acha upumbavu wa kushabikia vyama muda wote, utaifa kwanza jinga wewe
Nilikuwa Kenya wiki yote iliyopita na nimegundua wamesikitishwa sana na kitendo cha Obama kutokwenda kwao, gazeti la daily natio la jana lilikuwa na makala inayolalamika sana juu ya Obama kutokwenda hadi wameamua kumkumbusha kuwa Kenya ndio nchi pekee duniani iliyotangaza siku yaq kuapishwa Obama kuwa public holiday lakini hakumbuki.Mwaego subiri usiondoke lakini vua kofia lako.
ni kweli tanzania imeipiku kenya kwa pato la taifa?acha upumbavu wa kushabikia vyama muda wote, utaifa kwanza jinga wewe
Mu 7 amebaki bongo akisubiri kumsalimia Obama. Kasema haondoka mpaka amshike mkono! Kumbuka ilikua aondoke leo baada ya kumalizika kwa mkutano wa smart partership. Kaguta hana kinyongo na TZ. Kenya wanune tu!
Tunapozungumzia mambo ya kitaifa siasa zetu tuweke pembeni. JK katuletea sifa kubwa kumleta Obama. Sasa hata Sara Palin ataijua TZ. Tutake tusitake USA ndio dunia na Obama ndio kiranja wa dunia! Bravo JK!
Ki uchumi? Elfu moja ya Kenya, ni Tsh. Ngapi?
Ndugu pesa iliyopo Kenya Sio ya Wakenya, ni ya Wakoloni, kumbukeni Kenya Sio Nchi huru mpaka sasa, Mzee Kenyatta alisainishwa kwa vitisho Uhuru wa Mkataba ama Jeshi la Uingereza lingevamia na kutawala kwa nguvu, alichosaini ni Kuwaacha Waingereza na Mali zao, mashamba na kila walichokuwanacho kiendelee Kuwa chao. Kwa hiyo siku wakiamua kurudisha pesa yao England Kenya ni Zimbabwe nyingine.
Mu 7 amebaki bongo akisubiri kumsalimia Obama. Kasema haondoka mpaka amshike mkono! Kumbuka ilikua aondoke leo baada ya kumalizika kwa mkutano wa smart partership. Kaguta hana kinyongo na TZ. Kenya wanune tu!
Nasikia Dr Slaa kapigwa chini kuonana na Obama.