Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Nimekusoma mkuu, sometimes mapenzi yanachangia ila sio kwa stage ya jamaa nafikiri yupo serious kwa kuwa nimepita kwenye hali hii anayopitia.

Kuna muda nilitamani kuandika uzi kama huu lakini nilishindwa na endapo ningeandika na kukutana na comment Kama zako nadhani ingenipa machungu zaidi cos mapenzi ni kitu cha kawaida, wengi wanaoumizwa na mapenzi ni kwamba wanaumia kwa vile walivyogharamia kwa wapenzi wao ila achana na kitu kinaitwa DEPRESSION bro unakufa huku unacheka.

Jamaa ni kwamba yupo kwenye Depression ila ni stage ya mwanzo, Depression haiharibu tabasamu lako ila inaua Tumaini lako, anaweza kuja mtu mnaefahamiana ukaongea nae vizurii kabisa na kucheka ila akiondoka tuu unatamani kujiua au unatamani ufe tuu lakini kuna muda akili inakurudia vyema na kujiona unahitaji kuishi.Stage Kama hii inahitaji faraja na sio kejeli wala negativity

Lakini yote kwa yote Mungu amsaidie member aondokane na hali aliyonayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma mkuu, sometimes mapenzi yanachangia ila sio kwa stage ya jamaa nafikiri yupo serious kwa kuwa nimepita kwenye hali hii anayopitia.

Kuna muda nilitamani kuandika uzi kama huu lakini nilishindwa na endapo ningeandika na kukutana na comment Kama zako nadhani ingenipa machungu zaidi cos mapenzi ni kitu cha kawaida, wengi wanaoumizwa na mapenzi ni kwamba wanaumia kwa vile walivyogharamia kwa wapenzi wao ila achana na kitu kinaitwa DEPRESSION bro unakufa huku unacheka.

Jamaa ni kwamba yupo kwenye Depression ila ni stage ya mwanzo, Depression haiharibu tabasamu lako ila inaua Tumaini lako, anaweza kuja mtu mnaefahamiana ukaongea nae vizurii kabisa na kucheka ila akiondoka tuu unatamani kujiua au unatamani ufe tuu lakini kuna muda akili inakurudia vyema na kujiona unahitaji kuishi.Stage Kama hii inahitaji faraja na sio kejeli wala negativity

Lakini yote kwa yote Mungu amsaidie member aondokane na hali aliyonayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
@Born in june

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother naamin kabisa you misunderstood my comment. Nakubaliana kabisa na wewe kwamba SIO KILA MATATIZO BASI YAKAHUSIANISHWA NA MAPENZI.

Naamini wewe ni mtu mzima, but piga picha mtoto wa 24 yrs mwenye demu wa chuo. Hiyo age kwa mapenzi huwa kuna ulimbukeni wa ajabu sana. Na ikitokea ukawa na hela na mwanamke at that age, bata lake sio la kipolepole. Na ikitokea mzigo ukakata, lazima utataka kuendelea kuvimba kwake na kujionesha "everything is fine", hata kama mwili unaliwa.

Ni vigumu sana kufanya maamuzi ya kimahusiano kwa mtoto wa 24yrs. Believe me, kuna siku ataleta uzi wa kutamani kujiua kwa sababu huyo mpenzi kamkimbia, au kamsaliti, MARK MY WORDS...!!

Simuombei mabaya, ila umri wake, hali yake kimaisha kwa sasa, na level ya mwanamke wake aliyenaye, ndo vinanipa mashaka.

SORRY KAMA COMMENT YNG ILIKUKWAZA, BUT WATOTO WA MIAKA 24 kuvumilia machungu ya maisha, ni mapema sn, na kuja kuvumilia machungu ya kimahusiano ndo mapema zaidi, na wengi wanaishia kuwa wakatili sn kwa wanawake au kujidhuru.

Neno langu sio sheria...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu am not interested in love n kwa ufup hata huyo mtoto tuki balance upendo ananizid sana ananipenda akat namchukulia poa...nipo tayar kumuacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma mkuu, sometimes mapenzi yanachangia ila sio kwa stage ya jamaa nafikiri yupo serious kwa kuwa nimepita kwenye hali hii anayopitia.

