The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Dah!!!!! Kloro bana wee ngoja tu, sasa bro cheusimangala kavalishwa pete tunafanyaje kiongozibro umetoka kwa dhamana ? pole sana mkuu Kloro alitupa taarifa ndio dunia hii.
Dah!!!!! Kloro bana wee ngoja tu, sasa bro cheusimangala kavalishwa pete tunafanyaje kiongozibro umetoka kwa dhamana ? pole sana mkuu Kloro alitupa taarifa ndio dunia hii.
asante na pole mana nilioneshwa kuwa ww sio wa ubavu wangu.Vipi utaweza kujikaza uwe best man?Sawa bana nimekubali kishingo upande,congrats.
Sawa bana nimekubali kishingo upande,congrats.
uporoto atazimiaasante na pole mana nilioneshwa kuwa ww sio wa ubavu wangu.Vipi utaweza kujikaza uwe best man?
Amani ya Mungu na iwe juu yenu wapendwa wangu.
Najua nimepotea machon mwenu kwa kitambo sasa,lkn sikua na tatizo lolote ni michakato tu ya kimaisha ndo ilifanya nikose muda wakuwa nanyi wapendwa wangu.
Hapa nilipo nina furaha ya ajabu,ni muda mrefu sijawahi kuwa na furaha ya kiwango cha juu namna hii.Shemeji yenu nimpendae kuliko kitu chochote hapa duniani amenifanya the happiest woman alive kwa kunivalisha pete ya uchumba.Huyu shem wenu kuna kipindi nilidhan ananipotezea muda maana kila nilikua nikimtajia mambo ya ndoa alionekana hayuko tayari.Baada ya kusubiri sana nikaamua kufunga kwa MAOMBI,nikasema Mungu kama huyu kijana siye uliyeniandalia naomba umfanye aniache nisonge mbele asinipotezee muda ila kama ndiye uliyenipangia basi naomba unipe ishara kwa yeye kunivalisha pete bila ya mim kumwambia wala kuongea lolote lenye kuhusiana na ndoa.Kwa kweli Mungu wangu is the most highest God,no one like him,i will always serve him.Ndugu zangu lengo la kuandika hapa,sio tu kuwashirikisha furaha yangu bali pia ni kuwashuhudia kwamba tumshirikishe Mungu kwenye mambo yetu yote,maana hekima zake si kama zetu.
Ashadii niandalie kitchen party.
Hiyo inataka moyo,nipe muda nitakujibu.asante na pole mana nilioneshwa kuwa ww sio wa ubavu wangu.Vipi utaweza kujikaza uwe best man?
Kwa kweli hiyo furaha yako ni ya uhakika, ila ninalo swali kidogo; huyo shem wetu uliwahi kufanya naye mambo ya kikubwa???????? Maana unasema mmejuana siku nyingi kivipi??? Kama ni hivyo mtabidi mtubie dhambi zenu kwanza kabla ya kumshirikisha Mungu kwenye mipango yenu ya ndoa. Msirudie tena kukutana kimwili hadi harusi!!!!!!!!! Bila shaka mmenielewa!!!!!!!!!
ni kweli BE hata mie nimeshashahudia mauchumba mengi yakivunjika,lkn huu wa kwangu umesimikwa kwa damu ya Yesu,Hautavunjika hata kwa kifo,maana mim na mume wangu tukifa ktk mwili tutakutana tena mbinguni kwa baba.Mungu apewe sifa maana anastahili.
Si unajua tena sisi wanaume tukianguka tunafuta vumbi na kuanza upya nahamia rasmi kwa Hus.Dah!!!!! Kloro bana wee ngoja tu, sasa bro cheusimangala kavalishwa pete tunafanyaje kiongozi
Hongera sana cheupe,...ops cheusiManga,...
Usisahau hata stage moja ya maisha yako kumshirikisha Mungu,...
Nasubiria majibu kabla ya kwenda kupima na wifi yako mwezi ujao so
i hope ntatoa pete soon pia
(mmh,natetemeka balaa hapa)
ushikaji pembe hata Fidel haufagilii lol!uporoto atazimia
Cheusimangala mtafute Pearl atakusaidia sana
Si unajua tena sisi wanaume tukianguka tunafuta vumbi na kuanza upya nahamia rasmi kwa Hus.
Hahaha!!! Kwahiyo wewe utakuwa bestman kwenye harusi ya cheusimangala halafu yeye atakuwa matron wa Hus kwenye harusi yako hapo ngoma droo lol!!!ushikaji pembe hata Fidel haufagilii lol!
uporoto atazimia
Hahaha!!! Kwahiyo wewe utakuwa bestman kwenye harusi ya cheusimangala halafu yeye atakuwa matron wa Hus kwenye harusi yako hapo ngoma droo lol!!!
Hongera Sana Cheusimangala
Hapo bold umenikumbusha Wimbo wa Tenzi za Rohoni: Watakatifu twonane mtoni...
Cha Msingi mdogo wangu Cheusi ni UPENDO:
"... Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika..." 1 Wakorintho 13:-
Hapa sasa cheusimangala hommie wangu Fidel kwa statement hii ngoja nimsubiri nione atajibu nini lol!!!