imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,404
Mashekhe hawatatoa fatwa kwenye hizo bikini?! au mtatunga sheria ya watalii wa kike wavae jilbabu?!!Utalii peke yake unaweza kuilisha Zanzibar.
Mashekhe hawatatoa fatwa kwenye hizo bikini?! au mtatunga sheria ya watalii wa kike wavae jilbabu?!!Utalii peke yake unaweza kuilisha Zanzibar.
Mashekhe hawatoa fatwa kwenye hizo bikini?! au mtatunga sheria ya watalii wa kike wavae jilbabu?!!
Hivi visiwa vya Comoro Hawana hivi vitu vyote ulivyotaja? Je wana maendeleo na ustawi kuishinda Zenjibari? Kama JIBU ni ndio basi tujitoe kwenye huu muungano, kama jibu Hapana basi Tubakie humuhumu na muungano wetu na watani zetu wanyamwezi, wandengereko na wamakonde.Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world
Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU
Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.
Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania.
Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.
Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.
InshaAllah
Hivi visiwa vya Comoro Hawana hivi vitu vyote ulivyotaja? Je wana maendeleo na ustawi kuishinda Zenjibari? Kama JIBU ni ndio basi tujitoe kwenye huu muungano, kama jibu Hapana basi Tubakie humuhumu na muungano wetu na watani zetu wanyamwezi, wandengereko na wamakonde.
KERO NA MAPUNGUFU NDIO UBINADAMU, MKAMILIFU ALLAH PEKEE YAKE, TUZUNGUMZE NA WATANI WETU TUWEKE MAMBO SAWA, BADO TUNAWAHITAJI WAMACHINGA MITAANI ZENJ NA WAKILIMA NA WAFUGAJI WA KISUKUMA, PIA HATA WAO JUISI ZA UKWAJI NA SUPU ZA PWEZA ZA WAPEMBA BADO WANAZITAKA.
UDUMU MUUNGANO WETU MILELE AMIIN
Bikini zipo katika nchi nyingi tu za Kiislam.Mashekhe hawatoa fatwa kwenye hizo bikini?! au mtatunga sheria ya watalii wa kike wavae jilbabu?!!
Utumwa hakuna Zenjibari ulikomeshwa kitambo na utwana tuliumaliza kwa mapinduzi ya 1964, yaliyopo sasa yanazungumzika, tukae na ndugu zetu na watani wetu tuyajenge.Tubakie tukamatwe usiku na watu wasiojulikana na kupelekwa Tanganyika kuteswa na kubambikiziwa kesi za kigaidi ???
Comoro si Zanzibar ,
kama hujawahi kufika soma jiografia vizuri na historia utaelewa , yaani unajifanya ni mzanzibari ukubali utumwa kuliko Wattani wako , umeona wapi hayo mambo ??
Sisi pia hatupendi kuwaona ndugu zetu mkijitenga,ni vizuri tukauboresha muungano.8. Napinga kutengana, lakini nataka kuona muungano wa kidemokrasia sio wa kimabavu.
Pata mshahara halafu HONGA wanawake, nunulia watu POMBE, nunua nguo mpya kila siku, mpee jamaa yako pesa za kuhongea mademu halafu angalia kama PESA itaongezeka!Pesa huzaa pesa
Katika ndoa, bibi harusi akilazimishwa kuolewa na baba yake, ndoa huwa haina raha na inakwenda kinyume na sheria ya dini.Sisi pia hatupendi kuwaona ndugu zetu mkijitenga,ni vizuri tukauboresha muungano.
Kama ndoa ikishajaaliwa watoto hakuna jinsi ni kuiboresha tu.Kuboresha ndoa haiwezekani kama bibi harusi hajaolewa kwa hiari yake
Watoto hawamfanyi bibi harusi aishi kwa furaha. Ndoa kama hizi mara nyingi zinavunjika huko mbele au ugomvi huwa hauishi nyumbani.Kama ndoa ikishajaaliwa watoto hakuna jinsi ni kuiboresha tu.
Au binti alikuwa ana bwana mwingine aliyekuwa anampenda nini?!Ni talaka tu mwisho wa siku.
Hahahaha! Love is blind wanasema.View attachment 793836
Aau bado ana mapenzi na mshikaji wake wa zamani?!
Muungano hauwezi kuvunjika kwa maana ka eneo ka Zanzibar ni kadogo hakatoshi kuwabeba wa Zanzibar waliopo huku Tanganyikaduh.... unataka uvunjike...?
Mkuu, kuna teknolojia siku hizi za kuzidisha ardhi ya nchi yako. Maldives na Bangladesh wanatumia hii kupanua nchi zao. (Google land- reclamation projects)Muungano hauwezi kuvunjika kwa maana ka eneo ka Zanzibar ni kadogo hakatoshi kuwabeba wa Zanzibar waliopo huku Tanganyika
jiulize zaidi rasilimali gani zinazoibiwa na tanganyika kutoka zenji? wakati wenye nguvu wakiungana nyie viinchi maskini viongozi wenu wanafikiria kupata heshima za kiongozi mkuu na hapo ndipo wazo lakujitenga linapoanzia kesho akitishiwa kuwa makamu wake anataka kumpindua ndiyo shida ya sudani inapokuja hakuna ukristo au uislamu hapo.Sudani kusini waliambiwa wao ni wakristo wajitenge na hao tunaoambiwa siku zote humu JF kuwa ni waarabu yaani waislamu.
Wakristo wenzao wakawaacha mkono kwani hao wazungu ukristo huutumia kunyonya nchi masikini tu , hawana cha Yesu na hivyo vita kwao ni muhimu kwani pesa yote ya mafuta wanaitumia kununulia silaha za kuuwana wenyewe kwa wenyewe
na mkristo mwenzao ndio kajipatia soko
Zanzibar imevamiwa na Tanganyika tokea 1964 ,
Mbona Idi Amin alipoivamia Tanganyika hamkumuachia Kagera tu ???
Zanzibar imevamiwa nchi yote na kuibiwa rasilimali zake zote
jiulize zaidi rasilimali gani zinazoibiwa na tanganyika kutoka zenji? wakati wenye nguvu wakiungana nyie viinchi maskini viongozi wenu wanafikiria kupata heshima za kiongozi mkuu na hapo ndipo wazo lakujitenga linapoanzia kesho akitishiwa kuwa makamu wake anataka kumpindua ndiyo shida ya sudani inapokuja hakuna ukristo au uislamu hapo.