Mume wangu simwelewi, hataki kabisa nishike simu yake

Mume wangu simwelewi, hataki kabisa nishike simu yake

Weka password ya kwako kwa nin usumbuke na mtu ulokutana nae ukubwani kwako yaan ten fanya haraka kuweka hiyo password
Huo ni msemo wa Malaya asiye na hisia,aliyevurugukiwa na akili limebaki kopo wala hasikii radha kavua sana tangu kipindi kirefu yeye ni kama nenda maana kwenda mmekutana ukubwani kwann usiendelee na uliyekutana naye utotoni saa ingine nyie makahaba msiwe mnachangia.
 
Naombeni ushauri kuhus hii hali mumewangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawez maan kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mm sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kam simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha nini
Na wewe kwa nini ushike simu ya mumeo?yaani type za wanawake kama nikioa naacha....Marriage is good, when we have it we need to preserve our individuality.Sasa wewe kama mumeo anakupa kila kitu, mf anarudi nyumbani mapema, anakuhudumia, anakukojoza, anakubusu, anakula papuchi yako na anakusapoti kwa kila hali simu yake ya nini??Tuwe mastaarabu sio kufanya mafukunyuku ambayo yanaweza kuyumbisha ndoa yako
 
Naombeni ushauri kuhus hii hali mumewangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawez maan kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mm sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kam simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha nini
Unajitia Bp bureeee isokua ya lazima,ivi nikuulize akisha kupa PW ukishafungua ukishasoma kinachofata ni nini?
shosti hakuna mkamilifu na kuanza kua na wasiwasi na mumeo ndio mwanzo wakutokujiamini na kufanya majukumu yako yako kama mke,achana na cm ya mumeo haito kusaidia chochote mapenzi yako kwake ndio yatamfanya hata akienda kwa mchepuko aone huna mpinzani kuanzia usafi wa mwili wako nyumba,mapishi,na heshima kwake....
 
Wanawake mna tabu sana, ukishajua password ikusaidie nini?
Upekuzi sio mzuri, waweza pekua simu ya mumeo na kuona yasiyokuhusu au kukuta amba za wenzio na baadae ukajuta.
Angalizo: Usipende kupekua simu ya mumeo kama yeye hapekui ya ya kwako.
Mi wifi yako kakoma kupekua simu yangu tangu alipopekua akakutana na picha za "postmortem"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sahv hata simu ikiita hagusi
Hv mnasoma vizuri jamani..... ameshasema mume kutwa kupekua simu ya mdada ila ya kwake hataki iguswe... thats not fair... usimfanyie mwenzio usichokipenda..!!!
 
Unajitia Bp bureeee isokua ya lazima,ivi nikuulize akisha kupa PW ukishafungua ukishasoma kinachofata ni nini?
shosti hakuna mkamilifu na kuanza kua na wasiwasi na mumeo ndio mwanzo wakutokujiamini na kufanya majukumu yako yako kama mke,achana na cm ya mumeo haito kusaidia chochote mapenzi yako kwake ndio yatamfanya hata akienda kwa mchepuko aone huna mpinzani kuanzia usafi wa mwili wako nyumba,mapishi,na heshima kwake....
Na mautundu sio ustaarabu kila sehemu!!
 
Ukisikiliza ushauri wanaokupa huku kuwa nawe uweke password basi jiandae kwa ugomvi.....mwanamke hutakiwi kuwa wa kulipiza lipiza kwa mumeo, mwanamke unatakiwa diplomasia itawale kwa mumeo
Nakushauri usilipize kwa kuanza kuweka password kwenye simu yako kama mumeo humuamini basi tumia njia nyingine ya kiusalama zaidi either umuulize kitu ambacho unaona anafanya si sawa
 
Pole dada ukiona hivyo tambua hakuna cha ofisi ni michepuko tu nawe weka yako password utaona atakavyokuja juu ayafanyayo huko atajua nawe hivyo hivyo akiuliza mwambie kuna mambo ya kike hupaswi kujua
[emoji115] ushaur unakutosha
 
Mbona wengi mnamsema mdada anatafuta nini... mbona hamuulizi na huyo mumewe kwenye simu ya mkewe anafuta nini au hamjasoma hicho kipengele.... not fair at all.. just bcoz ni mwanaume it doesnt give you the right ya kumfanyia mkeo usichopenda wewe... dada weka yako password.. akitaka yako mwambie sitaki kila mtu abaki na chake wala usihangaike na yake... hana lolote huyo anaficha ushenzi wake tu.. atavumilia weee ukimnyima yako ila kuna siku atafuta ujinga wake then atakwmabia mbadilishane... usidanganyike kashayafuta yoooote!!!!
 
Naombeni ushauri kuhus hii hali mumewangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawez maan kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mm sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kam simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha nini

SIO MWAMINIFU 100% HAKUNA MJADALA.
 
Kwani Kisheria Dada yangu unatakiwa ushike sana Uume wake au Simu yake? Nyie Dada zetu hivi viherehere vyenu ndivyo vinawaponza hadi mnatufanya tuwachoke na tujisajili sana katika NJE CUP.
Kajisajili tena naona usajili bado unaendelea.... Mwamtisha nani
 
Kuwa makini sana na ushauri unaopewa vile naona ndoa yako imeshikiliwa na kajiuzi kembambaaaa, kakikatika tu inakula upande
 
Naombeni ushauri kuhus hii hali mumewangu hataki kabisa ushike simu yake na simu zake zina password na ukimuomba kukutajia anakwambia kabisa hawez maan kwenye simu zake kuna mambo ya ofisi ambayo mm sitakiwi kuyafahamu ila ya kwangu haina password na huwa anaishika kam simuoni anapekua sana tu sasa sijui anachoficha nini
Sasa umeshaambiwa kuna mambo ya ofisi ambayo hutakiwi kuyajiua (confidential), sasa kwan unafanya kazi ofisi moja na mumeo? Vitu vingine ni kujitafutia pressure tu bure kama anatimiza majukumu yake yote vzr kama baba wa familia ww shida yako nn?, kweli wanawake huwa hamuelewi mnataka nn
 
Unajitia Bp bureeee isokua ya lazima,ivi nikuulize akisha kupa PW ukishafungua ukishasoma kinachofata ni nini?
shosti hakuna mkamilifu na kuanza kua na wasiwasi na mumeo ndio mwanzo wakutokujiamini na kufanya majukumu yako yako kama mke,achana na cm ya mumeo haito kusaidia chochote mapenzi yako kwake ndio yatamfanya hata akienda kwa mchepuko aone huna mpinzani kuanzia usafi wa mwili wako nyumba,mapishi,na heshima kwake....
Wanawake wengi mgekuwa na uwezo wa kuoambanua kama wako sidhani kama kesi nyingi za simu zingesumbua kama sasa!

Uliyomshauri akiyazingatia utakuwa umetibu tatizo lake.

Hongera kwa kuliona hilo.
 
Back
Top Bottom