Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Nimejaribu kupitia comments za watu katika hii thread, Nilichogundua Ni kwamba Kama ambavyo binadamu tulivyo tofauti kimuonekano basi pia tupo tofauti sana kifikra.
Nirudi kwenye mada kwanza kuthibitisha kuwa Kuna mungu au hayupo ni lazima tukubaliane juu ya maana ya Mungu, Kisha ndio tuthibitishe uwepo wake au kutokuwepo.
Pili tuelewe ni ngumu kutenganisha dhana ya uwepo wa mungu na dini yaani uyahudi,uislamu na ukristo.
Nianze na maana ya mungu(N.b kwa jinsi ninavyofahamu Mimi)
Mungu kutoka katika Mwenyezimungu yaani mwenye- enzi -mungu.
Mwenye-mmiliki wa
Enzi- ya kale au mwanzo
Mungu- muweza wa kila Jambo/ anayepaswa kuabudiwa
Hivyo unaposema Mwenyezimungu maana yake -wa mwanzo mwenye kupaswa kuabudiwa au wa mwanzo muweza wa kila Jambo.
Sasa turudi juu ya uwepo wake na kutokuwepo.
Hapa tuelewe kuwa wengi wanao support uwepo wa mungu ni watu wenye dini yaani waislamu,wakristo na wayahudi ndio maana mwanzo nikasema ni ngumu kutenganisha mungu na dini.
Kwa uzoefu wangu wengi wanaopinga uwepo wa mungu (Atheists) wanatumia hoja za kiakili na logic pamoja na ushahidi wa kisayansi kuthibitisha kuwa hakuna mungu na hapo ndipo tatizo limapoanzia, kivipi? ..kuwa makini point inayofuata.
Unapotaka kuthibitisha kuwa hakuna mungu kwa kutumia let say milango ya fahamu yaani macho, pua, masikio n.k hii tunasema ni sayansi kwa maana nyingine ni vipimo vya kupimia vitu vyenye asili ya maada (matters) na mungu sio maada Hivyo kutaka kumpima mungu kupitia vipimo vya kupimia maada ni kosa kwa maana wale Wanaosema mungu hayupo kwa sababu haonekani , hashikiki huwezi kumnusa hoja yao inakosa nguvu automatic kwani wametumia vipimo ambavyo sio sahihi kumpimia mungu yaani ni sawasawa na uchukue mizani ya kupimia uzito alafu unataka kujua kimo cha ndoo hutapata kimo utapata uzito lakini haimanishi hiyo ndoo haina kimo inayo na ukitaka Kupata kimo chake tumia tape measure na sio mizani.
Hoja Ni nyingi Sana ambazo Atheists wanazitumia na Mimi apo nimetoa hoja moja tu na nimeikosoa hoja hio ..mwenye hoja nyingine aweke hapo alafu tuchambue kila hoja
N.b msimamo wangu mungu yupo na linathibitika kiakili, kisayansi na kiimani..​
Safi umenielewa vizuri sana.
Natafuta Ajira angepita hapa aelewe naye.
 
Duuuuh
Kwakuwa dhambi hii niyako pekee wala shida hakuna
Hakuna dhambi ktk mijadala ya kutaka kumjua muumba!
Wacha woga, kheri uamini ilhali unaamini ikiwa unajua fika ni nini hiko unakiamini.

Karibu sana.
 
Daah nasikitika sana kuona mtu makini kama wewe humu ndani kutonielewa.

Uiseme “haueleweki” sema “mimi sijakuelewa” maana kuna watu wamenielewa na tunakwenda vizuri sana.

Mbona bwana Scars, Den Xiaping, Kiranga tunaelewana uzuri sana?

Wacha nijaribu kukuelewesha.
Hicho kichwa cha habari kinasema “MUNGU HAYUPO: Atheists njooni mthibitishe”

Hiyo “Mungu Hayupo” ei hoja yangu (wengi kama wewe hapo hawajaniewa) ni madai ya atheists…

Kisha hapo mbele nimewaalika waje wathibitishe…
Lakini kabla ya kupokea uthibitisho wao nimewaomba wanifafanulie maana ya dhana ya Mungu kwa mujibu wao wenyewe (hapa bwana kiranga alieleza kuwa wao sio dini, hawana msahafu hivyo kila mmoja atakuja na maana yake. Suala ambalo lina ‘make sense’).

Majibu nimepata toka kwa wadau kadhaa
Scars amesema Huyu Mungu asemwaye na ‘mainstream religions’ si halisi ila tafiti zinahitajika zaidi kumjua wa kweli

Den Xiapoing yeye kasema hafahamu

Kiranga kadai Mungu huyu wa ‘mainstream religions’ anakosa ‘logic consistency’ kwanini? Kaeleza…

Min - me Na wengine ambao sijawataja wamenijibu uzuri tu.

NB: Mada hizi hazitaki presha, kukariri wala mihemko. Sababu ktk kujadili bila shaka hoja zako msingi zinaweza kosolewa vikali. Mihemko ikizidi ndo matusi unakuta yanaanza.

Karibu Mkuu, Kama umenielewa mawazo yako ktk mjadala huu yatakuwa ya thamani sana🙏
Tuanze kwanza na wewe basi.. Tupe tafsiri ya Mungu alafu hao Atheists waje kumchambua uyo Mungu unaemmanisha
 
Dini zilikuwepo tangu enzi na enzi, jamii za wanaadamu zimekuwa zikiabudu vile wanavyoviita Mungu kwa miaka mingi sana hili halina ubishi.

Uwepo wake miaka mingi haina maana ni sahihi kuwepo wake maana hata uongo usipodhihirika huonekana ukweli miaka yote mpaka ukweli utakapofahamika.

Ila kuna sehemu ya watu kwenye jamii wamekuwa wakitilia mashaka na kukosoa wazo lenyewe la kuwepo kwa huyo anaeitwa Mungu. Wanaoamini (imani yoyote tu ‘as long as’ wanamuabudu wanachokiita Mungu) wanasistiza kuwa yupo na uwezo wake ni Mkuu sana.

Hoja za waumini nazifahamu baadhi, ila hoja za Atheist sijazielewa.

Ningependa kuwaelewa zaidi Atheists, Karibuni hapa Atheist walau mthibitishe (kama mtaweza) kuwa huyo wa kuitwa Mungu hayupo.

Lakini kwanza ni lazima tufafanue nini maana ya MUNGU, kwa maana kukurupuka kujibu swali ilhali hatujui maana ya dhana ya msingi wa swali itakuwa ni uhayewani wa kiwango cha juu sana.

Karibuni sana!
View attachment 2355249
Mimi sio Atheist,
ila nlipata mda wa kufatilia hoja zao kuhusu Mungu
zipo nyingi
ntakupa chache
kwanza tuanze na atheism ilipoanzia
chimbuko la atheism ni tetemeko la ardhi na tsunami iliyoikumba lisbon mwaka 1755
Lisbon ilikuwa ni nchi takatifu, watu walikuwa wanasali sana
ila mwaka huo, lilitokea tetemeko la ardhi, ambalo lilianza kwa kuangusha majengo yote makubwa, kipindi hicho majengo makubwa yalikuwaga ni makanisa kwa sana
liliangusha makanisa na kuua watu waliokuwa ndani baada ya masaa machache likapita tsunami lililosababishwa na lile tetemeko likasomba na kuua watu na vitu vilivyosalia, wengi walikufa hapo ndo watu wakaanza kuuliza, 'wanasema huyu Mungu ni wa upendo mwingi na mwenye nguvu sana'

'kama huyu Mungu ana upendo kwanini aliruhusu watu wake mwenyewe wafe?'
'na kama aliwapenda, kwanini hakuzuia haya maafa kama ana nguvu sana?'
ikaonekana ni vyema kusema Mungu hayupo, kuliko kusema yupo ila ana kasoro za kupungukiwa upendo ama nguvu

atheist wanapata nguvu kwasababu hakuna mwenye uwezo wa kuthibitisha Mungu yupo, huwezi kusema leo Mungu jionyeshe kwa kunyanyua kikombe hiki ili waamini na ikatokea hivyo
Mungu ni kama Rangi, na atheist ni kama vipofu, hakuna namna utaweza kumuelezea Mungu yuko hivi na akakuelewa namna ambavyo huwezi kuelezea rangi kwa kipofu wa kuzaliwa
ubishano wa theist vs atheist upo toka enzi hizo na hautakuja kuisha mpaka tunakufa
 
kwanza kabsa unatakiwa ujue mimi skubaliani na hii hali ya Mungu kupewa sifa hzo sijui hasira kuabudiwa huzuni na mengne mengi hizo ni sifa za mapungufu tambua vitabu vya din ni maono ya watu waliojitambua na kumtambua Mungu japo kuna nyongeza nyingi ya watu flan kwa dhumuni flan lenye sababu maalumu, huo unaosema ni ubaya ni sisi tu bila kuwa na jicho la ndani tunaona niubaya ila kiuhalisia zina sababu maalumu kwa njia ya upendo mkuu.
Mpaka hapa walishakushinda hoja na ukateteleka msimamo wako
 
Nimejaribu kupitia comments za watu katika hii thread, Nilichogundua Ni kwamba Kama ambavyo binadamu tulivyo tofauti kimuonekano basi pia tupo tofauti sana kifikra.
Nirudi kwenye mada kwanza kuthibitisha kuwa Kuna mungu au hayupo ni lazima tukubaliane juu ya maana ya Mungu, Kisha ndio tuthibitishe uwepo wake au kutokuwepo.
Pili tuelewe ni ngumu kutenganisha dhana ya uwepo wa mungu na dini yaani uyahudi,uislamu na ukristo.
Nianze na maana ya mungu(N.b kwa jinsi ninavyofahamu Mimi)
Mungu kutoka katika Mwenyezimungu yaani mwenye- enzi -mungu.
Mwenye-mmiliki wa
Enzi- ya kale au mwanzo
Mungu- muweza wa kila Jambo/ anayepaswa kuabudiwa
Hivyo unaposema Mwenyezimungu maana yake -wa mwanzo mwenye kupaswa kuabudiwa au wa mwanzo muweza wa kila Jambo.
Sasa turudi juu ya uwepo wake na kutokuwepo.
Hapa tuelewe kuwa wengi wanao support uwepo wa mungu ni watu wenye dini yaani waislamu,wakristo na wayahudi ndio maana mwanzo nikasema ni ngumu kutenganisha mungu na dini.
Kwa uzoefu wangu wengi wanaopinga uwepo wa mungu (Atheists) wanatumia hoja za kiakili na logic pamoja na ushahidi wa kisayansi kuthibitisha kuwa hakuna mungu na hapo ndipo tatizo limapoanzia, kivipi? ..kuwa makini point inayofuata.
Unapotaka kuthibitisha kuwa hakuna mungu kwa kutumia let say milango ya fahamu yaani macho, pua, masikio n.k hii tunasema ni sayansi kwa maana nyingine ni vipimo vya kupimia vitu vyenye asili ya maada (matters) na mungu sio maada Hivyo kutaka kumpima mungu kupitia vipimo vya kupimia maada ni kosa kwa maana wale Wanaosema mungu hayupo kwa sababu haonekani , hashikiki huwezi kumnusa hoja yao inakosa nguvu automatic kwani wametumia vipimo ambavyo sio sahihi kumpimia mungu yaani ni sawasawa na uchukue mizani ya kupimia uzito alafu unataka kujua kimo cha ndoo hutapata kimo utapata uzito lakini haimanishi hiyo ndoo haina kimo inayo na ukitaka Kupata kimo chake tumia tape measure na sio mizani.
Hoja Ni nyingi Sana ambazo Atheists wanazitumia na Mimi apo nimetoa hoja moja tu na nimeikosoa hoja hio ..mwenye hoja nyingine aweke hapo alafu tuchambue kila hoja
N.b msimamo wangu mungu yupo na linathibitika kiakili, kisayansi na kiimani..​
Mungu ni nini?
 
Nisamehe ila ni dhahiri hii mada si kwaajili yako.
Nataka nikurahisishie mada iwe fupi.. umesema Atheists wanapinga uwepo wa Mungu kwaiyo kuna mjadala uliupitia ndo ukajua sasa katika huo mjadala au source yako yoyote ulioipitia ukahitimisha kwamba kuna watu hawaamini uwepo wa Mungu je iyo source ilikua unamwongelea Mungu yupi.. ukimtaja moja kwa moja uyo Mungu anaepingwa na Atheists utakua umerahisisha mambo maana hao Atheists watakuja kuleta hoja zao wakijua ni Mungu yupi wanamfanyia rejea ila ukisema Mungu hayupo hauwezi kueleweka maana Miungu wapo wengi yahwei, yehova, allah, buddha, mfalme zumaridi n.k

nimekulewa vizuri tu kwamba Atheists wanasema Mungu hayupo sasa unachohitajika kuweka wazi kutokana na iyo source yako uliyoitumia kuhitimisha kwamba Atheists wanadai Mungu hayupo je ni Mungu yupi uyo anaepingwa kwenye iyo source ili uchambuzi uanzie hapo
 
Mimi sio Atheist,
ila nlipata mda wa kufatilia hoja zao kuhusu Mungu
zipo nyingi
ntakupa chache
kwanza tuanze na atheism ilipoanzia
chimbuko la atheism ni tetemeko la ardhi na tsunami iliyoikumba lisbon mwaka 1755
Lisbon ilikuwa ni nchi takatifu, watu walikuwa wanasali sana
ila mwaka huo, lilitokea tetemeko la ardhi, ambalo lilianza kwa kuangusha majengo yote makubwa, kipindi hicho majengo makubwa yalikuwaga ni makanisa kwa sana
liliangusha makanisa na kuua watu waliokuwa ndani
baada ya masaa machache likapita tsunami lililosababishwa na lile tetemeko
likasomba na kuua watu na vitu vilivyosalia, wengi walikufa
hapo ndo watu wakaanza kuuliza, 'wanasema huyu Mungu ni wa upendo mwingi na mwenye nguvu sana'
'kama huyu Mungu ana upendo kwanini aliruhusu watu wake mwenyewe wafe?'
'na kama aliwapenda, kwanini hakuzuia haya maafa kama ana nguvu sana?'
ikaonekana ni vyema kusema Mungu hayupo, kuliko kusema yupo ila ana kasoro za kupungukiwa upendo ama nguvu

atheist wanapata nguvu kwasababu hakuna mwenye uwezo wa kuthibitisha Mungu yupo, huwezi kusema leo Mungu jionyeshe kwa kunyanyua kikombe hiki ili waamini na ikatokea hivyo
Mungu ni kama Rangi, na atheist ni kama vipofu, hakuna namna utaweza kumuelezea Mungu yuko hivi na akakuelewa namna ambavyo huwezi kuelezea rangi kwa kipofu wa kuzaliwa
ubishano wa theist vs atheist upo toka enzi hizo na hautakuja kuisha mpaka tunakufa
Shukran sana Mkuu🙏
 
Nimejaribu kupitia comments za watu katika hii thread, Nilichogundua Ni kwamba Kama ambavyo binadamu tulivyo tofauti kimuonekano basi pia tupo tofauti sana kifikra.
Nirudi kwenye mada kwanza kuthibitisha kuwa Kuna mungu au hayupo ni lazima tukubaliane juu ya maana ya Mungu, Kisha ndio tuthibitishe uwepo wake au kutokuwepo.
Pili tuelewe ni ngumu kutenganisha dhana ya uwepo wa mungu na dini yaani uyahudi,uislamu na ukristo.
Nianze na maana ya mungu(N.b kwa jinsi ninavyofahamu Mimi)
Mungu kutoka katika Mwenyezimungu yaani mwenye- enzi -mungu.
Mwenye-mmiliki wa
Enzi- ya kale au mwanzo
Mungu- muweza wa kila Jambo/ anayepaswa kuabudiwa
Hivyo unaposema Mwenyezimungu maana yake -wa mwanzo mwenye kupaswa kuabudiwa au wa mwanzo muweza wa kila Jambo.
Sasa turudi juu ya uwepo wake na kutokuwepo.
Hapa tuelewe kuwa wengi wanao support uwepo wa mungu ni watu wenye dini yaani waislamu,wakristo na wayahudi ndio maana mwanzo nikasema ni ngumu kutenganisha mungu na dini.
Kwa uzoefu wangu wengi wanaopinga uwepo wa mungu (Atheists) wanatumia hoja za kiakili na logic pamoja na ushahidi wa kisayansi kuthibitisha kuwa hakuna mungu na hapo ndipo tatizo limapoanzia, kivipi? ..kuwa makini point inayofuata.
Unapotaka kuthibitisha kuwa hakuna mungu kwa kutumia let say milango ya fahamu yaani macho, pua, masikio n.k hii tunasema ni sayansi kwa maana nyingine ni vipimo vya kupimia vitu vyenye asili ya maada (matters) na mungu sio maada Hivyo kutaka kumpima mungu kupitia vipimo vya kupimia maada ni kosa kwa maana wale Wanaosema mungu hayupo kwa sababu haonekani , hashikiki huwezi kumnusa hoja yao inakosa nguvu automatic kwani wametumia vipimo ambavyo sio sahihi kumpimia mungu yaani ni sawasawa na uchukue mizani ya kupimia uzito alafu unataka kujua kimo cha ndoo hutapata kimo utapata uzito lakini haimanishi hiyo ndoo haina kimo inayo na ukitaka Kupata kimo chake tumia tape measure na sio mizani.
Hoja Ni nyingi Sana ambazo Atheists wanazitumia na Mimi apo nimetoa hoja moja tu na nimeikosoa hoja hio ..mwenye hoja nyingine aweke hapo alafu tuchambue kila hoja
N.b msimamo wangu mungu yupo na linathibitika kiakili, kisayansi na kiimani..​
Hiki ndicho alichotakiwa kukifanya mtoa mada, atoe kwanza tafsiri ya Mungu au kama na yeye hajui basi amtaje uyo Mungu ambae Atheists wanampinga yehwei, yehova, allah, krish, brahama, buddha, mfalme zumaridi ? N.k alafu mjadala uanzie hapo. Sasa kutoa tafsiri hataki, kumtaja hataki hapa duniani kuna miungu sio chini ya 3000 unataka uthibitisho wa kutokwepo kwa mungu yupi sasa
 
Yani wewe uanzishe mada, alaf utake watu waje wathibitishe?

Nadhan ilifaa wewe uweke facts zako kwa upana, then opposers waje na reasons zao, ila sio kutaka waje wapinge kauli ambayo haijashiba maelezo
Mtoa mada anajua the moment atakavyotoa tafsiri ya Mungu au atakapomtaja tu uyo Mungu anaepingwa basi comment moja tu ya Kiranga au Scars inatosha kabisa kumpiga knock out ndo maana anawarushia kwanza kesi Atheists ili yeye awe upande wa kushambulia
 
Sijui wapi hujaelewa, umeuliza maana ya “vyote” nimekujibu vyote ni vyote vilivyokuwepo kabla yetu, vilivyo wakati wetu, vitakavyokuwa baada yetu.
Vyote tulivyovijua, tunavyovijua, tutakavyovijua, tusivyovijua, tusivyokua kuvijua…. Vilivyo, vilivyokuwa na vitakavyokuwa kote ulimwenguni ambapo ulimwengu kwa kasi yake haukutanuka, unakotanuka na utakapotanuka…

Umeelewa maana hiyo ya vyote?

Yaani wataka tujue “vyote” kila kimoja kilichopo ulimwenguni ndo tuhitimishe kuwa dhana ya Mungu (kwa mujibu wa Uislam na Uyahudi) ni batili?

Haya nauliza tena,
je tunaweza hitimisha kuwa kwako wewe Bwana Kiranga dhana ya Mungu (ikimaanisha Muumba wa vyote KAMA NILIVYOELEZA HAPO JUU) ni batili na kiumbe, nguvu, mtu au chochote kinachinasibishwa na dhana hiyo si halisi ila uzushi???
Unaelewa hata huo wakati unaousema "kabla yetu, vilivyo kabla yetu na vitakavyokuja baada yetu" ni vitu unavyoviona wewe kwa uwanda wako mdogo wa kitu, na kwamba kwa muale wa mwanga, wakati ni mmoja tu hakuna uliopita, uliopo na ujao?

Kamsome Albert Einstein katika Relativity ujue kwamba muda ni kitu relative na si absolute na hivyo habari yako ya muda imekuwa na ufinyu wa kiparokia, haina msingi wa ulimwengu wote.

Tatizo wangapi wanasoma Relativity kabla ya kuongelea habari za muda na Mungu kirahisi rahisi tu?

Unawezaje kusema lolote juu ya vyote (nje ya nadharia tu zisizothibitishika) wakati hata ukiambiwa uorodheshe "vyote" hivyo ni vipi huwezi hata kuainisha nusu ya vyote tu, sembuse vyote?

Unaelewa logical consistency ni nini? Unaikubali au unaikataa logical consistncy kama nyenzo inayoweza kutumika kutunyambulia mambo tujue ukweli ni upi na uongo ni upi?
 
Mtoa mada anajua the moment atakavyotoa tafsiri ya Mungu au atakapomtaja tu uyo Mungu anaepingwa basi comment moja tu ya Kiranga au Scars inatosha kabisa kumpiga knock out ndo maana anawarushia kwanza kesi Atheists ili yeye awe upande wa kushambulia
Mtu analeta hoja ya Mungu, unamuuliza Mungu yupi, Mungu mwenye sifa gani? Anashindwa kujibu.

Inaonekana hata yeye hamuelewi au hamuamini huyo Mungu, angekuwa anamuelewa au kumuamini, asingepata tabu kumuelezea.

Sasa anakuwa kama yule mtu aliyeota ndoto, kaota anataka nimtafsirie ndoto yake.

Namuuliza, umeota ndoto gani, nieleze basi niisikie nikutafsirie.

Ananiambia hapana, kwanza niambie nimeota nini, halafu nitafsirie hiyo ndoto.

Sawa hiyoooo?

Haaaaataaaa.

Hiyo si sawa derevaaa, wacha vitukoo.

 
waganga wao wenyewe wanajua mungu yupo, sasa hawa wasoma majarida !?
 
Unaelewa hata huo wakati unaousema "kabla yetu, vilivyo kabla yetu na vitakavyokuja baada yetu" ni vitu unavyoviona wewe kwa uwanda wako mdogo wa kitu, na kwamba kwa muale wa mwanga, wakati ni mmoja tu hakuna uliopita, uliopo na ujao?

Kamsome Albert Einstein katika Relativity ujue kwamba muda ni kitu relative na si absolute na hivyo habari yako ya muda imekuwa na ufinyu wa kiparokia, haina msingi wa ulimwengu wote.

Tatizo wangapi wanasoma Relativity kabla ya kuongelea habari za muda na Mungu kirahisi rahisi tu?

Unawezaje kusema lolote juu ya vyote (nje ya nadharia tu zisizothibitishika) wakati hata ukiambiwa uorodheshe "vyote" hivyo ni vipi huwezi hata kuainisha nusu ya vyote tu, sembuse vyote?

Unaelewa logical consistency ni nini? Unaikubali au unaikataa logical consistncy kama nyenzo inayoweza kutumika kutunyambulia mambo tujue ukweli ni upi na uongo ni upi?
ixo ni theory tu mkuu hazima uthibitisho, juzi darubini mpya imeprove big bang theory ni uongo mkubwa
 
Unaelewa hata huo wakati unaousema "kabla yetu, vilivyo kabla yetu na vitakavyokuja baada yetu" ni vitu unavyoviona wewe kwa uwanda wako mdogo wa kitu, na kwamba kwa muale wa mwanga, wakati ni mmoja tu hakuna uliopita, uliopo na ujao?
Hapana si vitu nivionavyo mimi kwani tangu nizaliwe nina miaka michache sana hapa duniani, haifiki hata hamsini kwahiyo huwezi sema nivionavyo mimi.
“kabla yetu” kirahisi waweza sema kabla ya Big Bang, Kabla ya kuumbwa mwanaadamu (kama waumini watavyosema) au kabla hatuja-evolve kama wanasayansi watavyosema, wakati wetu ni tangu Binaadamu aifaye Dunia kuwa makazi yake, baada yetu- (hii ni possibility) kwa maana hakuna ajuae kwa hakika nini kitafuata, kama wanaadamu watatoweka na kutokea viumbe wengine au namna gani…

Nafikiri kwa makusudi kabisa unajaribu kutafuta chochoro.
Wakati kabla yetu na vilivyo kabla yetu na vijavyo baada yetu ni dhana rahisi kuelewa sijui vipi huelewi.

Ila si mbaya.
Kamsome Albert Einstein katika Relativity ujue kwamba muda ni kitu relative na si absolute na hivyo habari yako ya muda imekuwa na ufinyu wa kiparokia, haina msingi wa ulimwengu wote.
Vizuri kabisa, twende kwa ufinyu huu huu niliokuja nao wa dhana ya “vyote” kama nilivyoisema awali, pasina Msingi wa kiulimwengu (kama ambavyo wewe unaufahamu huo Ulimwengu, ukiweza nitafurahi ukinipa maana yake)
Tatizo wangapi wanasoma Relativity kabla ya kuongelea habari za muda na Mungu kirahisi rahisi tu?
Si wote,
Unawezaje kusema lolote juu ya vyote (nje ya nadharia tu zisizothibitishika) wakati hata ukiambiwa uorodheshe "vyote" hivyo ni vipi huwezi hata kuainisha nusu ya vyote tu, sembuse vyote?
Si nusu tu, hata theluthi itakuwa ngumu, ndiyo maana kwa makusudi nikasema “tunavyovijua, tusivyovijua na ambavyo hatutakuja kuvijua”

Kwa maana ile ile unayoiita “finyu” ya dhana ya “vyote” tafadhali nijibu swali hili tufunge mjadala huu, na kama hauna jibu si ubaya kukiri.

Je, tunaweza hitimisha kuwa kwako wewe Bwana Kiranga dhana ya Mungu (ikimaanisha Muumba kwa vyote-kwa “Ufinyu wa kiparokia” wa dhana hii) ni batili na kiumbe, nguvu, mtu au chochote kinachinasibishwa na dhana hiyo si halisi ila uzushi???
 
wakija kudhibitisha ni kutaka kujengea watu imani flani tu bila udhibitisho unaoingia akilin , hyo imani ya kuamn Mungu hayupo haina tofauti na iman ya din flan tu, waulize ni nguvu gani ilipangilia mifumo mbalimbali kiustadi bila kuathiri viumbe hai , wanasema wanaamni sayansi waulize sayansi inaweza simama bila kutegemea rawmaterial iliyokuwepo tu bila ufundi kutoka kwa binadamu? waulize ni nguvu gani na intelligence ipi inayofanya kazi ndani sperm kuunda kiumbe kilicho na mifumo na mipangilio maalumu ? ni kitu gan kiliweka sukari ndan ya muwa na kwa dhumuni lipi je ilitokea tu bila nguvu na inteligence yoyote?
sukari kwenye miwa ,machungwa, na ladha kwenye magimbi, iliwekwa na wanasayansi ,kwa mujibu wa Kiranga
 
Back
Top Bottom