Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hujawahi ona Giza muda wa mchana?
Ile mwaka 2020 kupatwa kwa jua haukuwepo duniani?

Lakini usiku na mchana inasababishwa na Dunia kujizungusha kwenye mhimili wake, unatambua Hilo?

Kama unatambua inakuwaje uihusanishe na Mungu?

Unafahamu hii inaweza kuelezewa kisayansi zaidi?

Kila sayari iliyopo kwenye solar system huzunguka jua.

Na jua pia huzunguka black hole pamoja na nyota nyingine ambayo ipo centre ya Alfa Centauri.

Kifupi ulimwengu haupo static ila upo katika motion.

Na unazidi kutanuka.

Kila siku nyota mpya huzaliwa, galaxy mpya hutokea, nyota hufa na sayari zinamezwa na black hole.

Unajua chanzo chake?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hicho nacho ni dalili ya kuwepo kwa mungu Who organised solar eclipse?

Swali ni lile lile who organised huo mzunguko je unajiendea tu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hicho nacho ni dalili ya kuwepo kwa mungu Who organised solar eclipse?

Swali ni lile lile who organised huo mzunguko je unajiendea tu?
Si umesema haijawahi kutokea usiku kukawa na mwanga na mchana kukawa na kiza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hicho nacho ni dalili ya kuwepo kwa mungu Who organised solar eclipse?

Swali ni lile lile who organised huo mzunguko je unajiendea tu?
Kwani uliambiwa ni solar system pekee?
Vipi Andromeda?
 
Vitu gani?
Aaah ushasahau hivo vitu.

Hizo system(andromeda, solar systems, day and night and so on) zote nan kaorganise?

Imekuaje vikawepo?

Hapa dunia walimwengu wameleta system nying tu mfano mfumo wa kujikinga na makombora, inafahamika kabisa huu mfumo ni wa nchi flan na unafany kaz namn gan.
 
Aaah ushasahau hivo vitu.

Hizo system(andromeda, solar systems, day and night and so on) zote nan kaorganise?

Imekuaje vikawepo?

Hapa dunia walimwengu wameleta system nying tu mfano mfumo wa kujikinga na makombora, inafahamika kabisa huu mfumo ni wa nchi flan na unafany kaz namn gan.
Hakuna
Ila nadharia ya Mungu inakataa
Kabla havijakuwepo alikuwa wapi?
Kwa nini yeye?

Hivi vitu vinaendelea kutokea mpaka Sasa
Yaani Nyota zinakufa na nyota zinazaliwa, galaxy mpya zinatokea na nyingine kumerge.

Mfano Andromeda na Alfa Centauri zitamerge miaka bilioni ijayo, je zimesababishwa na yeye?
Jibu ni no.

Nenda kasome Singularity theory ndio utaelewa.

Halafu uwe unajibu ukiulizwa
Toa jibu la post yangu ya #20
 
Hakuna
Ila nadharia ya Mungu inakataa
Kabla havijakuwepo alikuwa wapi?
Kwa nini yeye?

Hivi vitu vinaendelea kutokea mpaka Sasa
Yaani Nyota zinakufa na nyota zinazaliwa, galaxy mpya zinatokea na nyingine kumerge.

Mfano Andromeda na Alfa Centauri zitamerge miaka bilioni ijayo, je zimesababishwa na yeye?
Jibu ni no.

Nenda kasome Singularity theory ndio utaelewa.

Halafu uwe unajibu ukiulizwa
Toa jibu la post yangu ya #20

[emoji23][emoji23][emoji23]

Kipendacho roho hula nyama mbichi.

SAS izo nyota kufa na kuzaliwa means kuna kisystem kipo hapo nyuma kama system ya kuzaan binadam. Swali linakuja pale pale hiz system who run them?

Usiendeshwe na theory za binadam wenzako nyingine zimetokea sabab ya ufinyu wa technology na maarifa

Wew unaamin binadam katokan na sokwe?Hiz theory nmekutana nazo san but zimekua hazina mashiko. Main thing ni haya yote yanyoendela ulimwenguni na anayaendesha

Sperm + Ovary= Human. Kivip sperm + Ovary zinamtengeneza binadam kuanzia mifupa mpka nyama
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Kipendacho roho hula nyama mbichi.

SAS izo nyota kufa na kuzaliwa means kuna kisystem kipo hapo nyuma kama system ya kuzaan binadam. Swali linakuja pale pale hiz system who run them?

Usiendeshwe na theory za binadam wenzako nyingine zimetokea sabab ya ufinyu wa technology na maarifa

Wew unaamin binadam katokan na sokwe?Hiz theory nmekutana nazo san but zimekua hazina mashiko. Main thing ni haya yote yanyoendela ulimwenguni na anayaendesha

Sperm + Ovary= Human. Kivip sperm + Ovary zinamtengeneza binadam kuanzia mifupa mpka nyama
Ina maana hujui mechanism inavyofanya kazi?

Hujui kwa nini nyota ufa?

Hujui kwa nini zinazaliwa?
Mind you hakuna uhusiano na kutiana ili apatikane mtoto

Hujui kwa nini Kuna galaxy?

Hujui chochote

Wewe ni mjinga

Unahitaji elimu ili uelewe na uelimike

Nenda kajifunze bing bang theory, singularity theory
Ikiwezekana fika mpaka theory of everything.
Quantum theory

N.B kama kila kitu kimedesigniwa basi jua designer basi naye amedesigniwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Kipendacho roho hula nyama mbichi.

SAS izo nyota kufa na kuzaliwa means kuna kisystem kipo hapo nyuma kama system ya kuzaan binadam. Swali linakuja pale pale hiz system who run them?

Usiendeshwe na theory za binadam wenzako nyingine zimetokea sabab ya ufinyu wa technology na maarifa

Wew unaamin binadam katokan na sokwe?Hiz theory nmekutana nazo san but zimekua hazina mashiko. Main thing ni haya yote yanyoendela ulimwenguni na anayaendesha

Sperm + Ovary= Human. Kivip sperm + Ovary zinamtengeneza binadam kuanzia mifupa mpka nyama
Mungu wa waislam na wakristo ndiye huyo huyo? Na shetani wa waislam na wa wakristo? Na moto wa waislam na wakristo na pepo zao je?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Kipendacho roho hula nyama mbichi.

SAS izo nyota kufa na kuzaliwa means kuna kisystem kipo hapo nyuma kama system ya kuzaan binadam. Swali linakuja pale pale hiz system who run them?

Usiendeshwe na theory za binadam wenzako nyingine zimetokea sabab ya ufinyu wa technology na maarifa

Wew unaamin binadam katokan na sokwe?Hiz theory nmekutana nazo san but zimekua hazina mashiko. Main thing ni haya yote yanyoendela ulimwenguni na anayaendesha

Sperm + Ovary= Human. Kivip sperm + Ovary zinamtengeneza binadam kuanzia mifupa mpka nyama
Nitajie nadharia moja ambayo siyo ya wanadamu.

Moja tu ambayo haijatengenezwa na wanadamu wenzako
 
Ina maana hujui mechanism inavyofanya kazi?

Hujui kwa nini nyota ufa?

Hujui kwa nini zinazaliwa?
Mind you hakuna uhusiano na kutiana ili apatikane mtoto

Hujui kwa nini Kuna galaxy?

Hujui chochote

Wewe ni mjinga

Unahitaji elimu ili uelewe na uelimike

Nenda kajifunze bing bang theory, singularity theory
Ikiwezekana fika mpaka theory of everything.
Quantum theory

N.B kama kila kitu kimedesigniwa basi jua designer basi naye amedesigniwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii dunia upumbav hautoisha wallah mungu atunusuru.

Eti mechanism, okay saw em nambie hio mechanism inafany vip nyama kutokea

Mbna hiv vitu havihitaj akili kubwa.Umekaza theory theory ujui iven theory means what theory ni nadharia not reality sio principle.

Eti big bang theory come on.Kipo kitu nyuma ya hiv vitu havitokei tokei viko organised

Yupo mungu anaendesha hiv vitu
 
Mungu wa waislam na wakristo ndiye huyo huyo? Na shetani wa waislam na wa wakristo? Na moto wa waislam na wakristo na pepo zao je?
Shetani wa waislam yupo vip na shetan wa wakristo yupo vip.Tuanzie hap
 
Nitajie nadharia moja ambayo siyo ya wanadamu.

Moja tu ambayo haijatengenezwa na wanadamu wenzako
Yes nadharia zote ni za wanadam sabab sio reality ndo maana zinamagap meng hii ni kutokan na udhaif tulionao wanadam.

Qur'an imekuja na principles/Kanuni mfano imesema kuhus binadam how ametokea and how anaendelea kutokea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii dunia upumbav hautoisha wallah mungu atunusuru.

Eti mechanism, okay saw em nambie hio mechanism inafany vip nyama kutokea

Mbna hiv vitu havihitaj akili kubwa.Umekaza theory theory ujui iven theory means what theory ni nadharia not reality sio principle.

Eti big bang theory come on.Kipo kitu nyuma ya hiv vitu havitokei tokei viko organised

Yupo mungu anaendesha hiv vitu
Ebu tuanze na kitu kimoja uchague
Tuanze na ulimwengu
Au tuanze na nyama
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Yes nadharia zote ni za wanadam sabab sio reality ndo maana zinamagap meng hii ni kutokan na udhaif tulionao wanadam.

Qur'an imekuja na principles/Kanuni mfano imesema kuhus binadam how ametokea and how anaendelea kutokea
Taja nadharia moja tu ambayo haijaletwa na wanadamu.

Moja tu ambayo una hakika hakuna mwanadamu aliyo ileta.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom