LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,511
Pls nitag ukipost hio paperHata Ally Mufuruki aliandika wakati Fulani kuhusu mafuriko na bomoa bomoa. Lilikuwa andiko zuri sana kuhusu chanzo cha mafuriko. Najaribu kulitafuta nitalibandika hapa
Pls nitag ukipost hio paperHata Ally Mufuruki aliandika wakati Fulani kuhusu mafuriko na bomoa bomoa. Lilikuwa andiko zuri sana kuhusu chanzo cha mafuriko. Najaribu kulitafuta nitalibandika hapa
Kuna watu kazi zenu za raha kweli.Mo nimegoma kwenda job aisee maana balaa
nimefika banana kumechafuka hatali jamani na muda wa kurejea majumbaniHata mbagala inapiga balaa
Unajua alieturoga kafa. Dar inashida ya maji sana. Vipi haya maji ya mvua yangevunwa kwenye treatment plant fulani then tukayatumia kama recycled! Leo madimbwi kila mahali kwadababu ya mvua. Kesho akina mama na ndoo vichwani wanatafuta maji.Yaani hapa ndipo ninapomkumbuka Comred Ghadafi (R.I.P); aliamisha maji kutoka mitoni na bahari na kuyapeleka jangwani kwa idadi kubwa ya kilometa za umbali na watu wakaanza kulima kilimo cha maana. Wakajitosheleleza...! Yaani we acha.
Great.Technology mkuu. System za kikazi zipo kwenye laptops,tabs,smartphones....
tena yangekuwa mazuli sana hayan michumviUnajua alieturoga kafa. Dar inashida ya maji sana. Vipi haya maji ya mvua yangevunwa kwenye treatment plant fulani then tukayatumia kama recycled! Leo madimbwi kila mahali kwadababu ya mvua. Kesho akina mama na ndoo vichwani wanatafuta maji.
Stop speculating negativityKwa mvua hii si ajabu kusikia imekwenda na watu!
Aiseee mvua kubwaa..nimeisikia tangu alfajiri nahisi...
Imagine now saa moja lkn km saa 11
Aint going anywhere lol
WAP huko Mkuu, Koromije town?Mna raha kweli watu tuna miezi 6 bila tone la mvua huku
taja eneo husikaInapiga balaa huku kwetu wingu km saa moja usiku now
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] wivuuuHii mvua inafanya niwe nawai kurudi nyumbani,la sivyo wahuni watampa joto mamsapu.
Iendelee kunyesha mvua ya baraka, inyeshe milele yoteNaomba inyeshe kesho......🙂🙂😉
Mbagara chieftaja eneo husika
madibwi vp watoto wa shule watapona...Mbagara chief
Kwa uwezo wa mungu watapona mkuu sbu hakuna ajuaye keshomadibwi vp watoto wa shule watapona...
kila la kher mkuuKwa uwezo wa mungu watapona mkuu sbu hakuna ajuaye kesho