Mwafrika bila mzungu si chochote

Mwafrika bila mzungu si chochote

its true wafrica tuna matatizo kupita maelezo......kuanzia viongozi wetu, hadi sisi raia...kuna usemi wa wale wabaguzi klu klaz clan kuwa hata mwafrica umfanyie nini ataishia kuharibu, tunaona watu wana haribu miundo mbinu watu wana ngoa vyuma vya madaraja watu wana iba mafuta ya transfoma....upande wa marais wetu ndiyo kabisa hawana uchungu wa nchi kusafiri kote nje na viongozi wetu tunashindwa kuweka miundo mbinu iwe katika hali nzuri ni aibu sana.....mleta mada hujakosea na ulichokisema
 
its true wafrica tuna matatizo kupita maelezo......kuanzia viongozi wetu, hadi sisi raia...kuna usemi wa wale wabaguzi klu klaz clan kuwa hata mwafrica umfanyie nini ataishia kuharibu, tunaona watu wana haribu miundo mbinu watu wana ngoa vyuma vya madaraja watu wana iba mafuta ya transfoma....upande wa marais wetu ndiyo kabisa hawana uchungu wa nchi kusafiri kote nje na viongozi wetu tunashindwa kuweka miundo mbinu iwe katika hali nzuri ni aibu sana.....mleta mada hujakosea na ulichokisema
mawaziri kibao wamesoma ulaya ardhi university na vyuo vingine wahitimu wa survey lukuki kila mwaka iweje tuwe na unsurveyd area 80 percent katika nchi yetu
 
Eh kumbe umerogwa. Haya bana. Aliyekuroga atakuwa kafa. Gone case. Subiria safari ya mbinguni labda huko hutowategemea wazungu.
 
mawaziri kibao wamesoma ulaya ardhi university na vyuo vingine wahitimu wa survey lukuki kila mwaka iweje tuwe na unsurveyd area 80 percent katika nchi yetu

tuna matatizo makubwaa sana kama mleta mada alivyosema kila kitu msaada kwa mzungu gas na vyanzo vya kuzalisha umeme vipo lakini bado tunakaa kwenye giza kwa sababu ya ukiritimba wao, vyanzo vya maji vipo sehemu nyingi shida ya maji yaani matatizo juu ya matatizo...
 
Hata hapahapa bongo watu walioajiriwa na multinational company wanatamani mabosi wawe wazungu maana ukimpa mbongo mishahara tar 15
 
tuna matatizo makubwaa sana kama mleta mada alivyosema kila kitu msaada kwa mzungu gas na vyanzo vya kuzalisha umeme vipo lakini bado tunakaa kwenye giza kwa sababu ya ukiritimba wao, vyanzo vya maji vipo sehemu nyingi shida ya maji yaani matatizo juu ya matatizo...

there is a problem some where kuna katuni niliona mwanakme wa kiafrika anafuata maji kilometa sita kwa ndoo horizontally wakati vertically maji yapo mita 6 ardhini hana nyenzo za kuyachimba
 
there is a problem some where kuna katuni niliona mwanakme wa kiafrika anafuata maji kilometa sita kwa ndoo horizontally wakati vertically maji yapo mita 6 ardhini hana nyenzo za kuyachimba

hana kwa sababu hao wanao takiwa kufanya hivyo wamekalia mahela waliyopewa ya msaada labda kufanya project kama hiyo....lakini hawafanyi wanakula wao watu wanabakia kuhangaika.....na viongozi wetu wanajua kuwaingiza kingi ma donurs wao wakijaga kuangalia miradi yao wanawapeleka sehemu siyo na kuwaonesha watu tofauti, hizo sjui hope founndation etc wanapigwa tu hela zao
 
its true wafrica tuna matatizo kupita maelezo......kuanzia viongozi wetu, hadi sisi raia...kuna usemi wa wale wabaguzi klu klaz clan kuwa hata mwafrica umfanyie nini ataishia kuharibu, tunaona watu wana haribu miundo mbinu watu wana ngoa vyuma vya madaraja watu wana iba mafuta ya transfoma....upande wa marais wetu ndiyo kabisa hawana uchungu wa nchi kusafiri kote nje na viongozi wetu tunashindwa kuweka miundo mbinu iwe katika hali nzuri ni aibu sana.....mleta mada hujakosea na ulichokisema

Umesahau Bila Mzungu Usingekuwa Jamiiforums Kwa Sababu Yeye Ndie Aliyetengeneza Internet.
Bila Mzungu Tusingekuwa Na Ukristo.
Bila Mzungu Kusingekuwa Na CONDOM
 
Hata hospitali au baadhi ya vyuo vikiwa vipya vikaendeshwa na wazungu vinakua na ufanisi mkubwa..ngoja muda wa wazungu uishe waafrica wakabidhiwe..within 2 years chuo kimeharibika na kama ni hospitali hata panadol au mkasi hakuna..its sad waafrica tubadilike this is 2014!
 
ona hata tukijenga miundo mboni yetu kama barabara alafu mwafrika ndiyo apewe rungu dah baada ya miezi 3 tu kwisha kazi mfano ona barabara ya kinondoni road na mwai kibaki zamani old bagamoyo road angalia pia barabara za kijitonyama barabara polisi mabatini....yaani ni mashimo tu tunajikomoa wenyewe tu...hatujui kufanya mambo yakikaa yakae kwa muda mrefu.....ndomana tutaendelea kuwa maskini mpakaaa dunia hii ikatapo amuaaa kuzamaaa na kupotea yenyewe
 
there is a problem some where kuna katuni niliona mwanakme wa kiafrika anafuata maji kilometa sita kwa ndoo horizontally wakati vertically maji yapo mita 6 ardhini hana nyenzo za kuyachimba

Mdakuzi hii nimeipenda maji horizontal distance 6 km wakati vertical distance 6m,sipati picha hapo hypotenuse itakuwaje.Kwahyo tunashindwa kuchimba visima mita 6 lakini tupo radhi tukapoteze muda na nguvu za kutembea kwa kufata maji km 6.
 
Weupe wanatuzidi akili ukweli mchungu

Wamewafanya muamini hivyo na wamefanikiwa ndiyo maana kila kitu kibaya kwenye kamusi zao wamekiita black...blackmagic, blackhat, blackmail, blackmarket, blackleg, blacklist, blackguard n.k na vitu vizuri vinaenda na white... whitemagic, whitehat, whitelist,n.k. Wachina, Wahindi na Wajapani wanakuja kushika uchumi wa dunia na tumeshuhudia kuwepo kwa wahindi weusi sasa kumbe na wao ni wazungu.
 
Back
Top Bottom