Mungu anajibu maombi,shemeji yenu kanichumbia

angalizo kwako dada cheusimangala nahisi kama itapata kutu vile we sali sana kabla haijawa hivyo..
BTW hongera sana mamaa..
 
Hongera sana Dada Cheusi, na nitaendelea kukuombea muwe na afya njema na huyo shemeji asibadili mawazo.....
thanx katavi,ubarikiwe kwa maombi utakayotufanyia.
hapo kwenye red, i rebuke it from happening in Jesus name,he is mine till death do us part in jesus name.Amen.
 
Enzi zetu hakukuwa na kuvalishana pete za uchumba!!!

Siku hizi nimeshuhudia wachumba wanavalishana pete za uchumba mpaka uchumba unavunjika!!!

Anywayz endelea na maombi maana "siku hizi" we acha tu!
 
amani ya mungu na iwe juu yenu wapendwa wangu.

Najua nimepotea machon mwenu kwa kitambo sasa,lkn sikua na tatizo lolote ni michakato tu ya kimaisha ndo ilifanya nikose muda wakuwa nanyi wapendwa wangu.
Hapa nilipo nina furaha ya ajabu,ni muda mrefu sijawahi kuwa na furaha ya kiwango cha juu namna hii.shemeji yenu nimpendae kuliko kitu chochote hapa duniani amenifanya the happiest woman alive kwa kunivalisha pete ya uchumba.huyu shem wenu kuna kipindi nilidhan ananipotezea muda maana kila nilikua nikimtajia mambo ya ndoa alionekana hayuko tayari.baada ya kusubiri sana nikaamua kufunga kwa maombi,nikasema mungu kama huyu kijana siye uliyeniandalia naomba umfanye aniache nisonge mbele asinipotezee muda ila kama ndiye uliyenipangia basi naomba unipe ishara kwa yeye kunivalisha pete bila ya mim kumwambia wala kuongea lolote lenye kuhusiana na ndoa.kwa kweli mungu wangu is the most highest god,no one like him,i will always serve him.ndugu zangu lengo la kuandika hapa,sio tu kuwashirikisha furaha yangu bali pia ni kuwashuhudia kwamba tumshirikishe mungu kwenye mambo yetu yote,maana hekima zake si kama zetu.

Ashadii niandalie kitchen party.
hongera.
 
Cheusimangala dear….


Nimefurahi mno kwa taarifa hii nimepata…. Kwa kweli unastahili pongezi for pamoja na kusema wengi wamekua na kasumba/imani ya kusema kuolewa sio lazima… Sikubaliani nao… IMO Kuolewa ni bahati, hivyo Cheusi Mpenzi jihesabu kua una bahati (and from your posts, nina glimpse ya the type of person you are… hivo hata shemeji yetu naamini ana bahati pia). HONGERA SAAAANA!


Iam humbled kua umesema nikuandalie kitchen party… (Yawezekana umetania – but sinaga utani in ndoa relatated issues for I respect with maximum hio institution) Sielewi upo wapi…. Ila tokana na shughuli na my full situation naamini kua kuhudhuria kwangu ni kugumu, la muhimu nitaandaa special thread yako kwa ajili ya kitchen party na Mungu akijalia nitakutumia popote ulipo kumbukumbu ambayo nitajitahidi iwe ya kudumu kwa mda mrefu katika ndoa yako. Mwenyezi Mungu Muweza wa yoote akulinde, akubariki na akuwekee wepesi katika maandalizi yoote mpaka hatua ya Ndoa. Be Blessed.


Pamoja Saaana.
AshaDii….

thanx u so much.napata faraja kuona mkifurahia pamoja nami.Ndoa ni jambo jema,na siku zote nitahakikisha uwepo wa Mungu unatawala ktk nyumba yangu ili aniepushe na kauli kuwa ndoa ni njungu,nikimtumainia yeye nina hakika kabisa mm na mwenzangu tutaiona kuwa nyumba yenu ni sawa na bustani ya eden.Ni kweli shemeji yako ana bahati sababu nina mpenda sana tena kwa dhati.
Hapo pekundu umenigusa sana machozi yananilenga kwa furaha ya kunionesha upendo namna hii,hiyo thread nitaitoa copy na nitazingatia kila neno litakalokua limeandikwa humo.Asante sana my darling sister na Mungu akubariki.
 
Amani ya Mungu na iwe juu yenu wapendwa wangu.

Najua nimepotea machon mwenu kwa kitambo sasa,lkn sikua na tatizo lolote ni michakato tu ya kimaisha ndo ilifanya nikose muda wakuwa nanyi wapendwa wangu.
Hapa nilipo nina furaha ya ajabu,ni muda mrefu sijawahi kuwa na furaha ya kiwango cha juu namna hii.Shemeji yenu nimpendae kuliko kitu chochote hapa duniani amenifanya the happiest woman alive kwa kunivalisha pete ya uchumba.Huyu shem wenu kuna kipindi nilidhan ananipotezea muda maana kila nilikua nikimtajia mambo ya ndoa alionekana hayuko tayari.Baada ya kusubiri sana nikaamua kufunga kwa MAOMBI,nikasema Mungu kama huyu kijana siye uliyeniandalia naomba umfanye aniache nisonge mbele asinipotezee muda ila kama ndiye uliyenipangia basi naomba unipe ishara kwa yeye kunivalisha pete bila ya mim kumwambia wala kuongea lolote lenye kuhusiana na ndoa.Kwa kweli Mungu wangu is the most highest God,no one like him,i will always serve him.Ndugu zangu lengo la kuandika hapa,sio tu kuwashirikisha furaha yangu bali pia ni kuwashuhudia kwamba tumshirikishe Mungu kwenye mambo yetu yote,maana hekima zake si kama zetu.

Ashadii niandalie kitchen party.
Kwa kweli hiyo furaha yako ni ya uhakika, ila ninalo swali kidogo; huyo shem wetu uliwahi kufanya naye mambo ya kikubwa???????? Maana unasema mmejuana siku nyingi kivipi??? Kama ni hivyo mtabidi mtubie dhambi zenu kwanza kabla ya kumshirikisha Mungu kwenye mipango yenu ya ndoa. Msirudie tena kukutana kimwili hadi harusi!!!!!!!!! Bila shaka mmenielewa!!!!!!!!!
 
Hongera sana cheupe,...ops cheusiManga,...
Usisahau hata stage moja ya maisha yako kumshirikisha Mungu,...

Nasubiria majibu kabla ya kwenda kupima na wifi yako mwezi ujao so
i hope ntatoa pete soon pia
(mmh,natetemeka balaa hapa)
 
thanx fidel kwa hongera na kwa tips.
safari hi nakuruhusu unidai chochote utakacho nitatoa kama kipo ndani ya uwezo wa kutolewa.
Hapa sasa cheusimangala hommie wangu Fidel kwa statement hii ngoja nimsubiri nione atajibu nini lol!!!
 
thanx u so much.napata faraja kuona mkifurahia pamoja nami.Ndoa ni jambo jema,na siku zote nitahakikisha uwepo wa Mungu unatawala ktk nyumba yangu ili aniepushe na kauli kuwa ndoa ni njungu,nikimtumainia yeye nina hakika kabisa mm na mwenzangu tutaiona kuwa nyumba yenu ni sawa na bustani ya eden.Ni kweli shemeji yako ana bahati sababu nina mpenda sana tena kwa dhati.
Hapo pekundu umenigusa sana machozi yananilenga kwa furaha ya kunionesha upendo namna hii,hiyo thread nitaitoa copy na nitazingatia kila neno litakalokua limeandikwa humo.Asante sana my darling sister na Mungu akubariki.


Mwenyezi Mungu atubariki woote.... Tuombe tu uzima.
 
Enzi zetu hakukuwa na kuvalishana pete za uchumba!!!

Siku hizi nimeshuhudia wachumba wanavalishana pete za uchumba mpaka uchumba unavunjika!!!

Anywayz endelea na maombi maana "siku hizi" we acha tu!


ni kweli BE hata mie nimeshashahudia mauchumba mengi yakivunjika,lkn huu wa kwangu umesimikwa kwa damu ya Yesu,Hautavunjika hata kwa kifo,maana mim na mume wangu tukifa ktk mwili tutakutana tena mbinguni kwa baba.Mungu apewe sifa maana anastahili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom