mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,071
- 132,532
ni jukumu la nani kuchimba hicho kusima ni yule anayenda kuchota maji km 6 au ? tatizo ni huyo anayekabidhiwa jukumu hilo kusimamia zoezi hilo badala ya kutekeleza ah wanafanya mambo mengine....Mdakuzi hii nimeipenda maji horizontal distance 6 km wakati vertical distance 6m,sipati picha hapo hypotenuse itakuwaje.Kwahyo tunashindwa kuchimba visima mita 6 lakini tupo radhi tukapoteze muda na nguvu za kutembea kwa kufata maji km 6.