Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Mu 7 amebaki bongo akisubiri kumsalimia Obama. Kasema haondoka mpaka amshike mkono! Kumbuka ilikua aondoke leo baada ya kumalizika kwa mkutano wa smart partership. Kaguta hana kinyongo na TZ. Kenya wanune tu!
Mkuu Umejueje???
Usije kuwa Mwenzetu we ni Nyumba ndogo ya Mu 7 Bongo