Muongozo: Nataka kuoa mke asili ya kiarabu

Status
Not open for further replies.
Jamii ya kiarabu kuoa na kuolewa maamuzi yanaamuliwa na familia. Suala la utongoze ndiyo uoe hiyo ni ngumu! Labda familia ipendezwe na wewe mnoo hapo wanaweza wakakuozesha! Na binti mwenyewe awe amekuelewa katika hilo! Kama hajakuelewa kazi ya ziada ipo hata kama umeoa!
 
Kwa kipato hicho tafuta mwarabu koko wale wanaopatikana Shinyanga na Tabora. Hawa wa Town DSM gharama za uendeshaji hautoziweza.
Kama jioni hapiki chipsi za elfu 40,000 ataweza? Bado makando kando mengine.
 
Tongoza mpe mimba
Hata huyo mtoto anaweza asimpate! Mimi hii nilipatiwa habari tu kuwa fulani eeh! Fulani alimjaza mimba! Familia ya mwanamke ikamsafirisha ikampeleka Oman jamaa kakosa na mtoto kabisa!

Labda itokee mwarabu kwa mwarabu ila dah! Madingi ya kiarabu watata kishenzi mwanangu!
 
Mkuu nimekuelewa sana reply zote!! Nina imani kuna siku nitafanikiwa katika hili....Inshaallah!!
Mkuu! Waarabu kwa miaka ya nyuma hata hapa town walikuwa na uafadhali katika hili. Halikuwa ni la ajabu kwao! Miaka hii mambo yamebadiliak! kwa sasa hawa wa mjini watakushinda! Ni mtihani.

Kwa sababu hapa hapa mjini kuna wengine ni wanaume wanatambulisha wanawake zao wabantu wanakataliwa. Kuna jamaa mpaka sasa hajaoa kisa familia yake ilimkatalia kumuoa mwanamke aliyempenda kisa mbantu.

Kuna mwengine alioa kinguvu! Imma wakatae au wakubali yeye kaoa na sasa hivi wanaenda kwake kumtembelea walidhani atabusu miguu.

Ukitaka kupata wa kuoa tembelea Shinyanga, Nzega na kwengine walikokueleza wadau wengine.

Halafu jamaa hammalizi mzee wake! Utasikia kanikatalia kuoa kisa binti niliyempenda na kumtambulisha mweusi halafu kipindi cha ramadhani mzee anatoa sadaka hali ya kuonyesha unyenyekevu. Jamaa hamuelewi kabisa mzee wake.
 
Mkuu! Waarabu kwa miaka ya nyuma hata hapa town walikuwa na uafadhali katika hili. Halikuwa ni la ajabu kwao! Miaka hii mambo yamebadiliak! kwa sasa hawa wa mjini watakushinda! Ni mtihani.

Kwa sababu hapa hapa mjini kuna wengine ni wanaume wanatambulisha wanawake zao wabantu wanakataliwa. Kuna jamaa mpaka sasa hajaoa kisa familia yake ilimkatalia kumuoa mwanamke aliyempenda kisa mbantu.

Kuna mwengine alioa kinguvu! Imma wakatae au wakubali yeye kaoa na sasa hivi wanaenda kwake kumtembelea walidhani atabusu miguu.

Ukitaka kupata wa kuoa tembelea Shinyanga, Nzega na kwengine walikokueleza wadau wengine.

Halafu jamaa hammalizi mzee wake! Utasikia kanikatalia kuoa kisa binti niliyempenda na kumtambulisha mweusi halafu kipindi cha ramadhani mzee anatoa sadaka hali ya kuonyesha unyenyekevu. Jamaa hamuelewi kabisa mzee wake.
Haahaha da! Huyo jamaa nae mtata eh!! Asante sana Mkuu. Nitapanga ratiba yangu vizuri nitatembelea hayo maeneo..

Tatizo kwenda bila address inakuwa ni kazi bure unaeza kwenda na usikutane na jambo unalolitafuta!! Sidhani kama wnaakuwa mtaani tu Mkuu..anyway nitalifanyia kazi Mkuu. Shukrani
 
Mkuu! Waarabu kwa miaka ya nyuma hata hapa town walikuwa na uafadhali katika hili. Halikuwa ni la ajabu kwao! Miaka hii mambo yamebadiliak! kwa sasa hawa wa mjini watakushinda! Ni mtihani.

Kwa sababu hapa hapa mjini kuna wengine ni wanaume wanatambulisha wanawake zao wabantu wanakataliwa. Kuna jamaa mpaka sasa hajaoa kisa familia yake ilimkatalia kumuoa mwanamke aliyempenda kisa mbantu.

Kuna mwengine alioa kinguvu! Imma wakatae au wakubali yeye kaoa na sasa hivi wanaenda kwake kumtembelea walidhani atabusu miguu.

Ukitaka kupata wa kuoa tembelea Shinyanga, Nzega na kwengine walikokueleza wadau wengine.

Halafu jamaa hammalizi mzee wake! Utasikia kanikatalia kuoa kisa binti niliyempenda na kumtambulisha mweusi halafu kipindi cha ramadhani mzee anatoa sadaka hali ya kuonyesha unyenyekevu. Jamaa hamuelewi kabisa mzee wake.
Sasa mkuu akienda huko nzega au shinyanga bila connection ataanzaje kuwapata au awasimamishe tu barabarani na kuanza kuwapanga?
 
Haahaha da! Huyo jamaa nae mtata eh!! Asante sana Mkuu. Nitapanga ratiba yangu vizuri nitatembelea hayo maeneo..

Tatizo kwenda bila address inakuwa ni kazi bure unaeza kwenda na usikutane na jambo unalolitafuta!! Sidhani kama wnaakuwa mtaani tu Mkuu..anyway nitalifanyia kazi Mkuu. Shukrani
Kwa huko sifahamu mahari ipoje ila mahali zinakuwa juu! Nakumbuka kuna mmoja walisema wa kawaida kuulizia mahari nikaambiwa million 8!

Nilikuwa sijishughulishi na yaliyomo kwenye mashuhuri zaidi ya kuhudhuria. Nikamuuliza ni serious dada yako anaolewa kwa millioni 8? Kipindi hicho nina umri wa miaka 21.

Jipange huko sijui mahari yao itakuwaje! Ila waarabu mahari ipo juu!
 
Sasa mkuu akienda huko nzega au shinyanga bila connection ataanzaje kuwapata au awasimamishe tu barabarani na kuanza kuwapanga?
Hiyo ndo changamoto Mkuu..ingekuwa wako barabarani mbona ingekuwa rahisi hata kumsimamisha ila kama wako nyumbani mda wote mtihani unaanzia hapo..ndo unakuja umuhimu wa connection hapo
 
Sasa mkuu akienda huko nzega au shinyanga bila connection ataanzaje kuwapata au awasimamishe tu barabarani na kuanza kuwapanga?
Asilimia wa hapa town wana ndugu kwenye hiyo mikoa. Marafiki zake hao hao awaambie nia yake. Mbivu na mbichi wao wanazijua. Watamsaidia kwa kiasi kikubwa kumtafutia kwenye hiyo mikoa mwanamke na mahali pasipo na matatizo.
 
mkuu hebu njoo Pm kuna jambo tuliongea siku za nyuma ukaishia kati,njoo tulimalize
Hiyo ndo changamoto Mkuu..ingekuwa wako barabarani mbona ingekuwa rahisi hata kumsimamisha ila kama wako nyumbani mda wote mtihani unaanzia hapo..ndo unakuja umuhimu wa connection hapo
 
Mkuu, nalielewa swala lako sana... Ila sasa nikisema nianze kujenga..itanichukua miezi mingi miaka..

Hata kununua gari pia iko kwenye mipango lakin ndo hivo inatakiwa kusave sana.

Point yangu ni kwamba hata kama naingiza kuanzia 30 mpka 100k , lazima kuna expense za hapa na pale...mi naamini vitu vinafanyika taratibu/mdogo mdogo. Nikisema nisubirie mpaka vikamilike vitu vyote nahisi kama nitachelewa sana labda mpaka 30s huko...naona mbali saana..
Mkuu duniani tuna uchaguzi huru wa kuamua jambo, mimi nimeongea kulingana na mtazamo wangu na wewe unao wakati wako wa kulichambua upate maamuzi sahihi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom