safi,hakuna tatizo..jamani watanzania tumewapiku kenya karibia kila kitu..tunawakimbiza kwenye pato la taifa kwa spidi.zamani walikuwa wanadai Nairobi ni london ndogo sasa eti wamenuna kwa nini dar inaipiku nairobi
Obama anakuja kufungua fursa. Yes We can. Tukifanya kazi kwa bidii na Jakaya akifyeka rushwa. Bravo JK. Kagame kaanuuna huyoo... Damu za watu zinamwandama
Obama anakuja kufungua fursa. Yes We can. Tukifanya kazi kwa bidii na Jakaya akifyeka rushwa. Bravo JK. Kagame kaanuuna huyoo... Damu za watu zinamwandama
source plz? na wapi airport au ikulu kwenye dhifa ya kitaifa?
unajiadangnanya sana, tz kuipikua ke?? jaribu tena baadaye baada ya watu makini kuwa madarakani
Nasikia Dr Slaa kapigwa chini kuonana na Obama.
acha upumbavu wa kushabikia vyama muda wote, utaifa kwanza jinga wewe
unajiadangnanya sana, tz kuipikua ke?? jaribu tena baadaye baada ya watu makini kuwa madarakani
Ki uchumi? Elfu moja ya Kenya, ni Tsh. Ngapi?[/QUOTE
Kuimarika kwa uchumi wa nchi hakupimwi kwaulinganishi wa thamani ya sh baina ya nchi moja na nyingine peke yake.
Tafakari pesa ya Uchina kwa sasa thamani yake ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingi za ulaya ila uchumi wa Uchina ni imara kuliko nchi hizo.
Thamani ya sh inapokua ndogo kwakiwango flani wakati mwingine huchochea kuimarika kwa uchumi kwani ni kichocheo cha ku expot biashara nje ya nchi.
Huyu ni maradona,....Kawachuuza wenzake kuichunia bongo halafu yeye kaja kuonekana na obbama....Chezea Mu7.Mu 7 amebaki bongo akisubiri kumsalimia Obama. Kasema haondoka mpaka amshike mkono! Kumbuka ilikua aondoke leo baada ya kumalizika kwa mkutano wa smart partership. Kaguta hana kinyongo na TZ. Kenya wanune tu!
Baada ya kupata katiba nzuri kenya wasidhani tayari ukombozi bado wana kazi kubwa kukomboa ardhi toka kwa makabaila na kuwapatia wananchi.Ndugu pesa iliyopo Kenya Sio ya Wakenya, ni ya Wakoloni, kumbukeni Kenya Sio Nchi huru mpaka sasa, Mzee Kenyatta alisainishwa kwa vitisho Uhuru wa Mkataba ama Jeshi la Uingereza lingevamia na kutawala kwa nguvu, alichosaini ni Kuwaacha Waingereza na Mali zao, mashamba na kila walichokuwanacho kiendelee Kuwa chao. Kwa hiyo siku wakiamua kurudisha pesa yao England Kenya ni Zimbabwe nyingine.
safi,hakuna tatizo..jamani watanzania tumewapiku kenya karibia kila kitu..tunawakimbiza kwenye pato la taifa kwa spidi.zamani walikuwa wanadai Nairobi ni london ndogo sasa eti wamenuna kwa nini dar inaipiku nairobi
Nasikia Dr Slaa kapigwa chini kuonana na Obama.
Acha ujinga wewe. Kwa us dollar kenya sh inanguvu kuliko japanese yen kwahiyo kenya ni bora kuliko japan