Kuna muda nilitamani kuandika uzi kama huu lakini nilishindwa na endapo ningeandika na kukutana na comment Kama zako nadhani ingenipa machungu zaidi cos mapenzi ni kitu cha kawaida, wengi wanaoumizwa na mapenzi ni kwamba wanaumia kwa vile walivyogharamia kwa wapenzi wao ila achana na kitu kinaitwa DEPRESSION bro unakufa huku unacheka.

Jamaa ni kwamba yupo kwenye Depression ila ni stage ya mwanzo, Depression haiharibu tabasamu lako ila inaua Tumaini lako, anaweza kuja mtu mnaefahamiana ukaongea nae vizurii kabisa na kucheka ila akiondoka tuu unatamani kujiua au unatamani ufe tuu lakini kuna muda akili inakurudia vyema na kujiona unahitaji kuishi.Stage Kama hii inahitaji faraja na sio kejeli wala negativity

Lakini yote kwa yote Mungu amsaidie member aondokane na hali aliyonayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
bro you are so rightn...ka unaniona vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bro you are so rightn...ka unaniona vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro usikate tamaa jitahidi kujaribu kuongea na watu inasaidia kuondokana na mawazo fulani hata kuchati huku JF unapata faraja fulani ,Mimi mwenyewe nilikua kwenye hali Kama yako na sio kwamba yameisha hapana bado napambana kutoka.

Mungu akusaidie ushinde katika jaribu hilo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasasa nipo tuu,nikipata vidili vidogo vidogo nafanya lakini imekuja baada yakusamehe yote na kuamua kuanza upya, usiangalie uwezo uliopo nyumbani, usiangalie watu watakuonaje just toka nje, ongea na watu utapata japo mia mbili au buku ambayo unaweza kufanya Jambo fulani.
Hata Mimi nilikua kwenye Hali Kama yako, lakini nilifikia hatua nikaokota makopo, waliokuwa wananiona walikua wanashangaa sifananii na kuokota makopo changanya na kejeli za watoto "Shikamoo Kaka muokota makopo" Ila sikuangalia nyuma japo inaumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
ntafurah hii hali isikurudie tena n ntafurah kana now utakua happy...mi nilikua mnene hata ukiniangalia utapenda but this time nmekonda hata kwa kioo siwez jiangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanza upya si ujinga! Ujinga ni kufumbatia maji kama jiwe.

Halafu maisha usiangalie sijui wana au kitaani watanionaje!? Hayo potezea, kwa sababu maisha ni wewe kama wewe.
 
ntafurah hii hali isikurudie tena n ntafurah kana now utakua happy...mi nilikua mnene hata ukiniangalia utapenda but this time nmekonda hata kwa kioo siwez jiangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu...nakuombea pia nawe uondokane na hiyo hali inatesa Sana.
Usiangalie jinsi ulivyoumia jaribu kuangalia yale unayotazamia, weka mipango yako midogo midogo ili kufikia mipango yako mikubwa.
Mimi hakuna nguo inayonitosha mbaya zaidi nguo zote niliacha dar baada yakuondoka kwa hasira kutokana na dharau nilizofanyiwa... Nina jeans moja nalalia hilohilo, naamkia hilohilo, naendea mishe hilo hilo, natokea hilohilo... sijilaumu wala siumii ninachojua kuna siku nitashinda haya yote.
Chamsingi usiache kumuomba Mungu akupe amani na Tumaini lako lirudi na jaribu kuwasamehe wote waliokuumiza au kukukwaza itakusaidia kurudisha amani.

Naupenda huu mstari ulinisaidia naomba nikushirikishe 1 Wakorinto 13:13

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu...nakuombea pia nawe uondokane na hiyo hali inatesa Sana.
Usiangalie jinsi ulivyoumia jaribu kuangalia yale unayotazamia, weka mipango yako midogo midogo ili kufikia mipango yako mikubwa.
Mimi hakuna nguo inayonitosha mbaya zaidi nguo zote niliacha dar baada yakuondoka kwa hasira kutokana na dharau nilizofanyiwa... Nina jeans moja nalalia hilohilo, naamkia hilohilo, naendea mishe hilo hilo, natokea hilohilo... sijilaumu wala siumii ninachojua kuna siku nitashinda haya yote.
Chamsingi usiache kumuomba Mungu akupe amani na Tumaini lako lirudi na jaribu kuwasamehe wote waliokuumiza au kukukwaza itakusaidia kurudisha amani.

