Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,635
- 8,952
Muungano hauvunjiki yakheeeeee! Itakayovunjika ni ndoa ya wewe na mkeo tu
Nalog off
Chenye mwanzo kina mwisho
Muungano hauvunjiki yakheeeeee! Itakayovunjika ni ndoa ya wewe na mkeo tu
Nalog off
Nadhani muungano wetu umedumu hivi ni kwa sababu ya historia yetu, sio kwamba Wazanzibari hawaioni Exit button.
Muungano hauvunjiki yakheeeeee! Itakayovunjika ni ndoa ya wewe na mkeo tu
Nalog off
Uvunjike harakaUnavunjika lini mkuu
Kwani haya mabaguzi si yamefunga haya....mpemba sio mtu asilani tembelea pemba ukitokea bara ujionee mwenyewe yanavyoishi kibaguzi baguzi tu, hata kigamboni mapemba mengi tu nenda kule uyaone yanavyoishi utafikiri yako Saudi, ubaguzi tu ulowajaa yanajiona maarabu kumbe mama zao ni wanyamwezi walobakwa na waarabu ndo yakapatikana yenyewe...Swaumu kweli bado ipo?!!
hayafai hata kulumangia...nikipewa nchi hata wiki wanaisha wote.Sidhani, ardhi iko palepale siasa tu ndio inayobadilika.Muungano ukivunjika kutakuwa na ufa kati ya Pemba na unguja!
Hayana akili hayo...ukivunjika muungano unguja itakuwa nchi na pemba itakuwa nchi kwa kuwa mipemba inajiona Bora zaidi kuliko wakaazi wa unguja...kisa kufuga majini...Muungano ukivunjika kutakuwa na ufa kati ya Pemba na unguja!
Sasa hebu waonyeshe Exit button ilipo.mpemba sio mtu asilani
Hata kituo cha taxi buguruni nenda mtg uweke taxi pale uone vitimbi vyao...Kwani haya mabaguzi si yamefunga haya....mpemba sio mtu asilani tembelea pemba ukitokea bara ujionee mwenyewe yanavyoishi kibaguzi baguzi tu, hata kigamboni mapemba mengi tu nenda kule uyaone yanavyoishi utafikiri yako Saudi, ubaguzi tu ulowajaa yanajiona maarabu kumbe mama zao ni wanyamwezi walobakwa na waarabu ndo yakapatikana yenyewe...![]()
hayafai hata kulumangia...nikipewa nchi hata wiki wanaisha wote.

You mean Deutsch-Ostafrika. Sio Dutch.Nchi za Rwanda Urundi ndio zimetumega sisi Dutch Ostafrika.
You mean Deutsch-Ostafrika. Sio Dutch.
Mjerumani sio Mdachi.
Mmeshindwa kuongea haya Bungeni (kupitia wawakilishi wenu) mnakuja kutupigia kelele JF!!!Hatulii na misaada, tunalia Zanzibar tu, tunataka Zanzibar irudishiwe mamlaka yake, wewe yanakuhusu na Nini misaada? Sisi sio masikini kama nyinyi, rasilmali hizi hizi za kuvua samaki na karafuu zina tosha kuendesha Zanzibar.
Hizo hoja zenu zisizo kuwa na mashiko kwa nini mnalalamika nyie I hali njaa yetu sisi, mnafaidika kwa Muungano hakuna jengine, imefika wakati Zanzibar kuwa huru, tumechoka maigizo
Asante mkuu.You mean Deutsch-Ostafrika. Sio Dutch.
Mgerumani sio Mdachi.
Hili ni jukwaa la siasa tunazijadili hoja zote za kisiasa na kutoa mapendekezo yetu,sioni kelele yoyote.mnakuja kutupigia kelele JF!!!
UmeuaWapemba wauza spea ilala na Chipsi mitaani watakuwa jobless,maana forodhani haiwezi accommodate wote