Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

Wana JF hivi hii mvua kubwa inayonyesha huku South Beach Dar inanyesha Dar nzima?

Mlioko barabarani naomba mtujulishe hali ya barabara maanake mji huu na mvua haviendani.
IMG_20170508_060445.jpg
IMG_20170508_060448.jpg

Inanyesha sana, sio kidogo bado sijatoka hapa nilipo
 
Hii mvua inanyesha Jiji zima na vitongoji vyake kuanzia chanika, gongo la mboto, Buguruni, ubungo, tabata, k/koo, mbagala, kigamboni, tegeta ,goba , mpiji, mbweni, msasani, oysterbay , masaki, tuangoma, pugu kajiungeni, pugu dampo, karakata, Buza, kwa rulenge, kwa bibi nyau, manzese , tandale popobawa, kwa mfuga mbwa, Maputo, kidogo fresh,mwenge kote huko nimepita kuna booonge la mvua.
Umepita maeneo mengi kwa asbuh HII
 
Aiseee mvua kubwaa..nimeisikia tangu alfajiri nahisi...
Imagine now saa moja lkn km saa 11
Aint going anywhere lol
Imekata huku nilipo.....inabidi nianze mipango ya kutoka sasa duh.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Dah wewe upo maeneo yote.
Hii mvua inanyesha Jiji zima na vitongoji vyake kuanzia chanika, gongo la mboto, Buguruni, ubungo, tabata, k/koo, mbagala, kigamboni, tegeta ,goba , mpiji, mbweni, msasani, oysterbay , masaki, tuangoma, pugu kajiungeni, pugu dampo, karakata, Buza, kwa rulenge, kwa bibi nyau, manzese , tandale popobawa, kwa mfuga mbwa, Maputo, kidogo fresh,mwenge kote huko nimepita kuna booonge la mvua.
 
Hii mvua ina adabu sana. Imeisha muda mzuri tupate nafasi tutoke sasa.
 
Nilikuwa natafuta hiyo koki inayosababisha mvua yote hii jijini imefunguliwa kutoka eneo gani korofi hapa jijini. Maana usichezee koki ya maji, taishia....
Matokeo yake tutayaona jangwani. Chief umepita kote huko unasambaza magazeti?!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom