Mume wangu simwelewi, hataki kabisa nishike simu yake

Mume wangu simwelewi, hataki kabisa nishike simu yake

Kabisa yaani nilishakaacha zamani ndio nakasikia tu kwa watu kama hivi
kabisa hyo inatesa sana watu,unaweza ona kumbe hata mumeo hafanyi kama unavyo dhani au anaweza akawa anafanya but not to the frequency kubwa kiasi hicho.japo wanasema dhambi ni dhambi
 
We cm ya mmeo ya nn?? Au una hamu ya kudai talaka?? Mwache aweke pw achana nayo we fanya Yako lipotezee ...
 
kabisa hyo inatesa sana watu,unaweza ona kumbe hata mumeo hafanyi kama unavyo dhani au anaweza akawa anafanya but not to the frequency kubwa kiasi hicho.japo wanasema dhambi ni dhambi
Kwa wasiojua na ambao hawajapitia hizo hali wataona kupuuzia ni ujinga kumbe sio inafanya unakuwa na zaidi ya amani katika moyo kwani siku zote mapenzi yako kwenye moyo wa mtu na sio ndani ya simu.

Mana anaweza kukupa simu uangalie na kupekua kumbe ana uchafu kibao anaoufanya huko nje ambao ukiangalia kwenye simu huwezi kuona.
 
Kiukweli inakera sana pale MTU anapokataa na simu yake... Mnashirikiana viungo vya ndani alafu simu hakushirikishi!? Pole tu sasa .. Kazana kuombea wanao wakue wakiwa na Afya na hofu ya mungu( ni hayo tu)
 
natabiri kuwa utakua na maisha yenye furaha na umri mrefu sana,nzuri zaidi baadi ya magonjwa yatakupita mbali,yaa kwa ulimwengu wa leo watakuona mjinga but sio mjinga,yawezekana ukawa ndio mwenye hekima kuzidi wengi
Kwa wasiojua na ambao hawajapitia hizo hali wataona kupuuzia ni ujinga kumbe sio inafanya unakuwa na zaidi ya amani katika moyo kwani siku zote mapenzi yako kwenye moyo wa mtu na sio ndani ya simu.

Mana anaweza kukupa simu uangalie na kupekua kumbe ana uchafu kibao anaoufanya huko nje.
 
Naombeni ushauri,

Kuhusu hii hali mume wangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawezi maana kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mimi sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kama simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha ni nini.


Kama humuoni ulijuwaje kama "anapekua" simu yako.

Achana na simu ya mumeo na ya mtu yeyote yule hata mwanao akiwa adult huna haki ya kuchunguza simu yake.

Ukiona mtu anachunguza simu ya mwenzake ujuwe hakuna kuaminiana katika hiyo ndoa.

Wananikera wale unapoweka simu yako wakiisikia inaita basi wao "simu yako inaita", khaa! Umbea tu kwani mwenyewe siisikii?
 
IMG-20170323-WA0015.jpg
 
natabiri kuwa utakua na maisha yenye furaha na umri mrefu sana,nzuri zaidi baadi ya magonjwa yatakupita mbali,yaa kwa ulimwengu wa leo watakuona mjinga but sio mjinga,yawezekana ukawa ndio mwenye hekima kuzidi wengi
Kabisa na ndio ukweli wenyewe kwani ni kiasi cha kuamua tu .
 
Mwanamke mpunmbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe.Yaelekea una kiherehere sana,pumbavu.
 
Huo ni msemo wa Malaya asiye na hisia,aliyevurugukiwa na akili limebaki kopo wala hasikii radha kavua sana tangu kipindi kirefu yeye ni kama nenda maana kwenda mmekutana ukubwani kwann usiendelee na uliyekutana naye utotoni saa ingine nyie makahaba msiwe mnachangia.
Loooh aiseee asante kwa hayo majina ya hovyo hovyo hiv unanifahamu lkn mpka kuniita majina hayo
 
Simu ya mwanaume ni kama kumenya kitunguu. Itakutoa machozi bureeee
 
Pole dada ukiona hivyo tambua hakuna cha ofisi ni michepuko tu nawe weka yako password utaona atakavyokuja juu ayafanyayo huko atajua nawe hivyo hivyo akiuliza mwambie kuna mambo ya kike hupaswi kujua
Fact Na ww weka paswd mm ilikuwa hvyo hvyo Na mm nikaweka akiniambia fungua paswd Na mm Na mwambia fungua ya kwako mbona alitoa
 
Naombeni ushauri,

Kuhusu hii hali mume wangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawezi maana kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mimi sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kama simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha ni nini.
Sasa umesema yake unataka ya nini, ndio inakufanya ule na uishi nae. Kaa mbali nayo sana. Wala usiizoee.
 
Naombeni ushauri,

Kuhusu hii hali mume wangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawezi maana kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mimi sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kama simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha ni nini.
Simu sio mume wko ukiona inakukera mnunulie cmu kwa pesa yko ili uwe na uhuru wa kuipekua,kila mtu akae na simu yake
 
Mwanamke mpunmbavu hubomoa nyumba yake mwenyewe.Yaelekea una kiherehere sana,pumbavu.
Nimeomb ushauri co matusi mwenye kihereher ni ww mwanaume mwenye tabia za dada zako inaonekana muda wako mwingine unakaa vibarazani na wanawake. Ndio maan una maneno ya kike kike
 
Achana na sim ya mumeo ya nn ili mradi anakuheshim anatimiza mahitaj kama mume inatosha mie sishikag sim ya mchumba wng hata siku moja na yeye yangu hashiki labda akitaka kuangalia ista natoa passport au na mie nikitaka kuangalia kitu kwake natoa yani akiwa hapo hapo kaishika sichunguz zaidi ya kitu nilichotaka kuangalia basi mana utakuja kuta makubwa ukimbie ndoa yko
 
Back
Top Bottom