Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,739
- 76,380
Na yake hataki ipekuliwe yuko makini pia.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23], mwanaume anaepekua simu ya mkewe ujue yuko makini[emoji38] [emoji38]
Na yake hataki ipekuliwe yuko makini pia.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23], mwanaume anaepekua simu ya mkewe ujue yuko makini[emoji38] [emoji38]
Hofu nnayo mie au yeye anaepekua simu saa zote... we uwe unarudi kazini kila siku nikupekue mifukoni mwako utapenda??? Em wanandoa wapeane uhuru basi... !!!Ikiwa huna shida unahofu ya ni nini? Just relax na utaenjoy maisha. The problem is, ninyi wanawake mnaishi kwa hisia na mihemuko.
Bora ubakie hivyo hivyo bila kujiingiza kwenye udukuzi wa taarifa za mumeo. Afterall unatafuta ili ufanyie ni nini. Vitu vingine vya kijinga sana.
Hahahahahha hana lolote mwizi huyo... anaogopa na yeye kuibiwa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23], mwanaume anaepekua simu ya mkewe ujue yuko makini[emoji38] [emoji38]
Lazima monitoring iwepo, mkiachiwa uhuru sana mna missuse.Hahahahahha hana lolote mwizi huyo... anaogopa na yeye kuibiwa
Weka password na wewe ya kwako,akikuuliza mjibu kuna mambo ya vicoba hupaswi kuyajuaNaombeni ushauri,
Kuhusu hii hali mume wangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawezi maana kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mimi sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kama simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha ni nini.
Ikiwa nakupenda lazima hofu niwe nayo na niweze kuku-monitor japo mara moja moja.Hofu nnayo mie au yeye anaepekua simu saa zote... we uwe unarudi kazini kila siku nikupekue mifukoni mwako utapenda??? Em wanandoa wapeane uhuru basi... !!!
Maudhi yakiwa mengi moyoni hata hamu za kukumbatiana hupotea na usingizi hukataSaa 6 ucku ss hivi umeshika simu unapost jf badala ya kulala umkumbatie mumeo?!..halaf unalalamika humuelewi
Muda mwingine ni bora kudhahania kuliko kujihakikishia, kumbuka kunguru mwoga hukimbiza bawa lakewanawake wa leo mkijua kuzipotezea simu za waume zenu,mtakua na maisha marefu sana,ya ndoa pia ki umri na afya,yaani unakuta 75% mwanamke mnyongee,anakonda na kusononeka,kisa anahisi mumewe anawasiliana na mademu nje
Amina....mme wako kapata jembe aisee!!Ni kwle smtms tunakua hatujui nn tunataka tuwape space hawa viumbe wkt mwingine...
Ndio mana wanawake wengi tunapata presha kwasababu tunajibebesha mizigo mingi.. Timiza wajibu wako kwake.. Mengine mwachie Mungu akulindie,
Hahahahahha umonita kakupa nani... sitaki mieIkiwa nakupenda lazima hofu niwe nayo na niweze kuku-monitor japo mara moja moja.
Unapokuwa mwizi lazima mwenzio nae umhisi kuwa ni mwizi.Hahahahahha hana lolote mwizi huyo... anaogopa na yeye kuibiwa
tena kipindi hiki cha baridi yabisi badala atengeneze ndoa yake anakimbilia JF sijui ndio iliyofunga nae ndoaSaa 6 ucku ss hivi umeshika simu unapost jf badala ya kulala umkumbatie mumeo?!..halaf unalalamika humuelewi
Hahaahahhaahhaha hope ameweka password uteseke... msg zitaingia kusoma husomiUnapokuwa mwizi lazima mwenzio nae umhisi kuwa ni mwizi.
ila mi ya mke wangu siigusi kabisa, bahati mbaya leo nimejisahau nimeichukua kazini[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Uminitor uko auto provided bado nakupenda na unaniheshimu.Hahahahahha umonita kakupa nani... sitaki mie
Ahsante kwakuongeza ...Na mautundu sio ustaarabu kila sehemu!!