Bimkubwa HATAKI KURUDI anasema Hana Imani tena na Timu aliyonayo na waliomzunguka, anasema kwanza hajasema kama anataka Ila walimlisha maneno maneno.
Kwanza anawaza asijerudi ikawa safari ya mwisho kama alienda zake, ni busara zilitumika alivyorudi Ilibidi atafutwe mlimbwende aonekane karuka kutano kwa sababu ya mlimbwende Ila kutano ! na mlimbwende wapi na wapi ?
Kwa sasa majadiliano makuu kashindwa kuyafunga kule katikati ya bahari kuu na vikao havikai ni kuogopana na yeye Hana maamuzi ni Dua zilizobakia.
Imani na maeneo haipo, yeye Yu tayari kuyaachia mamlaka Ila walio nyuma yake hawataki kabisa na bahati mbaya wanajiona wanajua hawana wa kuwatisha, Ila yeye anaogopa ana subiri wampe uhakika arudi la sivyo hamna maamuzi yatapatikana na desemba 25 hii apa Bado miezi miwili TU lahasha akikubali itakua kama mshituko kila kitu kitafanywa haraka haraka.
Ila hao wanaotaka arudi wakimjulisha atawakuta wanaomsubilia wanajua hamna litakalo pangwa na likawa na kwa sasa wanajua hamna mwenye nyumba ni pasuko kubwa sana.
Hii ndoto yangu bwana sijui kama ninayoyaandika yapo sawaa na yanayotokea niliishia kwa kuota kwamba Mama yangu HATAKI KURUDI kwa Mume wake.
Hali si shwari yoyote anaweza kushinda au kushindwa Ila kwa gharama kubwa sana ambayo thamani yake ni uhai.
Mama yangu sisi wanao tutakaaje usipofanya maamuzi sisi na Mzee wetu tunakusubili urudi tule na nyumba iwe Safi.
Nwatakia Kazi njema msiache kunipa ushauri Mzee wangu Yuko taabani hawezi ishi bila mke wake.
Kwa sasa aataka vikao vya online TU Hana Imani tena anajua Simu itamuhusu akizembea padogo TU.
Hii ni kweli tuishi kwa kuogopana hivi hivi nchi itaenda hii.
Kwanza anawaza asijerudi ikawa safari ya mwisho kama alienda zake, ni busara zilitumika alivyorudi Ilibidi atafutwe mlimbwende aonekane karuka kutano kwa sababu ya mlimbwende Ila kutano ! na mlimbwende wapi na wapi ?
Kwa sasa majadiliano makuu kashindwa kuyafunga kule katikati ya bahari kuu na vikao havikai ni kuogopana na yeye Hana maamuzi ni Dua zilizobakia.
Imani na maeneo haipo, yeye Yu tayari kuyaachia mamlaka Ila walio nyuma yake hawataki kabisa na bahati mbaya wanajiona wanajua hawana wa kuwatisha, Ila yeye anaogopa ana subiri wampe uhakika arudi la sivyo hamna maamuzi yatapatikana na desemba 25 hii apa Bado miezi miwili TU lahasha akikubali itakua kama mshituko kila kitu kitafanywa haraka haraka.
Ila hao wanaotaka arudi wakimjulisha atawakuta wanaomsubilia wanajua hamna litakalo pangwa na likawa na kwa sasa wanajua hamna mwenye nyumba ni pasuko kubwa sana.
Hii ndoto yangu bwana sijui kama ninayoyaandika yapo sawaa na yanayotokea niliishia kwa kuota kwamba Mama yangu HATAKI KURUDI kwa Mume wake.
Hali si shwari yoyote anaweza kushinda au kushindwa Ila kwa gharama kubwa sana ambayo thamani yake ni uhai.
Mama yangu sisi wanao tutakaaje usipofanya maamuzi sisi na Mzee wetu tunakusubili urudi tule na nyumba iwe Safi.
Nwatakia Kazi njema msiache kunipa ushauri Mzee wangu Yuko taabani hawezi ishi bila mke wake.
Kwa sasa aataka vikao vya online TU Hana Imani tena anajua Simu itamuhusu akizembea padogo TU.
Hii ni kweli tuishi kwa kuogopana hivi hivi nchi itaenda hii.