn ndio UKWELI huo, mimi bibi yangu kijijini nikimuuliza Mambo ya farao wala hajui achilia mbali hata kujua kama kuna Nchi inaitwa Misri!

Tunarudi palepale Uwezo mdogo wa kiakili ndio Adui yetu Mkubwa, angalia hii inayokitwa Katiba Mpya tumetumia mabilioni ya fedha kukarabati hili linaloitwa Bunge la Katiba, lkn mpaka leo hii hakuna jipya na bado watu wanendela kulipana fedha bila ya kazi,sasa kama walijua hawataki Katiba ni kwanini hawakupeleka hizo fedha kujenga Shule? Kwa nini hakuna Mtu aliliona Hili? Hapo ni Akili tu ndugu, kama umesoma Hisabati ndio utaelewa vizuri kuna watu wanakaa siku nzima kujaribu kukokotoa swali moja la hesabu mwingine ukimpa swali hilo hilo anatumia dakika 2 anakupa jibu, hivyo huyu wa dakika 2 ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kutatua tatizo, Ni rahisi kihivyo tu!

kijakazi nakwambia michuano ya madola imefanya niamini kuhusu akili zetu,timu inapeleka mkimbiaji mwenye kidonda kupambana na usain bolt,hata kurusha mkuki na tufe ni kama mtihani wa hesabu,hilo la kusolve hesabu moja siku nzima na mwingine akalisolve kwa dakika mbili mimi HGL nimebaki kucheka
 
Hawakuona kama ni tatizo kwa kuwa hawakuwa na namna nyingine lkn haimaanishi kwamba ilikuwa ni njia bora ya kuishi kama ingekuwa hivyo leo hii tusingekuwa tunatumia fedha nyingi kujenga nyumba Imara tungebaki huko kwenye nyasi!

Unaongelea mambo ya Misri, hayo mimi sijui, siwezi kuanza kujadili mambo yaliyotokea miaka 4000 iliyopita kabla ya Yesu kuzaliwa, mimi naishi leo...
[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]
[/SIZE]
Basi kubali kuwa ni suala la wakati!
Wewe unasema huwezi kujadili mambo ya 4000 years ago lakini elewa kuwa kipindi hicho waafrica walikuwepo pia labda useme kuwa mafarao hawakuwa waafrika. Mimi siungi mkono uzembe wa kutotumia rasilimali vizuri ila nakataa hoja ya kuwa mzungu ana akili kuliko muafrika na ndipo tunaona kuwa ni suala la wakati tu. Kuna kipindi wahabeshi na wamisri walikuwa juu, kunakipindi warumi walikuwa juu, leo wamarekani, kesho wachina na wakorea, n.k. Ukifuta historia ukataka kujaji kwa kuangalia leo tu utakuwa unakosea. Kila mtu awe tajiri sasa nani atakuwa masikini? Matatizo ndiyo yanafanya watu waumize vichwa na kujua wafanyeje kujikwamua. Kama huna foleni kali hutofikiria flyovers hata sikumoja labda kama unahela za mapambo ukaamua kuupamba mji. Usitumie wingi wa matatizo kama kielelezo cha udogo wa akili.
Narudia tena siungi mkono viongozi kuendesha mashangingi, ufisadi na udhalimu wowote uliopo huku watoto hawana madawati, walimu, nyenzo imara za kufundishia, miundombinu bora n.k.
 
Basi kubali kuwa ni suala la wakati!
Wewe unasema huwezi kujadili mambo ya 4000 years ago lakini elewa kuwa kipindi hicho waafrica walikuwepo pia labda useme kuwa mafarao hawakuwa waafrika. Mimi siungi mkono uzembe wa kutotumia rasilimali vizuri ila nakataa hoja ya kuwa mzungu ana akili kuliko muafrika na ndipo tunaona kuwa ni suala la wakati tu. Kuna kipindi wahabeshi na wamisri walikuwa juu, kunakipindi warumi walikuwa juu, leo wamarekani, kesho wachina na wakorea, n.k. Ukifuta historia ukataka kujaji kwa kuangalia leo tu utakuwa unakosea. Kila mtu awe tajiri sasa nani atakuwa masikini? Matatizo ndiyo yanafanya watu waumize vichwa na kujua wafanyeje kujikwamua. Kama huna foleni kali hutofikiria flyovers hata sikumoja labda kama unahela za mapambo ukaamua kuupamba mji. Usitumie wingi wa matatizo kama kielelezo cha udogo wa akili.
Narudia tena siungi mkono viongozi kuendesha mashangingi, ufisadi na udhalimu wowote uliopo huku watoto hawana madawati, walimu, nyenzo imara za kufundishia, miundombinu bora n.k.
halafu swala la asilimia 80 ya watanzania kuwa wakulima nayo ni ishu kilimo chetu hakitumii akili business as usual,wabakie wakulima wachache let say 20 percent wawezeshwe kimaarifa na mitaji,wengine wafanye viwandani kwa kutumia mali ghafi za kutoka shambani upeo utaongezeka na uchumi utakuwa ulaya na nchi zilizoendelea hakuna hii kitu ya peasants,hata china imetransorm kwenda kwenye viwanda imeachana na ukulima mdogo
 
Tukitaka tusiwe watumwa wa wazungu tunatakiwa Hata Elimu na lugha vyote tubadili tangu nursery

Bila elimu ya mzungu utafundisha nini kwa lugha yako kama siyo jando na unyago plus uchawi. Herufi au maandishi utayatoa wapi kama siyo ya mzungu? Aha wazungu wako juu
 
Ni kama Mtu anayesema Waislamu SIYO Magaidi lkn Magaidi wote wametokea kuwa Waislamu! Hivyo ni sawa kwamba Akili haifuatani na ngozi lkn Maendeleo ya Mtu ni alama pekee ya uwezo wake wa kiakili, yaani uwezo wake wa kutatua matatizo, ndio unaotofautisha binadamu mmoja na mwingine, hivyo kwa kuwa sisi tumetokea kuwa masikini kuliko Binadamu yoyote yule Dunia Hii kwa kigezo chochote kile cha kupima Maendeleo ina maana uwezo wetu wa kutatua Matatizo ni Mdogo!

Unasema Ubelgiji isingejengeka kama isingekuwa Kongo kwanini isiwe kinyume chake? Wabelgiji waliwezaje kutoka Ulaya kuja Kumnyonya Mkongo?
Kama Mkongo alikuwa na Uwezo wa kutatua Matatizo huo unyonyaji usingemkuta ama angehakikisha kwamba wote wawili wanafaidika yaani mbelgiji na Mkongo Pia!

Mifano iko mingi, Ujapani walitawala Taiwani, Korea na Uchina pia waliiba Rasilimali nyingi lkn mwisho wa siku waligawana na wote wameendelea!

Waingereza walitawala Hong kong Pia kama vile walivyotawala Kenya au sijui Malawi sasa kwa nini Hong Kong ni Matajiri Malawi Masikini? Walitwala Singapore pia hata Malyasia na waliiba pia kama kwetu lkn ni kwanini waliweza kugawana hizo Rasilimali na kwetu walichukua zote?

Umeongea vitu vingi sana ambavyo vinahusu utawala na wala data zake hazipo spread throughout..., hivi unaposema wazungu unamaanisha Europe nzima ? unamaanisha Eastern Europe ambapo pia kuna masikini wa kumwaga au unaweka mpaka India ?

Unaweka mpaka Egypt kwenye Inventions za Pyramids n.k. as well as irrigation waliyokuwa wanaifanya kutoka kwenye mto Nile au unawaweka baadae sababu ya vita na mapigano na wao kupiga hatua nyuma ?

Umeongelea Belgium kutawala Congo.., hivi unadhani Belgium wangekuwa na kila kitu wangehangaika kuja Africa kutafuta malighafi ?

Kwahio narudia hata hapo kwenye magaidi sidhani kama haya mambo ya suicide bomber yalianzishwa na waislamu, mambo ya kutumia binadamu kama silaha pia yalifanywa na mjapan wakati wa vita baada ya Kamikaze Soldiers walivyokuwa wanaondoka na ndege ikipaa haina mafuta hata ya kutua na kutumia ndege zao kama silaha na wenyewe kujiua..

Sio kweli kwamba bila wazungu Africa hatuwezi kuendelea tukijipanga Africa ina kila kitu cha kuweza kujitegemea (as a continent) tofauti na Continents nyingine..., Hell if you believe History this is the Motherland... where life began...

Narudia tena Necessity is the Mother of Creation and Empires Rise and Fall huenda huu ni wakati wa Asia (China) na generations from now kutokana na changes fulani fulani ikatokea an African Empire ikawa juu
 
sijatukana ni ukweli mchungu ndugu yangu tetea uafrika wako kwa point

Kwa kifupi wazungu wanataka watu weusi wawe na akili na mtazamo kama wako, Hongera umefanikiwa kuwa mtumwa (mental slave).
 
Kwa kifupi wazungu wanataka watu weusi wawe na akili na mtazamo kama wako, Hongera umefanikiwa kuwa mtumwa (mental slave).
we ambaye sie mtumwa niambie hapo kwako kitu gani unatumia made in tanzania kama sio kitanda na godoro
 
Basi kubali kuwa ni suala la wakati!
Wewe unasema huwezi kujadili mambo ya 4000 years ago lakini elewa kuwa kipindi hicho waafrica walikuwepo pia labda useme kuwa mafarao hawakuwa waafrika. Mimi siungi mkono uzembe wa kutotumia rasilimali vizuri ila nakataa hoja ya kuwa mzungu ana akili kuliko muafrika na ndipo tunaona kuwa ni suala la wakati tu. Kuna kipindi wahabeshi na wamisri walikuwa juu, kunakipindi warumi walikuwa juu, leo wamarekani, kesho wachina na wakorea, n.k. Ukifuta historia ukataka kujaji kwa kuangalia leo tu utakuwa unakosea. Kila mtu awe tajiri sasa nani atakuwa masikini? Matatizo ndiyo yanafanya watu waumize vichwa na kujua wafanyeje kujikwamua. Kama huna foleni kali hutofikiria flyovers hata sikumoja labda kama unahela za mapambo ukaamua kuupamba mji. Usitumie wingi wa matatizo kama kielelezo cha udogo wa akili.
Narudia tena siungi mkono viongozi kuendesha mashangingi, ufisadi na udhalimu wowote uliopo huku watoto hawana madawati, walimu, nyenzo imara za kufundishia, miundombinu bora n.k.

Ninaposema uwezo wetu wa kutatua matatizo ni mdogo Si maanishi kwamba sisi genetically tuna uwezo mdogo wa kiakili kulinganisha na wengine la hasha! Bali lazima uwelewe akili ni kama msuli vile wewe hata kama una kipaji cha kuogelea kama haufanyi mazoezi ya kuogelea utashindwa na mtu asiye na kipaji lkn anafanya mazoezi kila siku!

Sasa tuanzie jinsi tunavyokuwa, Mtoto mdogo anahitaji kula protini kwa wingi ili ajenge Ubongo na hivyo kumuongezea uwezo wa kufikiri na kutatua matatizo hivyo kwa Mfano TZ Serikali wakiamua tu kila Mtoto kuanzia Miaka 0-5 apate glasi ya maziwa hata 0.3l kila siku tayari umeshamuongezea huyu mtoto uwezo wa kufikiri kwa asilimia zaidi ya 30%, ndivyo nchi nyingi wanavyofanya!

S
asa sisi asilimia kubwa ya watoto wetu wanakula Ugali mweupe na Maharage kila siku matokeo yake wanakuwa na Utapiamlo na kisayansi kuna ushahidi kwamba kukosa lishe bora kunaathiri maendeleo ya Mtoto ya kiakili na kumpunguzia uwezo wa kufikiri, sasa wengi wetu tumekulia hivi pmj na viongozi wetu, na ndio maana wanatumia milioni 200 kununua gari lkn watoto wanakaa chini, wanakwenda kumleta Mchina na kumuuzia/kumpa mgodi mzima wa Chuma pmj na Makaa ya Mawe ambayo ndio Mkaa wa jiko la kuyeyushia Chuma, sasa Dunia nzima hakuna mtu anafanya hivi, kitu kama Chuma na Makaa huwezi kugawa bure kwa mgeni, Mapinduzi ya Viwanda huanzia hapa kwenye Chuma na Makaa ya Mawe sasa tulichokifanya ni kwamba Uchina atachukua Chuma pmj na Makaa ya Mawe nakwenda kwao kutengezea bidhaa hivyo ni sawa kama umemkabidhi Mashine za kuzalisha Umeme, Bwawa la Kidatu mna maji yake halafu yeye akuuzie Umeme!

Hivyo kusema kwamba uwezo wetu wa kutatua Matatizo uko chini si kwamba ni tatizo ambalo huwezi kulitatua, inawezekana lkn ni lazima hatua zichuliwe kuanzia Watoto wadogo wapate chakula bora na chenye kujenga mwili na Akili na matokeo yake iwaongezee uwezo wa kutatua Matatizo!
 
Umeongea vitu vingi sana ambavyo vinahusu utawala na wala data zake hazipo spread throughout..., hivi unaposema wazungu unamaanisha Europe nzima ? unamaanisha Eastern Europe ambapo pia kuna masikini wa kumwaga au unaweka mpaka India ?

Unaweka mpaka Egypt kwenye Inventions za Pyramids n.k. as well as irrigation waliyokuwa wanaifanya kutoka kwenye mto Nile au unawaweka baadae sababu ya vita na mapigano na wao kupiga hatua nyuma ?

Umeongelea Belgium kutawala Congo.., hivi unadhani Belgium wangekuwa na kila kitu wangehangaika kuja Africa kutafuta malighafi ?

Kwahio narudia hata hapo kwenye magaidi sidhani kama haya mambo ya suicide bomber yalianzishwa na waislamu, mambo ya kutumia binadamu kama silaha pia yalifanywa na mjapan wakati wa vita baada ya Kamikaze Soldiers walivyokuwa wanaondoka na ndege ikipaa haina mafuta hata ya kutua na kutumia ndege zao kama silaha na wenyewe kujiua..

Sio kweli kwamba bila wazungu Africa hatuwezi kuendelea tukijipanga Africa ina kila kitu cha kuweza kujitegemea (as a continent) tofauti na Continents nyingine..., Hell if you believe History this is the Motherland... where life began...

Narudia tena Necessity is the Mother of Creation and Empires Rise and Fall huenda huu ni wakati wa Asia (China) na generations from now kutokana na changes fulani fulani ikatokea an African Empire ikawa juu

Nafikiri tunaongelea Vitu Viwili Tofauti, basi tuishie Hapo!
 
there is a problem some where kuna katuni niliona mwanakme wa kiafrika anafuata maji kilometa sita kwa ndoo horizontally wakati vertically maji yapo mita 6 ardhini hana nyenzo za kuyachimba
ukiielewa hii coment ina maana kubwa sana tatizo huyo mama hajui kama maji yako chini ya ardhi maana itahitajika vipimo
 
. mdukuzi nilikuwa nangalia itv habari magufuli anasema wamepewa tena hela na shirika la msaada wa japan ili wa malizie daraja la kigamboni, ina maana nssf wao ndiyo walikuwa wana fadhili huo mradi washaishiwa hela au?
 
Last edited by a moderator:
Kilichotupelekea kuwa hapa ni viongozi wetu wa kiafrica wanapenda sana kujilimbikizia mali na kutofuata utawala wa sheria wengi wao ndo waliojenga pembeni zafukwe, ukitumia sheria kuwabana watu wanawatetea ili ku gain political popularity kumbe ndo wanaharibu. Nyumba ikijengwa kusiko stahil ikivunjwa mbunge analaumu. Kwa stahil hii hatufiki popote
 
sijatukana ni ukweli mchungu ndugu yangu tetea uafrika wako kwa point



Hata mbwa wa kizungu ana maarifa kuliko mbwa koko wa kiafrika.
Kadhakika ngombe wa kizungu mmoja anazalisha maziwa mengi kuliko ng'ombe 10 wa kienyeji.

Hata mzungu mkulima anatumia maarifa ya kuzalisha kwa wingi kuliko mwafrika japo ardhi ya mwafrika ni bora zaidi.

Sio tu mazingira lakini nadhani kuna kitu cha ziada wakichojaliwa na mwenyezu Mungu huo ndio ukweli .
Huwezu kuwa na maarifa ya kitekinolojia kama unaamini tuu bila kutafuta maarifa. Leo hii mwafrika anakosa elimu kutokana na uzembe tu wa kwake mwenyewe kakini baadae anajuja mtu anamwaminisha kuwa umekosa elimu kwa sababu ya jina lako wewe huitwi Livingstine .
Anaanini kabisa ilhali akijua ni mtoro shuleni na hata wakiosoma nae wanjua kwamba alikua ni kilaza.
Anaanza kubadilisha mpaka jina .Hataki tena kuitwa Nashevhe ataitwa Juventus akijua kwamba ndio akili.
 
Kwa maoni yangu si kweli kwamba wazungu wote wana akili sana kuzidi mtu mweusi. Tatizo lililopo hayo tunayoongea sijui mzungu nini IPO AKILINI MWETU . Mtoto mdogo tu anaonyeshwa kwenye tv jinsi ulaya ilivyo kuzuri, shuleni mtu unasoma lakini unawaza bahati itokee uende Ulaya. Ni fikra tu ukweli Africa kuzuri tu kama Ulaya.
TUFANYE NINI?
Tusimamie sheria tu. Mafisadi wafungwe na mtu akituhumiwa tu kuwa amekula rushwa au kafisadi Afilisiwe na aende jela.
Ukikamatwa unakwepa kodi au unajishughulisha na biashara haramu unafilisiwa na jela.
Kesi ziwe zinaendeshwa na hakimu au judge zaidi ya mmoja na wasiofahamiana.
sheria haitatuondolea Ebola, Mzungu atatuondolea. Muda wowote kuanzia j3 watafungua mikoba yao kutupatia dawa.
 
ukiielewa hii coment ina maana kubwa sana tatizo huyo mama hajui kama maji yako chini ya ardhi maana itahitajika vipimo
so mtu atoke europe aje akuchimbie maji mita 6 ardhini some times lowassa na mapungufu yake tunahitaji watu wa dizaini ile shinyanga walikuwa hawana maji wakati ziwa victoria liko km chache aliamuru yapelekwe shinyanga
 
Back
Top Bottom