Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
zanzibar ina almost every economic opportunities walizonazo wa-singapore tatizo kubwa fursa ya kuzitumia kwa mapana imewekewa "herizi" Dodoma, itawachukua kama miaka kumi kuwafikia wa - singapore,kama haya "mambo" ya kukwazana mnayoita muungano yatarekebishwa kwa maslahi.Junius,
Singapore???? Kwani sii Comoro au Madagaska??
LOL!