Nataka kuzaa kabla ya kuoa umri unaenda, naombeni ushauri

Andres

JF-Expert Member
Dec 4, 2013
501
791
Wakuu kwema ?

Nilikua na wazo la kuzaa kabla ya kuoa kutokana na presha ya ndugu na jamaa, ya kutaka mjukuu kama tunavyojua familia zetu.

Lakini baada ya kuongea na baadhi ya watu wenye uzoefu kidogo, wengi wamepinga na kusema ni stress sana kuzaa kabla ya kuoa kama hutoishi naye huyo mwanamke, na wengine wakaenda mbali na kusema wanajuta kabisa kwanini walifanya hivyo.

Sasa leo naomba nisikie maoni yenu wakuu, kwa waliowahi kufanya hivyo na wakabaki na mababy mama, Je unajutia uamuzi wako huo? Na changamoto zake ni zipi ?
 
Huyo utakemzalisha utamzalisha kwa sababu ya makelele ya ndugu na familia lakini siku wewe binafsi ukijiona uko tayari kuwa na familia hutorudi tena kwa ulimzalisha maana moyo wako hauko kwake,Itabidi ufanye kile kitu ambachomoyo wako utakifurahia na utakuwa na furaha nacho kukifanya.

Uwezekanao wa kumwacha uliezaa nae na wewe kuoa mwanamke umpendae utakuwa ni mkubwa sana.so baby mama wako atakuja kuwa singomama💔💔💔sad.

Ushauri:
Maisha no yako,furaha ni yako,watoto watakuwa wako,mke atakuwa wako.

Fanya chochote ukiwa tayari mtu asikulazimishe.

Kama wanakwambia umri unaenda waambie wakuzalie wao.stupid 😡😡😡😡😡
 
.
images%20(67).jpg
 
Unapotaka kufanya maaumizi sensitive Kama hayo Fanya hivi.

Weka balance katika emotion na logic

Zingatia kuweka uwiano sawa katika hisia na akili.

Haijalishi unataka kupata mtoto lini Ila lazima utazame utayari wako hasa Kama baba katika kulea mtoto vizuri kwa kumpa mahitaji yote ya msingi na kumlea

Kuhusu umri kwenda , elewa hivi watu huwa hatufanyi maamuzi kwa kuutazama umri , bali huwa tunafanya maamuzi ktk wakati sahihi.

Ikiwa wakati wako wa kupata mtoto ukifika utapata Ila lazima usiweke ubinafsi kwa kumnyima mtoto haki ya kupata malezi ya baba na mama.

Zingatia hii- Life is a journey and not destination there's no time you will quite but only resting so keep striving

Zingatia hii - if life is a juourney means ur a driver not a passenger.

Maisha ni safari na wewe ndo dereva hivyo jiendeshe Ila usiendeshwe maana wewe ndo unajua wapi unahitaji kufika katika safari yako na sio watu
 
Hao waliokuambia wanajuta sio masihara wala uongo juzi tu nimetoka kuambiwa na braza alieoa huku anamtoto mmoja wa nje baadae wakakubaliana na mkewe wamchukue mtoto ,wamekaa nae miaka miwil Moto umeanza mwaka huu mkewe anamtimua mtoto wa bro nyumban na bro yuko mkoa mwingine kikaz na bro anawatoto wawili na huyo mkewe rasmi nyumban hakuna Aman sababu ya huyo dogo chunga sana kijana wanaokuambia wanajuta usije ukajua ni utani Hilo swala ni zito mno kulea mtoto kwenye mazingira Kama hayo lazima migogoro ijitokeze
 
Huyo utakemzalisha utamzalisha kwa sababu ya makelele ya ndugu na familia lakini siku wewe binafsi ukijiona uko tayari kuwa na familia hutorudi tena kwa ulimzalisha maana moyo wako hauko kwake,Itabidi ufanye kile kitu ambachomoyo wako utakifurahia na utakuwa na furaha nacho kukifanya.

Uwezekanao wa kumwacha uliezaa nae na wewe kuoa mwanamke umpendae utakuwa ni mkubwa sana.so baby mama wako atakuja kuwa singomama💔💔💔sad.

Ushauri:
Maisha no yako,furaha ni yako,watoto watakuwa wako,mke atakuwa wako.
Fanya chochote ukiwa tayari mtu asikulazimishe.
Kama wanakwambia unaenda waambie wakuzalie wao.stupid 😡😡😡😡😡
Bila shaka huyo atakaemzalisha atamdanganya kwa ahadi ya kumuoa, end of the day atamuacha.

Mwisho wa siku nae atakuja mtandaoni kuwadiss singo maza, sad.
 
Wakuu kwema ?

Nilikua na wazo la kuzaa kabla ya kuoa kutokana na presha ya ndugu na jamaa, ya kutaka mjukuu kama tunavyojua familia zetu.

Lakini baada ya kuongea na baadhi ya watu wenye uzoefu kidogo, wengi wamepinga na kusema ni stress sana kuzaa kabla ya kuoa kama hutoishi naye huyo mwanamke, na wengine wakaenda mbali na kusema wanajuta kabisa kwanini walifanya hivyo.

Sasa leo naomba nisikie maoni yenu wakuu, kwa waliowahi kufanya hivyo na wakabaki na mababy mama, Je unajutia uamuzi wako huo? Na changamoto zake ni zipi ?
Unataka kuzaa? Halafu unasema wewe me?
 
Back
Top Bottom