MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,236
Ahaaa... Vip wewe mkuu unaishi koromije?
Watu wa JF karibu wote wanaishi Dar.
Watu wa JF karibu wote wanaishi Dar.
Mkuu, unafaa sana kuwa Konda wa Daladala maana ...Hii mvua inanyesha Jiji zima na vitongoji vyake kuanzia chanika, gongo la mboto, Buguruni, ubungo, tabata, k/koo, mbagala, kigamboni, tegeta ,goba , mpiji, mbweni, mbande , kisewe. , kitonga, mvuti, chamazi, kimboka, msasani, wailes, oysterbay , masaki, tuangoma, pugu kajiungeni, pugu dampo, karakata, Buza, kwa rulenge, kwa bibi nyau, manzese , tandale popobawa, kwa mfuga mbwa, Maputo, kidogo fresh,mwenge , narung'onmbe, kibada, masaki, kwa wahaya, external, mwananchi, mabibo, kisukuru, kote huko nimepita kuna booonge la mvua.
Yaan full kukanyaga vyura tu. Ngoja mie nkatulie zangu pande za java au recreation magereza Ukonga ili foleni ipungue kwanza. Karibu mkuu.tope tupu madimbwi full kujaa
ahaaa mkuu ungesogea apa smart naluka na pool tebo...Yaan full kukanyaga vyura tu. Ngoja mie nkatulie zangu pande za java au recreation magereza Ukonga ili foleni ipungue kwanza. Karibu mkuu.
Ahaaa...kama DB?Mkuu, unafaa sana kuwa Konda wa Daladala maana ...
ahaaa mkuu ungesogea apa smart naluka na pool tebo...
ahaaa san japo siyo fundi wa ukamalia tuna enjoy a day...Ahaaaa usijali mkuu, kumbe nawe Mzee wa kupiga masanga
ahaaa san japo siyo fundi wa ukamalia tuna enjoy a day...
amna me napenda kuchill maramoja LIQUID PaleAhaaaa...Vip nawe mdau Nini mkuu?
Karibu club cardiac pande za pile TMK.
shemeji yupo kwani>>??Aiseee mvua kubwaa..nimeisikia tangu alfajiri nahisi...
Imagine now saa moja lkn km saa 11
Aint going anywhere lol
amna me napenda kuchill maramoja LIQUID Pale
hiyo ipo wap tmk sehemu gan?? naendaga
Yeaaaaaaaahshemeji yupo kwani>>??
hehehe kama nakuona unavokuwa mtoro kazini.Yeaaaaaaaah
bas sawa, wape hi hukoOK poa..
Hiyo iko opposite na wailes sec school...
Utakuwa mwanga nini mkuu.MTO msimbazi, mto mzinga -mbagala/kongowe, bonded la jangwani, MTO kisukuru etc mpaka sasa maji yamejaaa mpaka pomoni.
Hayo maeneo nilikuwa nafanya yangu i.e "invisible activities", hivyo katika kukamilisha ratiba yangu barabara ikanibid nipite njia zote hizo.
Mkuu mshana jr upo wapi leo au bado msata?
Utakuwa mwanga nini mkuu.
Mmhh unaustadi wa hali juu ki maeneo..!!Hii mvua inanyesha Jiji zima na vitongoji vyake kuanzia chanika, gongo la mboto, Buguruni, ubungo, tabata, k/koo, mbagala, kigamboni, tegeta ,goba , mpiji, mbweni, morocco, boko, zingiziwa,malamba mawili, mbezi kibanda cha mkaa, mbezi.makonde , kimara, kwa msuguri, kwa kichwa, kwa.msuguri, kibamba, temboni, segerea, tabata, matumbi, ubungo maziwa ,korogwe kimara, bucha kiamara, ubungo maji, bungo msewe, chanika , liverside kwa mzee wa upako, mikocheni coca cola, Mayfair plaza, Feza schools, IST,kwa bibi nyau, kwa remi, makaburini sina, sina palestina, ustawi wa jamii (ambiance), mwenge kinijini, mwenge tra, mwenge mapambano, makumvusho, kijitonyama, barack obama street, kwa ndevu mbili, Buza kwa Osama, mbande , kisewe. , kitonga, mvuti, chamazi, kimboka, msasani, wailes, oysterbay , masaki, tuangoma, pugu kajiungeni, pugu dampo, karakata, Buza, kwa rulenge, kwa bibi nyau, manzese , tandale popobawa, kwa mfuga mbwa, Maputo, kidogo fresh,mwenge , narung'onmbe, kibada, masaki, kwa wahaya, external, mwananchi, mabibo, kisukuru, kwa azizi ally, stend ya shamba, kiburugwa, mbagala kuu, Kokoto, msumbiji, Maputo,mbande, kijichi, tuangoma, msongola, kwa pinda, kibada, faraja jipya, kigamboni, ferry, etc
koooooteeerre huko nimepita , aiseer kuna booonge la mvua sio la nchi hii.
Daaah Msata ndo home nimepamisije hatareNiko Msata ila nimeshindwa kwenda Dar huko nje hakutokeki
Tutarajie biashara ya ndimu kushamiri July
Mmhh unaustadi wa hali juu ki maeneo..!!
Sawa saw, mi nipo makongo juu kwa mzee juma...Si unajua masela wa zamani wakati tukiwa makonda kwenye Ikarusi mpaka kuja kwa UDA , Karibu mzizima mkuu.