Mungu ni mwema watoto wangu ninao mimi sasa

Bundakwetu

JF-Expert Member
Nov 18, 2022
551
1,006
Habari zenu wakuu poleni na shughuli, Niende moja kwa moja kwenye mada mwaka jana mwishoni baada ya kushindwa kuvumilia visa na dharau kwa aliyekuwa mke wangu pamoja na vikao vingi vya usuruhishi kugonga mwamba, Niliamua kuchukua uamuzi wa kumuachia mji mwanamke na mimi kwenda kuanza maisha mapya, roho iliniuma sana pale nilipoondoka na kuwaacha watoto wangu wakibugujikwa na machozi lakini niliwaahidi ipo siku nitakuwa nao tena, na siku ya leo Mungu amebariki nimetoka kuwapokea watoto wangu na nitaishi nao kwa shida na raha, Pongezi ziende kwa wote walionipa ushauri na wote walio nitia moyo, pia nampongeza Mwalim mkuu wa Shule ya walipokuwa wanasomea watoto wangu kwa kufanikisha zoezi la uhamisho wa watoto wangu toka Mwanza hadi kufanikisha kuhamia hapa Morogoro Mungu akulinde sana mwalim, Uhamisho umekamilika na wanangu wataanza maisha ya shule hapa morogoro ikumbukwe mimi niliondoka nikamuachia jukumu hilo Ubarikiwe sana Mwalimu, Mungu ni mwema sana. Kingine yule mwanamke nasikia pale kwangu imekuwa kama Danguro vijana wanapishana Usiku kwa mchana kupata huduma binafsi sina kinyongo nae wala wivu nae kwakuwa tumeshaachana na kila mtu na maisha yake na nyumba hiyo nimemuachia sina changu tena na hapa nilipo namshukuru Mungu nafanya kazi kwa bidii sana na mwanga nauona na ninaimani Mungu ataniwezesha kujenga makazi yangu mapya tena, Furaha niliyonayo leo kuwaona wanangu tena ni kubwa mno Asante Mungu bariki Kazi ya Mikono yangu.
 
Habari zenu wakuu poleni na shughuli, Niende moja kwa moja kwenye mada mwaka jana mwishoni baada ya kushindwa kuvumilia visa na dharau kwa aliyekuwa mke wangu pamoja na vikao vingi vya usuruhishi kugonga mwamba, Niliamua kuchukua uamuzi wa kumuachia mji mwanamke na mimi kwenda kuanza maisha mapya, roho iliniuma sana pale nilipoondoka na kuwaacha watoto wangu wakibugujikwa na machozi lakini niliwaahidi ipo siku nitakuwa nao tena, na siku ya leo Mungu amebariki nimetoka kuwapokea watoto wangu na nitaishi nao kwa shida na raha, Pongezi ziende kwa wote walionipa ushauri na wote walio nitia moyo, pia nampongeza Mwalim mkuu wa Shule ya walipokuwa wanasomea watoto wangu kwa kufanikisha zoezi la uhamisho wa watoto wangu toka Mwanza hadi kufanikisha kuhamia hapa Morogoro Mungu akulinde sana mwalim, Uhamisho umekamilika na wanangu wataanza maisha ya shule hapa morogoro ikumbukwe mimi niliondoka nikamuachia jukumu hilo Ubarikiwe sana Mwalimu, Mungu ni mwema sana. Kingine yule mwanamke nasikia pale kwangu imekuwa kama Danguro vijana wanapishana Usiku kwa mchana kupata huduma binafsi sina kinyongo nae wala wivu nae kwakuwa tumeshaachana na kila mtu na maisha yake na nyumba hiyo nimemuachia sina changu tena na hapa nilipo namshukuru Mungu nafanya kazi kwa bidii sana na mwanga nauona na ninaimani Mungu ataniwezesha kujenga makazi yangu mapya tena, Furaha niliyonayo leo kuwaona wanangu tena ni kubwa mno Asante Mungu bariki Kazi ya Mikono yangu.
Nakumbuka story yako wakwetu,ila maamuzi ya kumuachia nyumba mwanamke nakwenda kuanzisha makazi mapya nimaamuzimagumu kama yalivyo mamuzi magumu mengine,yote kwa yote ,Mungu akutie nguvu mkuu.
 
Habari zenu wakuu poleni na shughuli, Niende moja kwa moja kwenye mada mwaka jana mwishoni baada ya kushindwa kuvumilia visa na dharau kwa aliyekuwa mke wangu pamoja na vikao vingi vya usuruhishi kugonga mwamba, Niliamua kuchukua uamuzi wa kumuachia mji mwanamke na mimi kwenda kuanza maisha mapya, roho iliniuma sana pale nilipoondoka na kuwaacha watoto wangu wakibugujikwa na machozi lakini niliwaahidi ipo siku nitakuwa nao tena, na siku ya leo Mungu amebariki nimetoka kuwapokea watoto wangu na nitaishi nao kwa shida na raha, Pongezi ziende kwa wote walionipa ushauri na wote walio nitia moyo, pia nampongeza Mwalim mkuu wa Shule ya walipokuwa wanasomea watoto wangu kwa kufanikisha zoezi la uhamisho wa watoto wangu toka Mwanza hadi kufanikisha kuhamia hapa Morogoro Mungu akulinde sana mwalim, Uhamisho umekamilika na wanangu wataanza maisha ya shule hapa morogoro ikumbukwe mimi niliondoka nikamuachia jukumu hilo Ubarikiwe sana Mwalimu, Mungu ni mwema sana. Kingine yule mwanamke nasikia pale kwangu imekuwa kama Danguro vijana wanapishana Usiku kwa mchana kupata huduma binafsi sina kinyongo nae wala wivu nae kwakuwa tumeshaachana na kila mtu na maisha yake na nyumba hiyo nimemuachia sina changu tena na hapa nilipo namshukuru Mungu nafanya kazi kwa bidii sana na mwanga nauona na ninaimani Mungu ataniwezesha kujenga makazi yangu mapya tena, Furaha niliyonayo leo kuwaona wanangu tena ni kubwa mno Asante Mungu bariki Kazi ya Mikono yangu.
Mkuu hongera sana, kupata wanao kutoka kwa single maza, ni mafanikio makubwa, na mimi mwaka jana nilifanikiwa kupata vijana wangu wawili sikuamini ilikua kama ndoto ya mchana, eti alikua amewaleta kunisalimia kesho awarudishe kazini kwake, mimi sio mjinga kiasi hicho ucku huo huo nili wapadisha ndege mpaka kwa bibi yao, kwasasa wako nje ya nchi masomani hata afanyeje, atawaona tena wakiwa form 1......huwezi kuvumilia mwanamke msaliti hata kama ana elimu kiasi au pesa kiasi gani hata kama ni pisi kali
 
Nakumbuka story yako wakwetu,ila maamuzi ya kumuachia nyumba mwanamke nakwenda kuanzisha makazi mapya nimaamuzimagumu kama yalivyo mamuzi magumu mengine,yote kwa yote ,Mungu akutie nguvu mkuu.
Bro, kuliko kufa kihoro, bora kamuachia nyumba, huenda watoto watairithi mbeleni huko kama huyo mwanamke hataiuza. Uhai ni bora kuliko nyumba, kwa mtazamo wangu. Mungu atamjalia atajenga nyingine soon!
 
Bro, kuliko kufa kihoro, bora kamuachia nyumba, huenda watoto watairithi mbeleni huko kama huyo mwanamke hataiuza. Uhai ni bora kuliko nyumba, kwa mtazamo wangu. Mungu atamjalia atajenga nyingine soon!
Yaaa,najua kihoro kinavyoweza kukuua au kufanya tukio baya lakuu pia,niuamgumu pia,sio rahisi sana kuachia nyumba uliyoijenga kwanguvu zako mwenyewe kisha ukaiacha kirahisi mkuu.
 
Yaaa,najua kihoro kinavyoweza kukuua au kufanya tukio baya lakuu pia,niuamgumu pia,sio rahisi sana kuachia nyumba uliyoijenga kwanguvu zako mwenyewe kisha ukaiacha kirahisi mkuu.
Nakuelewa sana brother, lakini umefanya jambo la msingi kuachia nyumba ili ukoe uhai wako na wa wanao. Nyumbautajaaliwa nyingine, uhai ukitoka ndo umetoka
 
Hope hatapafahamu unapoishi maana yakimshinda huko atakuja kukusumbua au kuwasumbia watoto mbeleni
 
Habari zenu wakuu poleni na shughuli, Niende moja kwa moja kwenye mada mwaka jana mwishoni baada ya kushindwa kuvumilia visa na dharau kwa aliyekuwa mke wangu pamoja na vikao vingi vya usuruhishi kugonga mwamba, Niliamua kuchukua uamuzi wa kumuachia mji mwanamke na mimi kwenda kuanza maisha mapya, roho iliniuma sana pale nilipoondoka na kuwaacha watoto wangu wakibugujikwa na machozi lakini niliwaahidi ipo siku nitakuwa nao tena, na siku ya leo Mungu amebariki nimetoka kuwapokea watoto wangu na nitaishi nao kwa shida na raha, Pongezi ziende kwa wote walionipa ushauri na wote walio nitia moyo, pia nampongeza Mwalim mkuu wa Shule ya walipokuwa wanasomea watoto wangu kwa kufanikisha zoezi la uhamisho wa watoto wangu toka Mwanza hadi kufanikisha kuhamia hapa Morogoro Mungu akulinde sana mwalim, Uhamisho umekamilika na wanangu wataanza maisha ya shule hapa morogoro ikumbukwe mimi niliondoka nikamuachia jukumu hilo Ubarikiwe sana Mwalimu, Mungu ni mwema sana. Kingine yule mwanamke nasikia pale kwangu imekuwa kama Danguro vijana wanapishana Usiku kwa mchana kupata huduma binafsi sina kinyongo nae wala wivu nae kwakuwa tumeshaachana na kila mtu na maisha yake na nyumba hiyo nimemuachia sina changu tena na hapa nilipo namshukuru Mungu nafanya kazi kwa bidii sana na mwanga nauona na ninaimani Mungu ataniwezesha kujenga makazi yangu mapya tena, Furaha niliyonayo leo kuwaona wanangu tena ni kubwa mno Asante Mungu bariki Kazi ya Mikono yangu.
African%20American%20family%20enjoying%20quality%20time%20outd.jpg
Father%20and%20son.jpg
I%20Loved%20my%20Dad!%20He%20was%20my%20first%20love%20and%20remained_.jpg
 
Mkuu hongera sana, kupata wanao kutoka kwa single maza, ni mafanikio makubwa, na mimi mwaka jana nilifanikiwa kupata vijana wangu wawili sikuamini ilikua kama ndoto ya mchana, eti alikua amewaleta kunisalimia kesho awarudishe kazini kwake, mimi sio mjinga kiasi hicho ucku huo huo nili wapadisha ndege mpaka kwa bibi yao, kwasasa wako nje ya nchi masomani hata afanyeje, atawaona tena wakiwa form 1......huwezi kuvumilia mwanamke msaliti hata kama ana elimu kiasi au pesa kiasi gani hata kama ni pisi kali
Mbaya zaid ukute ata sio wako
 
Back
Top Bottom