Sijaelewa why umereply kwa ukali hivyo. Ila ni kawaida, ukianzisha mada lazima wewe uwe na upande, na huo upande lazima uwe na hoja zako ambazo zitafungulia mada, huwezi anzisha mada kwa heading tu
😂Kuwepo na kutokuwepo kwa Mungu pia ni Mungu..Mungu ni kila kitu na kila kitu ni Mungu, Atheist pia ni Mungu...imani pia Mungu.. shetani ni Mungu na Mungu ni shetani..mwanzo ni Mungu na mwisho ni Mungu.
Sawa Mkuu, ‘enjoy’ bhana haya mambo yanatatiza sana.Hata hewa sijai ona ila naamini ipo bn,, mituchoooshe
Hivi si nimeipunguza upeo dhana ya “Vyote”? Nimeifafanua maana niliyoikusudia kusema hivyo tena kimahususi kabisa sijui kwanini hujanielewa.Sasa unataka tuongelee muumba vyote wakati hata hatujui vyote ni nini?
Tutaongeleaje hilo?
Twende na hivi vichache tunavyovijua…Yani hivi vichache tunavyoviona na kuvifahamu tu vinakanusha kuwepo kwa convergence kutokea Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, halafu unataka kuviongeza vyote ambavyo hatuvijui?
Msingi huo mtazamaji ni wanaadamu wa zama hizi za sasa… kwetu yaliyopita ni yaliyopita tu au una maana nyingine ya yaliyopita?Let's talk about time.
Do you understand that the concept of time is not fundamental and absolute, and that it is relative and not absolute, and that your question of "before, now, and after" is rather anthropic?
Wewe ni kama mtu uliye katika gari linalokimbia kwa kasi, unafikiri kila mtu yupo katika gari anakwenda kwa mwendo wa kasi.
Hujui kwamba hilo gari kwenda kwa mwendo wa kasi ni a derivative of a still background that does not necessarily move.
Time is neither fundamental nor absolute.
Sasa utasemaje kilichopita, kilichopo na kinachokuja wakati dhana nzima ya sasa inategemeana na mtizamaji ni nani?
Kwetu sisi wanaadamu wa zama za sasa.Kilichopita kwa nani? N nakwa nini kwa huyo?
Hapana sijui, vyema uthibitishe hili, na kama kuna mfano hai wa mtu aliyefanya hivyo itakuwa vizuri zaidi mkuu.Unajua kwamba baba yako aliyekuzidi miaka 40 anaweza kukuacha hapa leo akafanya safari na kurudi yuko kijana kwa miaka mingi kuliko wewe, kwa sababu ya effects za time dilation at near relativistic speeds?
Wapi nimeifanya “fundamental” na “absolute”?Time is relative, neither fundamental, nor absolute.
Why are you making it fundamental and absolute?
Mkuu habari za asubuhi,Hivi unaweza kusibitisha kitu kisichowepo ??!
M nahisi kama tuwepo jangwani halafu usibitishe kwmba hmna msitu
Wapi nimedai kuwa yupo?Thibitisha kwamba hayupo wewe unayedai hivyo. Unakuja na madai na unamtupia mwingine kazi ya kuthibitisha.
Unakubali au unakataa logical consistency kama msingi wa kutupeleka kwenye kujua ukweli?Hivi si nimeipunguza upeo dhana ya “Vyote”? Nimeifafanua maana niliyoikusudia kusema hivyo tena kimahususi kabisa sijui kwanini hujanielewa.
Rejea maana ya “vyote” kama nilivyokusudia.
Twende na hivi vichache tunavyovijua…
Je, tunaweza hitimisha kuwa kwako wewe Bwana Kiranga dhana ya Mungu (IKIMAANISHA Muumba WA HIVI VICHACHE UNAVYOVIJUA, tuachane na Mungu wa hizo sifa unazozikataa twende na hii sifa ya Uumbaji) ni batili na kiumbe, nguvu, mtu au chochote kinachinasibishwa na dhana hiyo ya kuumba si halisi ila uzushi???
Msingi huo mtazamaji ni wanaadamu wa zama hizi za sasa… kwetu yaliyopita ni yaliyopita tu au una maana nyingine ya yaliyopita?
Kwetu sisi wanaadamu wa zama za sasa.
Hapana sijui, vyema uthibitishe hili, na kama kuna mfano hai wa mtu aliyefanya hivyo itakuwa vizuri zaidi mkuu.
Wapi nimeifanya “fundamental” na “absolute”?
Mbona hujibu swali badala yake unauliza swali?Unakubali au unakataa logical consistency kama msingi wa kutupeleka kwenye kujua ukweli?
Asee nimekuelewa sana mkuu,hii mada imeisha tayariwakija kudhibitisha ni kutaka kujengea watu imani flani tu bila udhibitisho unaoingia akilin , hyo imani ya kuamn Mungu hayupo haina tofauti na iman ya din flan tu, waulize ni nguvu gani ilipangilia mifumo mbalimbali kiustadi bila kuathiri viumbe hai , wanasema wanaamni sayansi waulize sayansi inaweza simama bila kutegemea rawmaterial iliyokuwepo tu bila ufundi kutoka kwa binadamu? waulize ni nguvu gani na intelligence ipi inayofanya kazi ndani sperm kuunda kiumbe kilicho na mifumo na mipangilio maalumu ? ni kitu gan kiliweka sukari ndan ya muwa na kwa dhumuni lipi je ilitokea tu bila nguvu na inteligence yoyote?
Mungu ni mtu yeyote mwenye nguvu za kipekee, Mungu ni uwezo wa juu yaa...Unaposema Mungu unamaanisha nini?
Maana hata Beyonce mke wa Jay-Z kuna watu wanamkubali kama Mungu wao.
Na kwa definition yao ya Mungu siwezi kuwakatalia na kusema kwamba Beyonce mke wa Jay-Z hayupo.
Mungu ni nini? Na unathibitishaje hilo jibu lako?
Maswali yote uliyouliza na utakayoweza kuuliza yanarudi kwenye swali hili la msingi.Mbona hujibu swali badala yake unauliza swali?
Kama huna majibu hakuna ubaya kusema hauna maana hakuna ajuae kila kitu.
Hapo ni sawa na unafanya hesabu kwa kusema kila namba ni sawasawa na kila namba nyingine.Mungu ni mfano wa kila kitu na Kila kitu ni Mungu... shetani ni Mungu na Mungu ni shetani.. mwanzo ni Mungu mwisho ni Mungu... Atheist pia ni Mungu...Imani ya Mungu yupo au hayupo pia Mungu..maana yeye ndio chanzo cha kila kitu.
Uwezo wa kipekee ni nini? Kila mtu ana uwezo wa kipekee wa kujijua yeye kama yeye ambao mtu mwingine yeyote hana, je, hilo linamfanya kila mtu awe Mungu?Mungu ni mtu yeyote mwenye nguvu za kipekee, Mungu ni uwezo wa juu yaa...
Sawa mkuu, sasa tupe maoni na mawazo yako ni yapi, kwa nini tuna exist? Kama huamini Mungu yupo ni kitu gani kilipeleka Existence ya dunia na vitu vilivyomo na binadamu kuwepo..?? Na kama Mungu hayupo kwa nini binadamu hatuna Ukuu na nguvu kwa baadhi ya mambo mfano majanga ya asili Earthquakes,floods,vimbunga... tunashindwa kuyazuia yasitokee...sasa nani msababishi wa hivi vitu kama Mungu hayupo?Hapo ni sawa na unafanya hesabu kwa kusema kila namba ni sawasawa na kila namba nyingine.
Huna hesabu hapo, una vurugu tu.
Ndio,watu kama Pele,Ronaldo, Messi,Maradona n.k walikuwa na uwezo wa kipekee kwa hiyo tunaweza kuwaona ni miungu wa soka.Uwezo wa kipekee ni nini? Kila mtu ana uwezo wa kipekee wa kujijua yeye kama yeye ambao mtu mwingine yeyote hana, je, hilo linamfanya kila mtu awe Mungu?
Hujajibu swali la msingi, linalouliza uwezo wa kipekee ni nini?Ndio,watu kama Pele,Ronaldo, Messi,Maradona n.k walikuwa na uwezo wa kipekee kwa hiyo tunaweza kuwaona ni miungu wa soka.
Kwa nini unafikiri unaweza kuelewa kwa nini tuna exist, au hata kuwa suala zima la kitu kimoja kusababisha kingine - linaloleta hoja ya kwa nini tuna exist- ni suala la msingi na lenye mantiki?Sawa mkuu, sasa tupe maoni na mawazo yako ni yapi, kwa nini tuna exist? Kama huamini Mungu yupo ni kitu gani kilipeleka Existence ya dunia na vitu vilivyomo na binadamu kuwepo..?? Na kama Mungu hayupo kwa nini binadamu hatuna Ukuu na nguvu kwa baadhi ya mambo mfano majanga ya asili Earthquakes,floods,vimbunga... tunashindwa kuyazuia yasitokee...sasa nani msababishi wa hivi vitu kama Mungu hayupo?? Hizi Sayansi zetu na nguvu zetu wanadamu mbona zinashindwa kwa baadhi ya mambo????