Asili haijifichi, rasmi nimeamua kuwa Muislam

iamriq_arthur

JF-Expert Member
May 1, 2021
377
884
Habari wanajamvi, Me buheri wa afya.

Nataguliza shukrani kwenu enyi wote mliopo humu JF kwaajiri ya mambo mema na kusaidiana.

Mimi ni kijana mkristu, familia yangu wote ni wakristu pande zote kwa baba na mama, Lakini tangu nianze kujitambua kuna hisia na msukumo wa kutaka kunadiri dini, hisia zinanipelekea nataman kuwa mwislam.

Nakua nikipita hata karibu na msikiti wowote mtaani nakua natamani kuingia kuswali, nikiona kipindi cha mawaidha kwenye televishen nakaa kuangalia mpaka mwisho itakapoisha, na kila mara nikilala usku ndoto zangu nyingi naota nipo msikitini na nimeshika Quran japo maandishi yake siyaelewi.

Kuna muda ilifikia nikaamua muuliza mama angu kama kwenye upande wa ukoo wake kuna asli ya dini ya kiislam / kiarabu lakini alikataa.

Na kuna kipindi mwaka huu ilikua mwezi wa 4 nilienda Mkoani Tanga kikazi, pale nilipokua nimefikia hawakujua kama mimi ni mgeni Mkoani hapo, wenyeji walijua pia me ni mzawa wa Tanga, mpaka pale nilipowaambia kuwa mimi ni mgeni mkoani humo na dini yangu ni mkristu ,

Ndipo walipoamua kuniuliza kuhusu hii asli yangu ya kipemba/ kiarabu, mi pia nlishindwa jinsi ya kuwajibu kwasababu natambua kuwa ndugu na chimbuko za koo zangu zote ni wakristu na hakuna mwenye asli ya kiarabu.

Kitu kingne kilichonisukuma nije kuomba ushauri na muongozo wa kubadili dini hapa ni kuwa, Hisia zangu zote zipo kwa wanawake wa kiislamu, yani nikimuona mwanamke alievaa hijab/ baibui nahamasika kuoa mwanamke wa kiislam.

Kwa wanaojua haya mambo ya ndoto na hisia , naombeni mnitafsirie haya mambo ili nipate muongozo.
 
Kiislam hiyo inaitwa "fitrah". Binaadam wote tunazaliwa nayo, Fitra au fitrah (Kiarabu:فطرة;ALA-LC: fiṭrah ) nila Kiarabulinalomaanisha 'tabia ya asili', 'katiba ya asili' au 'asili ya asili'. KatikaUislamu, fitra ni asili ya asili ya mwanadamu inayotambua upweke waMungu(tawhid ).

Inaweza kuhusisha ama hali ya usafi na kutokuwa na hatia ambapoWaislamuwanaamini kwamba wanadamu wote wamezaliwa, au uwezo wa kuchagua au kukataa mwongozo wa Mungu. Quran_inasema kwamba wanadamu waliumbwa katika umbo kamilifu zaidi (95:4), na walipewa asili ya awali (30:30).

Zaidi ya hayo, Mungu alichukua agano kutoka kwa watoto wote wa Adamu , hata kabla hawajatumwa kwenye ulimwengu wa dunia , kuhusu Ubwana wake (7:172–173). Agano hili linachukuliwa kuwa limeacha alama ya milele juu ya nafsi ya mwanadamu , huku Quran ikisisitiza kwamba Siku ya Hukumu hakuna mtu atakayeweza kutetea ujinga wa tukio hili (7:172-173).
 
Tena hapo Tanga ingia msikitini silimu watakupa basics zote za Uislam hapo.

Kwa kuufikiria vyema tu Uislam wewe ni Muislam tayari, msikitini na mbele ya watu unakwenda kuweka ushahidi tu.

Ni kitendo cha dakika tatu tu kuwa Muislam, mengine unajifundisha kidogo kidogo kwa raha zako.
 
Habari wanajamvi, Me buheri wa afya.

Nataguliza shukrani kwenu enyi wote mliopo humu JF kwaajiri ya mambo mema na kusaidiana.

Mimi ni kijana mkristu, familia yangu wote ni wakristu pande zote kwa baba na mama, Lakini tangu nianze kujitambua kuna hisia na msukumo wa kutaka kunadiri dini, hisia zinanipelekea nataman kuwa mwislam.

Nakua nikipita hata karibu na msikiti wowote mtaani nakua natamani kuingia kuswali, nikiona kipindi cha mawaidha kwenye televishen nakaa kuangalia mpaka mwisho itakapoisha, na kila mara nikilala usku ndoto zangu nyingi naota nipo msikitini na nimeshika Quran japo maandishi yake siyaelewi.

Kuna muda ilifikia nikaamua muuliza mama angu kama kwenye upande wa ukoo wake kuna asli ya dini ya kiislam / kiarabu lakini alikataa.

Na kuna kipindi mwaka huu ilikua mwezi wa 4 nilienda Mkoani Tanga kikazi, pale nilipokua nimefikia hawakujua kama mimi ni mgeni Mkoani hapo, wenyeji walijua pia me ni mzawa wa Tanga, mpaka pale nilipowaambia kuwa mimi ni mgeni mkoani humo na dini yangu ni mkristu ,

Ndipo walipoamua kuniuliza kuhusu hii asli yangu ya kipemba/ kiarabu, mi pia nlishindwa jinsi ya kuwajibu kwasababu natambua kuwa ndugu na chimbuko za koo zangu zote ni wakristu na hakuna mwenye asli ya kiarabu.

Kitu kingne kilichonisukuma nije kuomba ushauri na muongozo wa kubadili dini hapa ni kuwa, Hisia zangu zote zipo kwa wanawake wa kiislamu, yani nikimuona mwanamke alievaa hijab/ baibui nahamasika kuoa mwanamke wa kiislam.

Kwa wanaojua haya mambo ya ndoto na hisia , naombeni mnitafsirie haya mambo ili nipate muongozo.
Ulianza kusema unapenda mijimama.
Sasahivi unataka kusilimu.

Kweli kazi ipo .
 
Habari wanajamvi, Me buheri wa afya.

Nataguliza shukrani kwenu enyi wote mliopo humu JF kwaajiri ya mambo mema na kusaidiana.

Mimi ni kijana mkristu, familia yangu wote ni wakristu pande zote kwa baba na mama, Lakini tangu nianze kujitambua kuna hisia na msukumo wa kutaka kunadiri dini, hisia zinanipelekea nataman kuwa mwislam.

Nakua nikipita hata karibu na msikiti wowote mtaani nakua natamani kuingia kuswali, nikiona kipindi cha mawaidha kwenye televishen nakaa kuangalia mpaka mwisho itakapoisha, na kila mara nikilala usku ndoto zangu nyingi naota nipo msikitini na nimeshika Quran japo maandishi yake siyaelewi.

Kuna muda ilifikia nikaamua muuliza mama angu kama kwenye upande wa ukoo wake kuna asli ya dini ya kiislam / kiarabu lakini alikataa.

Na kuna kipindi mwaka huu ilikua mwezi wa 4 nilienda Mkoani Tanga kikazi, pale nilipokua nimefikia hawakujua kama mimi ni mgeni Mkoani hapo, wenyeji walijua pia me ni mzawa wa Tanga, mpaka pale nilipowaambia kuwa mimi ni mgeni mkoani humo na dini yangu ni mkristu ,

Ndipo walipoamua kuniuliza kuhusu hii asli yangu ya kipemba/ kiarabu, mi pia nlishindwa jinsi ya kuwajibu kwasababu natambua kuwa ndugu na chimbuko za koo zangu zote ni wakristu na hakuna mwenye asli ya kiarabu.

Kitu kingne kilichonisukuma nije kuomba ushauri na muongozo wa kubadili dini hapa ni kuwa, Hisia zangu zote zipo kwa wanawake wa kiislamu, yani nikimuona mwanamke alievaa hijab/ baibui nahamasika kuoa mwanamke wa kiislam.

Kwa wanaojua haya mambo ya ndoto na hisia , naombeni mnitafsirie haya mambo ili nipate muongozo.
Maashallah karibu ndugu
 
Habari wanajamvi, Me buheri wa afya.

Nataguliza shukrani kwenu enyi wote mliopo humu JF kwaajiri ya mambo mema na kusaidiana.

Mimi ni kijana mkristu, familia yangu wote ni wakristu pande zote kwa baba na mama, Lakini tangu nianze kujitambua kuna hisia na msukumo wa kutaka kunadiri dini, hisia zinanipelekea nataman kuwa mwislam.

Nakua nikipita hata karibu na msikiti wowote mtaani nakua natamani kuingia kuswali, nikiona kipindi cha mawaidha kwenye televishen nakaa kuangalia mpaka mwisho itakapoisha, na kila mara nikilala usku ndoto zangu nyingi naota nipo msikitini na nimeshika Quran japo maandishi yake siyaelewi.