Naupenda huu mstari ulinisaidia naomba nikushirikishe 1 Wakorinto 13:13

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ni pm namba yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, nimegundua kumbe tunaopitia hali ngumu katika nyakati hizi ni wengi sana!

Wataalamu wa Ushauri Nasihi wanaamini;client (mteja) wa ushauri nasihi akijulishwa kwamba hali ngumu anayopitia haiko kwake tu,bali na kwa wengine pia,hiyo humtia nguvu ya kuvumilia mteja huyo...

Binafsi nina kisa changu halisi.Almost mwaka sasa ninatembelea mataruma (rings) baada ya upepo wa uchumi mfukoni mwangu kuyumba.Imagine,nina mke na mtoto mmoja,ninadaiwa kodi ya miezi 5 sasa,sina pesa nyingine kwa leo isipokuwa sh.600/= tu mfukoni baada ya kumwachia wife sh.5000/= ya chakula.Sijui kesho nitakula nini,ila naamini nitakula, maana mara nyingi huamka sina hela ya mlo lakini mwishoni huwa naishia kula kwa 'ukanjanja' mwingi.

Ingawa nimebakiwa na sh.600/= katika akiba zangu zote,bado kesho nitaingia U/Taiga kuiona Simba vs TP Mazembe.Na sitalala njaa.

Ushauri wangu kwako ni upi?

1.Kwakuwa una human bond ya ndugu na marafiki,wajulishe hali yako na wapo 2 au 3 watakupa sapoti.Ila fedha hiyo itumie kuwa nauli ya kurudi kwenu.

2.Ikiwa no.1 haitafanya kazi (kuomba msaada),basi tafuta mkopo mdogo fasta usio na mlolongo mrefu,kisha sepa maana huna uwezo wa kuulipa.Wewe ulishakopwa ukadhulumiwa,na wewe dhulumu tu for your survival.

3.Kwanini ushinde njaa siku 2?kwavile una unga tafuta sukari kidogo ukoroge uji unywe.Sometimes mimi hushindia uji,ila ukiniona kitaa nilivyotoka 'bring bring' huwezi kuamini..

4.Uza baadhi ya vitu vyako vya ndani ulipe kodi na update nauli ya kurudi kwenu.Hata majeshi yakizidiwa mapigo kwenye medani za vita hurudi nyuma kujipanga upya.

5.Usifanye chochote kujidhuru,God knows the situation you're going through,na atakusaidia tu kupitia mlango mwingine.

6.Nakupongeza kwa kununua bando ili uombe ushauri mtandaoni.Atakayesema hiyo 500/= ya bando ungenunua chakula msamehe,mawazo unayopokea kwa watu hapa ni ya muhimu kuliko chai na maandazi manne ya mlo wa asubuhi tu.

Usisahau:"Bhishanga bhashaija" ("Mambo haya huwapata wanaume" kwa Kihaya).

Kila la heri kamanda.
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Tuanzie na hapa, kwanini umefukuzwa kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, nimegundua kumbe tunaopitia hali ngumu katika nyakati hizi ni wengi sana!

Wataalamu wa Ushauri Nasihi wanaamini;client (mteja) wa ushauri nasihi akijulishwa kwamba hali ngumu anayopitia haiko kwake tu,bali na kwa wengine pia,hiyo humtia nguvu ya kuvumilia mteja huyo...

Binafsi nina kisa changu halisi.Almost mwaka sasa ninatembelea mataruma (rings) baada ya upepo wa uchumi mfukoni mwangu kuyumba.Imagine,nina mke na mtoto mmoja,ninadaiwa kodi ya miezi 5 sasa,sina pesa nyingine kwa leo isipokuwa sh.600/= tu mfukoni baada ya kumwachia wife sh.5000/= ya chakula.Sijui kesho nitakula nini,ila naamini nitakula, maana mara nyingi huamka sina hela ya mlo lakini mwishoni huwa naishia kula kwa 'ukanjanja' mwingi.

Ingawa nimebakiwa na sh.600/= katika akiba zangu zote,bado kesho nitaingia U/Taiga kuiona Simba vs TP Mazembe.Na sitalala njaa.

Ushauri wangu kwako ni upi?

1.Kwakuwa una human bond ya ndugu na marafiki,wajulishe hali yako na wapo 2 au 3 watakupa sapoti.Ila fedha hiyo itumie kuwa nauli ya kurudi kwenu.

2.Ikiwa no.1 haitafanya kazi (kuomba msaada),basi tafuta mkopo mdogo fasta usio na mlolongo mrefu,kisha sepa maana huna uwezo wa kuulipa.Wewe ulishakopwa ukadhulumiwa,na wewe dhulumu tu for your survival.

3.Kwanini ushinde njaa siku 2?kwavile una unga tafuta sukari kidogo ukoroge uji unywe.Sometimes mimi hushindia uji,ila ukiniona kitaa nilivyotoka 'bring bring' huwezi kuamini..

4.Uza baadhi ya vitu vyako vya ndani ulipe kodi na update nauli ya kurudi kwenu.Hata majeshi yakizidiwa mapigo kwenye medani za vita hurudi nyuma kujipanga upya.

5.Usifanye chochote kujidhuru,God knows the situation you're going through,na atakusaidia tu kupitia mlango mwingine.

6.Nakupongeza kwa kununua bando ili uombe ushauri mtandaoni.Atakayesema hiyo 500/= ya bando ungenunua chakula msamehe,mawazo unayopokea kwa watu hapa ni ya muhimu kuliko chai na maandazi manne ya mlo wa asubuhi tu.

Usisahau:"Bhishanga bhashaija" ("Mambo haya huwapata wanaume" kwa Kihaya).

Kila la heri kamanda.
SAWA BANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kukata tamaa ni mwiko na ni marufuku kama kijana.

Wacha nikupe kisa changu kwangu naona chako ni kidogo

Mwaka jana mwezi wa5 mwanzoni hadi wa6 mwishoni nilipatwa na misiba miwili ndani ya mwezi mmoja wa5.

Nilivyorudi toka msiba wa mwisho siku chache baadaye napewa barua ya kuacha kazi aisee nilihisi kuchanganyikiwa pesa zote nimetumia msibani sina hata shilingi

Mkuu acha kabisa ilikuwa noma sana, lakini kurudi tena nyumbani niliona noma ikabidi nikupumbuke wimbo wa shilole nikakomaa mjini.

Namshukuru Mungu sasa niko sawa japo sio sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kukata tamaa ni mwiko na ni marufuku kama kijana.

Wacha nikupe kisa changu kwangu naona chako ni kidogo

Mwaka jana mwezi wa5 mwanzoni hadi wa6 mwishoni nilipatwa na misiba miwili ndani ya mwezi mmoja wa5.

Nilivyorudi toka msiba wa mwisho siku chache baadaye napewa barua ya kuacha kazi aisee nilihisi kuchanganyikiwa pesa zote nimetumia msibani sina hata shilingi

Mkuu acha kabisa ilikuwa noma sana, lakini kurudi tena nyumbani niliona noma ikabidi nikupumbuke wimbo wa shilole nikakomaa mjini.

Namshukuru Mungu sasa niko sawa japo sio sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sababu nilimchoka meneja



alikua anaforce niwe namtongozea wanawake kazi ambayo kiukwel nilimfanyia...lakin huyu jamaa alikua hawez kukaa na mwanamke hata siku 3...amekua akiwanyanyasa kingono n wengi wao walinitupia lawama mimi...roho ilikua inaniuma...kuna dada alimuumiza sana n nilikua namuheshimu sana huyo bibie nilimchukulia as my sister...ikafika time niligoma kufanya hio kazi n haya ndo matokeo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hilo pia litapita jipe moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom