Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

Hali ya hewa ya leo ni ile njoo basiii, chukua tax nitalipa.

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Chamazi ya wapi?! Kwa mkongo,au magengeni au ?
haya maeneo mbagara na viunga vyake vyote na gongo la mboto banana mpaka kitunda kuna wakazi wengi sana ipo haja ya kujengwa reli kwa wakazi wa mbagara kupunguza adha ya usafiri....
 
Mvua bado inanyesha balaa. Leo kutwa ni mvua tu. Jumlisha 9months kutoka sasa, watazaliwa wengi mno.
 
Hii mvua inanyesha Jiji zima na vitongoji vyake kuanzia chanika, gongo la mboto, Buguruni, ubungo, tabata, k/koo, mbagala, kigamboni, tegeta ,goba , mpiji, mbweni, mbande , kisewe. , kitonga, mvuti, chamazi, kimboka, msasani, wailes, oysterbay , masaki, tuangoma, pugu kajiungeni, pugu dampo, karakata, Buza, kwa rulenge, kwa bibi nyau, manzese , tandale popobawa, kwa mfuga mbwa, Maputo, kidogo fresh,mwenge , narung'onmbe, kibada, masaki, kwa wahaya, external, mwananchi, mabibo, kisukuru, kote huko nimepita kuna booonge la mvua.
mpaka kwa wahaya umepita captain[emoji1]
 
Back
Top Bottom