Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Kwann usiwashirikishe wazaz wako kwanza kabla ya kutushirikisha sisi, unaamini kuwa sisi tunaweza kuwa n msaada mkubwa kushunda wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona michango mingi inasema Rudisha mpira kwa kipa i.e rudi nyumbani. Usije ukafanya huo ujinga mkuu.
Hapo hapo ulipo kuna fursa, hata vibarua fanya. Kwenda nyumbani ni kwenda kuongeza intesty ya maradhi- depression.

Watu kule watapata cha kukusema na kukunyapaa kwingi. Ila kama una uhakika kuna suluhisho la kudumu na sahihi rudi.
Ni rahisi sana na ni amani kuosha vyombo vya mama ntilie ugenini kuliko nyumbani.

Pole mkuu. tupo wengi
 
Iyo sim ya smart unayo tumia una samani ya shiling ngapi?? Pamoja na mb unazotumia na iyo sim inaweza ikatatuwa matatizo yako yote ..mkuuu acha kuliyaliya kama demu .. fight for ur life .. wengine tunamatatizo ata zaidi ya ayo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kodi hii ni dhahili unaishi chumba cha elfu 30,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Kodi ni 60000 kwa mwezi kasema anadaiwa miezi mitatu sawa na 180000. Kikubwa asikate tamaa. Mimi nadaiwa kodi 680000, na madeni mengine km laki 5, ila najifariji nitasonga. Usiombe udaiwe hlf ukawa huna msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Mkuu kwa yote uliyoyaandika ni sawa na mimi mwenyewe ila nami najipanga upya kwa mashambulizi ila kwaakili nyingine zaidi.
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Pole sana, nicheki DM
 
Miaka 24 una mademu wa kutosha afu unakuja na stori mara nimeishiwa, mara sijala, ....Kwa mademu hao wote na matumizi ya bata lzm uishiwe tu. Issue sio kurudi home, issue ni kupunguza mademu na gharama za maisha zisizo za lazima. Kupiga papuchi na hela huna lazima udate tu

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
Rudisha mpira kwa kipa, nakumbuka kipindi hiki kilinikuta nilimpoteza mchumba wangu hivihivi nikarudi home wazazi wakanitia nguvu nikarudi town tena kupanga mashambulizi huwa ni nyakati za mpito tu kuna neema yaja mbele usikate tamaa.Kuna wimbo wa Psquare (jina siukumbuki) ulikuwa unanifariji sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bring on na David Scott yaani ni ngoma inayotia moyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza: Mm nisikupe pole bwana mdogo.Kwanza umenichekesha kwel unaposema unadaiwa 5,000/=.Yan hiki ni kichekesho.Tena kituko.

Pili: kusema kodi ya miezi mi 3 nalo ni deni la kukuogopesha mm wala hujanishtua hata kidogo.Siwez kukupa pole kwa hili pia.Kama mwanaume hupaswi kukosa ujasir kwa deni la kodi ya miez 3 (labda kama unalipa more than 500,000/=) kwa mwezi.Nakushauri nenda hata kamkope hela ya matumiz huyo mama mwenye nyumba maana hela anayokudai wala haina sifa ya kitwa deni bali limbikizo la kodi.sio deni.

Tatu: Changamoto nayoweza kuwa concerned nayo hapo ni KUFUTWA KAZI tu.Na hii naomba iende sambamba na HONGERA ya kuanza mapambo ya maisha bado mapema.24 yrs is very early.Tena shukur unakutana na haya bado una ALOT OF OPTIONS to seek a refuge.Bado mdogo sana.Umri huo mm nilikua ndio kwanza namaliza chuo.Sina kazi lakin nimeanza maisha nina mke na mtoto m 1 na sikua najua naenda kufanya nn mtaani na sijui nitatoa wapi pesa ya kula na kulipa kodi wal kutunza family.Hongera kwa kuamza mapambano mapema bwana mdogo.

Sijaona ukizungumzia kama una familia tayari hapo lakin nikupongeze tu kwamba Hongera unakumbana na haya ukiwa na akil timamu iliyo active.Kama ni soka hilo wala sio goli bali Faulo tena dakika ya 5 ya mchezo.U stil have 85 minutes till end of the game so you have not a chance but opportunity to make things right.

USHAURI WANGU KWAKO.
Ni kosa kwenye maisha kukosa mtu wa kuwa msaada kwenye mambo madogo sanaaa kama kula na kunywa au wa kukosa hata kukupa 5,000/= unayoita deni.Umefanya kazi , je hukua hata na marafiki wa kwaida kabisa around your working place??? Huna hata marafiki wa kawaida kabisa kitaa unaoshirikiana nao kwenye mambo madogo mAdogo ya kijamii ambao wanaweza wakajua yanayokusibu wakakupa BACKUP!(siiti msaada) kwa kipindi hich mpaka ukose hata pa kula??
Je huna hata mazoea na wapangaji wenzio (kama mnaishi kadhaa ) ambao kwa utamaduni wa kiafrika hawa ndio msaada wako wa kwanza ukiwa na shida??Sasa siku ukiugua usiku nani wa kukusaidia???
Okay, je huna ma beat friend wako wanoweza kuwa tegemeo kipindi cha shida?Hata kama wako mikoani!!Kama umeweza ku post JF, je umeshindwa ku text machiz wako wa ukwel wawil watatu wakakupa sapoti hata ya mkopo wakati unafikiria kujipanga!!?

Mwisho wa yote huna basi ndugu wanaoweza kuelewa changamoto wkawa msaada japo kwa kipindi kifupi??KWEL MUNGU KAKUNYIMA VYOOTE HIYO HAPA DUNIANI???sikubalianai na ww..YA MKINI UMEJITENGA SANA NA DUNIA MKUU and this is NOT PROPER CIVILIZATION.Kwenye maisha lazima uwe na NETWORK YA WATU regardless of their life status maana hawa ndio wa kukupa MICHONGO au ASSISTANCE yoyote Hata kama ww ni mbabe vp mzee unahitaji watu.Hao matajir tu wa dunia hii wanajua licha ya pesa walizonazo kuna wakat hazi WORKOUT SOME MATTERS kwahiyo lazima wahitaji watu wa kuwakwamua kwenya baadhi ya issue.ACHA KUJIFUNGIA sana kwenye ulimwengu wa peke yako.

Hawa wote ndio wakukupa sapport japo ya muda mfupi wakat ww unajipanga kujua ufanye.Na ndio wanaoweza kukusaidia mawazo.

USHUHUDA WANGU MDOGO TU.
Labda hii inaweza kukupa mwanga.

Kama nilivyokueleza kipind mm nikiwa namaliza chuo sina ishu na sijui itakuaje ilinichukua kama miez kadhaa naishi kwa kushikwa mkono na washkaji na wazazi.

Siku moja nikiwa kijiwen /gheto kwa mchiz wangu tunapiga stori ilikua Tandika by the time.Jamaa mmoja ambae alikua jamaa angu kitaa yy alikua anapiga mishe za kibarua cha kujenga.Akaniuliza hivi AsajizzleDaGreat ww si unajua jua masomo ya sayans ?Nikasema ndio.Akasema kesho twende kwa kwa bosi wangu mmoja hvinilishawah kufakwake kazi ya kujenga (maeneo ya Mbagala Misheni oposite na shule ya st.Antony).Huyu bos ana tuition centre nikakuombee kazi.Yy jamaa hata kusoma hajasoma na hiv leo tunavyoongea jamaa ni security guard.
Huo ndio ukawa mwanza wa maisha mengine.Nikawa napiga pindi za Phys ,chemistry na Biology.Daily naondoka na 15,000/= mpaka 17,000/= maan napiga pind za darasan na nikapewa watoto wa bosi.
Ni mshkaji tu ndio kanipa mchongo.

Baada ya hapo nikapata kaz Samsung electronics Posta mkwanja wa kutosha tu na Baada ya hpo nikingia kampuni binafsi ya IT as project manager .KAZ ZOTE HIZ SIJAWAH FANYA INTERVIEW BALI NI WANA NA WASHKAJI KWEYE MAISHA NDIO WANAKUPA MICHONGO.

Learn power of having people.Lakin kwanza ya yote mtegemee Mungu na uwe comitted san to HARD WORK na ufanisi kweye michongo.USIKAE KIZEMBE
Okey nimefurahi kusoma comment yako maana ni nzuri na kiupande fulani imenigusa...

Mimi ni mtu ambaye sio social sana na ninajivunia hilo.. Yaani sina hook ya kunikutanisha na watu sana ila huwa nina kitu kimoja "Ninapokuwa na rafiki bhasi anakuwa rafiki kweli ".. Nina cycle ndogo sana ya watu lakini loyal kinyama kiasi kwamba huwa napata hata ramani ya kuanzia business hadi kazi lakini ni mimi tu mwenyewe nimekaa kwenye mstari wangu.. Ila nimekaa na hawa watu kama brothers na tunasaidiana sana

Unajua ni rahisi kumshauri mtu ajichanganye lakini kwa nature aliyonayo kama yangu sio rahisi ila ndio hivyo hana option..

Kwanza kabisa mimi huwa sipati sehemu kupitia watu ila huwa naset targets zangu tu mkuu.. Huwa naangalia ni kitu gani nataka na ninatakiwa kuwa na nini ili nikipate je, ni skills ama uwezo fulani ????...

Baada ya hapo huwa naangalia ni wapi naweza kuzipata yaani hapo huwa siangalii pesa kabsaaa maana najua hiyo pesa nitapata tu pale ntakapofikia lengo.. Tatizon letu vijana wengi wa 20's ni kutokuwa na targets na kuiangalia sana pesa kuliko outcome utakayopata.. its not working kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona michango mingi inasema Rudisha mpira kwa kipa i.e rudi nyumbani. Usije ukafanya huo ujinga mkuu.
Hapo hapo ulipo kuna fursa, hata vibarua fanya. Kwenda nyumbani ni kwenda kuongeza intesty ya maradhi- depression.

Watu kule watapata cha kukusema na kukunyapaa kwingi. Ila kama una uhakika kuna suluhisho la kudumu na sahihi rudi.
Ni rahisi sana na ni amani kuosha vyombo vya mama ntilie ugenini kuliko nyumbani.

Pole mkuu. tupo wengi
asante kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom