Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Ndugu wanachama na masenior , magavana na maseneta wote tuliobarikiwa kujielewa kwamba katika ulimwengu wa kibepari kuoa na ndoa ni adui wa maendeleo ya kiuchumi.
Karibu tufanye mjadala wa kuandaa agenda.
Mwenyekiti Donedrake karibu kwa muongozo wako.
Mimi ntakuwa mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya kuhakikisha uhai wa chama na kusajili wanachama wapya nyakati zote.
Naomba kuwasilisha
Wadiz
Karibu tufanye mjadala wa kuandaa agenda.
Mwenyekiti Donedrake karibu kwa muongozo wako.
Mimi ntakuwa mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya kuhakikisha uhai wa chama na kusajili wanachama wapya nyakati zote.
Naomba kuwasilisha
Wadiz