Kuna muda ilifikia nikaamua muuliza mama angu kama kwenye upande wa ukoo wake kuna asli ya dini ya kiislam / kiarabu lakini alikataa.

Na kuna kipindi mwaka huu ilikua mwezi wa 4 nilienda Mkoani Tanga kikazi, pale nilipokua nimefikia hawakujua kama mimi ni mgeni Mkoani hapo, wenyeji walijua pia me ni mzawa wa Tanga, mpaka pale nilipowaambia kuwa mimi ni mgeni mkoani humo na dini yangu ni mkristu ,

Ndipo walipoamua kuniuliza kuhusu hii asli yangu ya kipemba/ kiarabu, mi pia nlishindwa jinsi ya kuwajibu kwasababu natambua kuwa ndugu na chimbuko za koo zangu zote ni wakristu na hakuna mwenye asli ya kiarabu.

Kitu kingne kilichonisukuma nije kuomba ushauri na muongozo wa kubadili dini hapa ni kuwa, Hisia zangu zote zipo kwa wanawake wa kiislamu, yani nikimuona mwanamke alievaa hijab/ baibui nahamasika kuoa mwanamke wa kiislam.

Kwa wanaojua haya mambo ya ndoto na hisia , naombeni mnitafsirie haya mambo ili nipate muongozo.
Ni uamuzi sahihi kabisa ambao hautaujutia hapa duniani na kesho akhera.

Ni rahisi sana kuingia katika uislamu..sema haya kwa dhamira ya dhati kabisa ya moyo wako:- Nashuhudia kuwa, Mwenyezi Mungu ni mmoja tu na hakuna mwingine yeyote anayepaswa kuabudiwa kwa Haki isipokuwa yeye na Mtume Muhammad (SAW) ni mjumbe wake.

Mchezo hapo umeisha
 
Habari wanajamvi, Me buheri wa afya.

Nataguliza shukrani kwenu enyi wote mliopo humu JF kwaajiri ya mambo mema na kusaidiana.

Mimi ni kijana mkristu, familia yangu wote ni wakristu pande zote kwa baba na mama, Lakini tangu nianze kujitambua kuna hisia na msukumo wa kutaka kunadiri dini, hisia zinanipelekea nataman kuwa mwislam.

Nakua nikipita hata karibu na msikiti wowote mtaani nakua natamani kuingia kuswali, nikiona kipindi cha mawaidha kwenye televishen nakaa kuangalia mpaka mwisho itakapoisha, na kila mara nikilala usku ndoto zangu nyingi naota nipo msikitini na nimeshika Quran japo maandishi yake siyaelewi.

Kuna muda ilifikia nikaamua muuliza mama angu kama kwenye upande wa ukoo wake kuna asli ya dini ya kiislam / kiarabu lakini alikataa.

Na kuna kipindi mwaka huu ilikua mwezi wa 4 nilienda Mkoani Tanga kikazi, pale nilipokua nimefikia hawakujua kama mimi ni mgeni Mkoani hapo, wenyeji walijua pia me ni mzawa wa Tanga, mpaka pale nilipowaambia kuwa mimi ni mgeni mkoani humo na dini yangu ni mkristu ,

Ndipo walipoamua kuniuliza kuhusu hii asli yangu ya kipemba/ kiarabu, mi pia nlishindwa jinsi ya kuwajibu kwasababu natambua kuwa ndugu na chimbuko za koo zangu zote ni wakristu na hakuna mwenye asli ya kiarabu.

Kitu kingne kilichonisukuma nije kuomba ushauri na muongozo wa kubadili dini hapa ni kuwa, Hisia zangu zote zipo kwa wanawake wa kiislamu, yani nikimuona mwanamke alievaa hijab/ baibui nahamasika kuoa mwanamke wa kiislam.

Kwa wanaojua haya mambo ya ndoto na hisia , naombeni mnitafsirie haya mambo ili nipate muongozo.
Hongera sana mabikira 70 wanakusubiri kwa hamu kubwa.
 
Tena hapo Tanga ingia msikitini silimu watakupa basics zote za Uislam hapo.

Kwa kuufikiria vyema tu Uislam wewe ni Muislam tayari, msikitini na mbele ya watu unakwenda kuweka ushahidi tu.

Ni kitendo cha dakika tatu tu kuwa Muislam, mengine unajifundisha kidogo kidogo kwa raha zako.

Itabidi nifanye hivo, maana sina mood ya kwenda kanisani na wala skumbuki mara ya mwisho kwenda kanisani ni lini.
 
Back
Top Bottom