Muungano ukivunjika

Muungano ukivunjika

Utumwa hakuna Zenjibari ulikomeshwa kitambo na utwana tuliumaliza kwa mapinduzi ya 1964, yaliyopo sasa yanazungumzika, tukae na ndugu zetu na watani wetu tuyajenge.
WAO WANATUHITAJI NASI PIA HALIKADHALIKA.
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU, UDUMU MUUNGANO WETU.


 
Hapo ndio pa kujiuliza iikwa nyinyi wenyewe hamjiwezi inakuwaje kuwasaidia masikini tena vijinchi vinavyoingia zaidi ya mara elfu 10 Tanganyika???

Sudani ilikuwa kila siku waislamu waarabu wanawafanya watumwa watu wa kusini hata humu JF ilikuwa ndio hatupumui

Sasa wakristo wamepewa hiyo nchi , unaona mwenyewe matumnda ya ukristo
gavana naona unavita naukristu lkn hiyo kupitia JF haiwezekani, hata tukiondoa ukristu, hao hao boko haram wanawaua akina nani huko kaskazini mwa nigeria? kukaa nyuma ya key board kuwatetea waarabu wa sudani siyo sawa, wakusini waliwavumilia hadi uvumilivu ukafika kikomo wakachukua hatua ww uko nanjilinji huwezi jua.
 
Baadhi ya hawa leo wanaonekana kama wasaliti wa Muungano, Warioba, maalim seif
IMG-20180604-WA0024.jpg
 
jiulize zaidi rasilimali gani zinazoibiwa na tanganyika kutoka zenji? wakati wenye nguvu wakiungana nyie viinchi maskini viongozi wenu wanafikiria kupata heshima za kiongozi mkuu na hapo ndipo wazo lakujitenga linapoanzia kesho akitishiwa kuwa makamu wake anataka kumpindua ndiyo shida ya sudani inapokuja hakuna ukristo au uislamu hapo.
Kuna rasilimali ambazo hazipo direct kama vile gas au mafuta, Zanzibar peke yake ni rasilimali, watu pia rasilimali, sasa mkuu kwa nini Hamtaki kupunguza mambo ya Muungano na kila siku mnazidisha?

Sarafu - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na sarafu yake? Kwa maana mnafaidika.
Michezo - kwa nini mnatumia jina la tánzania katika michezo kimataifa? Kwa maana mnafaidika na kuifunika Zanzibar.
Mikopo - kwa nini Hamtaki suala la mikopo kuwa nje ya Muungano? Kwa maana mnafaidika.
Uhamiaji - uraia--kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na uraia wake, ili kulinda ardhi yake ihali mnajua eneo dogo kama mnavyo sema? Mnafaidika
Anga - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe inaongoza wizara hii nje ya Muungano? Mnafaidika tu.
Ulinzi na usalama - kwa nini Hamtaki kuondoa kwenye orodha ya mambo ya Muungano? Mnasema hatuchangii, Zanzibar kuna zaidi ya 6000 jeshi na usalama kutoka tanganyika, mnafaidika.
Police - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na police yake, badala ya kung'ania kuwa muungano? Mnafaidika.

Wazanzibar wanautaka Muungano lakini sio huu wa kinyonyaji, hao wajitao viongozi wanao sema unatusaidia ni wanafiki, mbona Wazanzibar wanalalamika? Kama asilimia 89 za maoni ya katiba nakukumbusha, tulitaka Muungano wa mkataba.
 
Wanzanzibari waache kujidanganya wanaotaka Muungano huu ufe ni wale choka mbaya tu, ila wasomi wote wanataka uendelee

Kwa taarifa yenu huku bara kuna wanzanzibari wengi mno wameajiriwa wakati serikali yenu haiajiri watu kutoka bara

Huku bara kuna wenzenu wenigi wenye ardhi kubwa wakati kwenu hamruhusu hilo la kumiliki ardhi

Huku bara kuna wenzenu wengi wameoa wanawake wetu ila huko kwenu kuoa ni SHIDA udini umewajaaa(huku kuna familia baba muislam, mama mkristo na wanaishi vizur)

Mnadanganywa mtakua DUBAI/HON-KONG achane akili za kijinga hizo, hamna ardhi ya kua hayo majiji nyie
Ukienda Canada wapo wazanzibari, UK wapo, UAE wapo, wote hao wamekeza biashara kubwa kubwa baadhi ya nchi na wapo walio ajiriwa, asikwambie mtu, mtu kwao, na leo hii wanatamani Muungano uvunjike, sijui hao walipo Dar, maisha yenyewe ya kutumbuana
 
Mtaani wamejaa akina choloo na babu ally wote wauza maduka hakuna mpemba mwekezaji
 
Kuna rasilimali ambazo hazipo direct kama vile gas au mafuta, Zanzibar peke yake ni rasilimali, watu pia rasilimali, sasa mkuu kwa nini Hamtaki kupunguza mambo ya Muungano na kila siku mnazidisha?

Sarafu - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na sarafu yake? Kwa maana mnafaidika.
Michezo - kwa nini mnatumia jina la tánzania katika michezo kimataifa? Kwa maana mnafaidika na kuifunika Zanzibar.
Mikopo - kwa nini Hamtaki suala la mikopo kuwa nje ya Muungano? Kwa maana mnafaidika.
Uhamiaji - uraia--kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na uraia wake, ili kulinda ardhi yake ihali mnajua eneo dogo kama mnavyo sema? Mnafaidika
Anga - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe inaongoza wizara hii nje ya Muungano? Mnafaidika tu.
Ulinzi na usalama - kwa nini Hamtaki kuondoa kwenye orodha ya mambo ya Muungano? Mnasema hatuchangii, Zanzibar kuna zaidi ya 6000 jeshi na usalama kutoka tanganyika, mnafaidika.
Police - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na police yake, badala ya kung'ania kuwa muungano? Mnafaidika.

Wazanzibar wanautaka Muungano lakini sio huu wa kinyonyaji, hao wajitao viongozi wanao sema unatusaidia ni wanafiki, mbona Wazanzibar wanalalamika? Kama asilimia 89 za maoni ya katiba nakukumbusha, tulitaka Muungano wa mkataba.
kwa hiyo unataka uhusiano wa tanganyika na zanzibar uwe kama wa tanganyika na kenya?
 
kwa hiyo unataka uhusiano wa tanganyika na zanzibar uwe kama wa tanganyika na kenya?



Jeuri yote hii mnaipata kwa sababu sisi ni taifa dogo na hatuna hiyo mizinga ya kujinasua , lakini Mwenyezi Mungu ana mbinu zake za kuwatoa kama David alivyomwangusha Goliath insha Allah tutakomboka
 
Mtaani wamejaa akina choloo na babu ally wote wauza maduka hakuna mpemba mwekezaji


Ni kweli kwani Mtanganyika kawekeza Zanzibar kwa utitiri wa vibanda vya makanisa visivyo waumini , Jumamosi na Jumapili waumini huwa wanaletwa kwa boti jioni wanarudishwa

Pia kwa utitiri wa wanajeshi na watu wasiojulikana kila mtaa
 
Karume aliposema koti likikubana unalivua akauliwa..Jumbe akafungiwa miaka yote Mjimwema...Maalim Seif akawekwa kizuizini....Wahenga tunataka kujua kuna siri gani Zanzibar mpaka Tanganyika wako tayari kupeleka jeshi kuwatishia...
Nakupa tu kidgo sitaki ningie ndani sana ni kwamba Zanzibar is Tanganyika territory na Zanzibar haitakaa ijitenge from Tanganyika the main reason ni security tu.
 
Nakupa tu kidgo sitaki ningie ndani sana ni kwamba Zanzibar is Tanganyika territory na Zanzibar haitakaa ijitenge from Tanganyika the main reason ni security tu.


Security ya kitu gani kwani Zanzibar ina jeshi la kuishambulia Tanganyika ???

Sababu kubwa utaipata katika kitabu cha Padri Sivallon haikufichwa

Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (1992).

Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam.
Sivalon anafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofu mbili.

Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamu kati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam.

Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislamu zikitiwa katika shughuli za Waislamu ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukatoliki katika Afrika ya Mashariki.

Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislamu ni adui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislamu ili kuudhoofisha.

Anaendelea kusema kuwa wamefanikiwa Huku Tanganyika sasa kazi ipo Zanzibar
 
Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world

Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU


Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.

Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania .

Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.

Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.

InshaAllah
Mapacha wanazaliwa wakiwa wameungana lakini wewe bado unapalilia utengano.hii ni hasara sana
 
Zanzibar kuwa full membership united nation
Zanzibar kuwa na mabalozi wake all over the world

Zanzibar kuwa member wa Fifa
Zanzibar kuwa member wa Caf
Zanzibar kuwa member wa OIC
Zanzibar kuwa na passport yake
Zanzibar kuwa member wa East Africa community(EAC)
Zanzibar kuwa na nyanja nzuri za kiuchumi, kimataifa na kitaifa bila ya vikwazo.
Zanzibar kuwa na sarafu yake.
Zanzibar kuwa na wizara yake ya elimu,
Zanzibar kuwa na wizara ya Anga
Zanzibar kuwa na bank kuu.
Zanzibar kuwa na jeshi lake coast guard
Zanzibar kuwa na jeshi la polisi lake
Zanzibar kuwa na usalama wa taifa
Zanzibar kuwa free port, kama dubai.
Zanzibar kuwa member wa AU


Wizara hizi zote zina ajira zaidi ya 10,000 ni faida kwa wazanzibari.

Kwa upande wa Tanganyika, nahisi kuwa watatumia jina la Tanzania .

Watatumia influence ile ile ya Jamuhuri ya Muungano na Jamuhuri ya Tanzania au tanganyika, ni kubadili kidogo tu.

Siwezi kusubiri case ya Muungano kuja kusikilizwa huku Zanzibar, kwa maana nina kila sababu ya kuunga mkono, faida ni nyingi kwa Wazanzibar kuliko hasara.

InshaAllah
Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika unawanufisha wachumia tumbo wachache kutoka Zanzibar kwa hasara ya mamilioni ya waZanzibar wanaokosa fursa nyingi za kiuchumi kwa sababu ya huu muungano wa kiquma.
 
'>Exodus 30:18-21

"You shall also make a laver of bronze, with its base of bronze, for washing; and you shall put it between the tent of meeting and the altar, and you shall put water in it. "Aaron and his sons shall wash their hands and their feet from it; when they enter the tent of meeting, they shall wash with water, so that they will not die; or when they approach the altar to minister, by offering up in smoke a fire sacrifice to the LORD. read more.
"So they shall wash their hands and their feet, so that they will not die; and it shall be a perpetual statute for them, for Aaron and his descendants throughout their generations."

'>Exodus 40:30-31

He placed the laver between the tent of meeting and the altar and put water in it for washing. From it Moses and Aaron and his sons washed their hands and their feet.
Hekima yake nini unaokota mistari unatuwekea tu
 
Back
Top Bottom