Na wewe ni msomi wa chuo kikuu!? pweinti ndio nini sasa? Hicho chuo unacho kitetea umedhihirisha hakina ubora mdahalo mdogo tu umechemka namna hii? Halafu kumbe unafanya kazi hapo chuo kikuu jamani kweli majanga... pweinti Duu!tumejipanga tunataka tupate ISO 9001 Certification. Mtaisoma namba na division 4 pweinti 34 kusoma digrii ya uhandisi na wengine Medicine. Pathetic!
Hahaha naona unapanua mjadala.Ha ha ha ha ha kideli njoooo HAPA kuna MADA ya MUM , au KAMA haupo njoo Sheikh RASHID mtaalam wangu wa ISLAMIC Mashaallah!
Wanaandaliwa kuwa idigamaHiki chuo wanasoma walengwa tu maana wanaandaliwa kwa mafunzo maalum
Mkuu si unajua hawa jamaa malengo yaoWanaandaliwa kuwa idigama
Nawaelewa sana. Hawakawii kusema nchii kwenye ajira inapendelea kumbe tatizo shule wanazosoma.Mkuu si unajua hawa jamaa malengo yao
Mkuu Mzito Kabwela ktk Kiingereza kusema TCU are responsible si kosa kama ulivyomkosoa Yakubu. TCU hapo limetumika kama collective noun kwahiyo is or are zote zinakubali. Ni sawa na maneno kama vile team, club, army etc hayo yote yanakubali is/are depending on the context and choice. Kwa TCU hapo amemaanisha watu ndani ya TCU kwahiyo auxiliary verb are is suitable. Angemaanisha taasisi is ni mahali pake. Naomba kukosolewa kwa adabu kama nimechemka.Mkuu sana yakubu, nenda English kozi ujue matumuzi ya is na are
Mchezo huu hautaji hasira,tuliaUsiwe unaongea vitu bila kuwa na uhakika mkuu;
Una uhakika gani St Joseph ni Mali ya kanisani katoliki. Wale ni wawekezaji kama wengine wanaotumia jina la mtakatifu joseph basi....
Jifunze kuongea ukiwa na uhakika
siyo kwa sababu ya mfumo kristo?Mapadre wana elimu ya kutosha wala hawabahatishi ndio maana Maaskofu wakisema jambo serikali huwasikiliza zaidi maana wanaeleza kisomi
ila kiswahili,kifaransa unaona sawa!..missconception of education,unaona dini sio elimu inayohitajika katika jamii wakat inaongoza mamilioni ya watu,panua ubongo wako kama mapaja ya changudoa uingze maarifa mapya,tatizo mmekariri uhasibu na udaktari tu ndo elimufikiria eti mtu mwalimu kasomea somo la ISLAMIC & CIVICS anaajiriwa kufundisha shule za umma.
Wapo NSSF.Chuo hiki kikuu kilichopo maeneo ya Msamvu Morogoro, kilianzishwa mara baada ya kupewa majengo yaliyokuwa Chuo cha TANESCO pamoja na kuzalisha wahitimu toka enzi hizo na kufungua matawi sehemu kadhaa za pwani ya Tanzania (ikiwemo Zanzibar - Unguja) ni vigumu sana kukutana na wahitimu hao sehemu za kazi, biashara na nyanja mbalimbali za kujenga uchumi.
Tuseme hawa wahitimu wanajiajiri tu kwenye sekta zisizoonekana kwa macho? ama wanaishia ughaibuni ambako ni ngumu kuwa-track?
** Tafadhali usichafue hali ya hewa ni katika kutaka kujua tu ili kupima ubora unaoimbwa na TCU katika vyuo vikuu Tanzania.
Je Wahadhiri wake wanaajiriwa kwa sifa zipi? Je TCU inaweza kwenda kupitia CV zao na kujiridhisha? Bila kupata figisu figisu kwa uongozi wa chuo husika?
Hakuna kitu kinaitwa 'mfumo Kristo'. Watu wanaacha kuwasomesha watoto wao halafu wanataka waajiriwe kwa sifa sawa na wale waliosoma na wakikosa hizo nafasi wanaanza kujustify 'mfumo Kristo'siyo kwa sababu ya mfumo kristo?