Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

Wapo wengi Hasa pande za kisewe, mbiku, chamazi, kwa bwege, kitonga ,mpaka mvuti mwisho (pale tii Sheria bila shurti) kote huko ni full kina halima kimwana tu.
Na akina mwajuma ndala ndefu....
 
Mfano banana kuna nyomi ya kwenda kibeberu, matembele, machimbo (sio ile ya yombo buza) mwanagati, ccm, mwisho wa rami, kitunda, kinyantira, yan nyomi ya kuta mtu. Sijui kama leo kunaendeka na mvua hii.
haya maeneo mbagara na viunga vyake vyote na gongo la mboto banana mpaka kitunda kuna wakazi wengi sana ipo haja ya kujengwa reli kwa wakazi wa mbagara kupunguza adha ya usafiri....
 
Mfano banana kuna nyomi ya kwenda kibeberu, matembele, machimbo (sio ile ya yombo buza) mwanagati, ccm, mwisho wa rami, kitunda, kinyantira, yan nyomi ya kuta mtu. Sijui kama leo kunaendeka na mvua hii.
haya maeneo mbagara na viunga vyake vyote na gongo la mboto banana mpaka kitunda kuna wakazi wengi sana ipo haja ya kujengwa reli kwa wakazi wa mbagara kupunguza adha ya usafiri....
 
Kwa bwege papo ukifika kisewe ndo unaenda huko mbele kidogo Karibu na mwisho wa rami . wenye wanapajua.
Ndo rahaa ya kujichanganya uswaz na ushuani.

Mfano, uswazi kuna tandale popobawa
Msasani unavyoenda koko beach kuna sehemu panaitwa kilima genye ( soma bila kugeuza) hapo sehemu kila dereva anapaheshimu na konda wa dala dala anakushusha tu bila hiana huku akiita jina pendwa bila kutumia tafsida (metaphor)


Kwa bwege[emoji23]
 
Kwa bwege papo ukifika kisewe ndo unaenda huko mbele kidogo Karibu na mwisho wa rami . wenye wanapajua.
Ndo rahaa ya kujichanganya uswaz na ushuani.

Mfano, uswazi kuna tandale popobawa
Msasani unavyoenda koki beach kuna sehemu panaitwa kilima genye ( soma bila kugeuza) hapo sehemu kila dereva anapaheshimu na dala dala zinashusha bila kutumia tafsida (metaphor)
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] uongooo
 
Utakuwa wa kishua ( mtoto mboga saba / msosi wa draft) au la utakuwa Mgeni jijini mzizima (dar) uliza wanamji waliokula miguu ya kuku ya tandika Davis corner
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] uongooo

wakwambie hayo maeneo kama yapo au hayapo. Afu utaleta mrejesho.
 
Utakuwa wa kishua ( mtoto mboga saba / msosi wa draft) au la utakuwa Mgeni jijini mzizima (dar) uliza wanamji waliokula miguu ya kuku ya tandika Davis corner


wakwambie hayo maeneo kama yapo au hayapo. Afu utaleta mrejesho.
[emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Mfano banana kuna nyomi ya kwenda kibeberu, matembele, machimbo (sio ile ya yombo buza) mwanagati, ccm, mwisho wa rami, kitunda, kinyantira, yan nyomi ya kuta mtu. Sijui kama leo kunaendeka na mvua hii.
tope tupu madimbwi full kujaa
 
Back
Top Bottom