Muongozo: Nataka kuoa mke asili ya kiarabu

Muongozo: Nataka kuoa mke asili ya kiarabu

Status
Not open for further replies.

miles2020

Member
Joined
Jan 13, 2021
Posts
66
Reaction score
25
Salamu Kaka na Dada

Mimi ni kijana ambaye kwa mujibu wangu na akili yangu najiona tayari nishafikia umri wa kuwa na mwenzangu na kwa kuwa ni lazima nitafute, basi nimejikuta natamani kumuoa mwanamke wa kiarabu.

Mimi katika makuzi yangu nimekuwa na urafiki na waarabu japo wachache, nimetokea kupenda jamii zao hivyo basi nahitaji kuoa mmoja wao.

Mimi ni Muislam
Miaka 29
Kipato changu ni cha kawaida tu 30 mpaka 100k kwa siku..

Ninajishughulisha na biashara tu hapa mjini.

Similiki vitu vikuubwa kama gari, nyumba n.k
Nimepanga tu chumba na sebule...japokuwa nina ndoto kubwa ya kufanikiwa kimaisha

...

Kwa utambulisho huo wa haraka naomba kupata muongozo wa jinsi ya kumuoa mwanamke mwenye asili ya kiarabu au ikishindikana hata halfcast itakuwa vizuri...mwenye connection naomba pia...Natanguliza shukrani...
 
Salamu Kaka na Dada

Mimi ni kijana ambaye kwa mujibu wangu na akili yangu najiona tayari nishafikia umri wa kuwa na mwenzangu...na kwa kuwa ni lazima nitafute, basi nimejikuta natamani kumuoa mwanamke wa kiarabu

Mimi katika makuzi yangu nimekuwa na urafiki na waarabu japo wachache..nimetokea kupenda jamii zao hivyo basi nahitaji kuoa mmoja wao..

Mimi ni Muislam
Miaka 29
Kipato changu ni cha kawaida tu 30 mpaka 100k kwa siku..

Ninajishughulisha na biashara tu hapa mjini.

Similiki vitu vikuubwa kama gari,nyumba n.k
Nimepanga tu chumba na sebule...japokuwa nina ndoto kubwa ya kufanikiwa kimaisha

...

Kwa utambulisho huo wa haraka naomba kupata muongozo wa jinsi ya kumuoa mwanamke mwenye asili ya kiarabu au ikishindikana hata halfcast itakuwa vizuri...mwenye connection naomba pia...Natanguliza shukrani...


Kipato cha elfu 30 hadi laki kwa siku unakijua au unatuletea FUTUHI zako hapa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom