shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,151
Kwa taarifa tu
Falsafa Ina matawi
Moja ya tawi lake ni Theology
Theology ambalo ninyi mnahisi ndilo kweli pekee.
Wakati falsafa Ina matawi mengi kupita maelezo.
Hivyo nadharia na dhana ya Uungu imeanza na wanadamu na itaishia vichwani kwao tu.
Metaphysics ndio hutoa majibu mengi ya ulimwengu huu na huelezea vizuri mwanzo na chanzo Cha ulimwengu.
Ukimaliza tuje kwenye nyama
[emoji23][emoji23][emoji23] kaka mbna mjinga kias hiki.Dunia ipo kabla ya hizo falsafa, mungu ameimbwa ata kabla ya hizo falsaf
Sis weny dini uwepo wa mungu sio dhana ni reality, sabab kitab cha mung kinasema hivyo kuwa mung yupo na dalil za kuwepo kwake zipo,nshazungumza
Mungu anasema origin ya binadam ni udongo kitu ambacho ni kweli, mtu ukifa mwili wako unaturn udongo after mda flan
Then kasema ongezeko la binadm ni kwa kuzaliana kitu ambacho kipo. Sis waislam kweny qur'an tunaambiwa how reproductive systems ilivo na qur'an ni imeshuka kipind ambacho hamna technology ilikuaje qur'an ikaandika, means kuna mung who guide this