Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Mmmh hata kama wanasema penda kusifia chako!, dar inaipiku Nairobi? sijui! Jiji ambalo asilimia kubwa ni unplanned na linaongoza kwa uchafu Tz japo kwa sasa linang'arishwa kwasababu ya ujio wa Obama, sijui tusubiri tuone kama usafi huo utaendelea even after Mkubwa kuondoka.
still dar chafu,niko posta asbui hii wala sion usafi wowote