Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Usijekuta even before marriage hakuwahi kutongozwa then amebahatika kupata mume anamsingizia.. Imenikumbusha ile singo ya Dudu Baya..
"Vile ulivyo nakupenda tu, Pua kama ngumi, nakupenda tu.."
 
Kaunga sasa mke wa mtu utongozwe ili ukafanywe nini?
Tena naomba mnitafutie huyo mganga mwenye uwezo wa kumfanya mke wangu akipita kwenye midume yenye uchu aonekane kama Baunsa wa kwenye ukumbi wa disco

Hahahahhh!
Nitakuulizia kesho kaka yangu akija kunirekebishia mabomba yangu. Huenda kweli kamfanyizia mambo.
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke kama hatongozwi nayo noma, ana haki ya kulalamika kwanini hatongozwi:biggrin:

Kutongozwa kwani dhambi?

Ku sex nje ya ndo ndio dhambi:A S shade:

Haha haaaaa fazaa.. Kutongozwa suna eee..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hamtaki Plumber lakini wakati huohuo hana mvuto wa kumpata zaidi ya Plumber.
Si kwamba hatongozwi, ila hajapata wa kumzidi Mr. plumber.

Kama ingekuwa ni kutongozwa tu mbona wanawake wana mitego mingi!

Huyo plumber ni muajiriwa wa Serikali, halafu ni charming na natural flirt; kiasi kwamba niliamini kwa 90% kuwa yeye ndio chanzo cha matatizo ya ndoa yake.
 
Waoh, 'Kutongozwa mvuto' Kiranga umeisikia hiyo, so kutotongozwa ni kutokuwa na mvuto.

Mambo kama haya yananifanya niamini kwamba kama baadhi ya wanaume wanavyotaka kuwa na mke zaidi ya mmoja, kuna wanawake wanatamani kuwa na mume zaidi ya mmoja.

Jamii inawakatili tu.
 
Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.

huyu mwnamke anaonekana malaya yan kaolewa lakin anataka tu, si haba hili litakuwa pepo
 
Kweli huo ndo utetezi unaoweza kuutoa kwenye kikao kinachojaribu kutafuta foot cause ya kumnyima unyumba mwenzio na kuondoka nyumbani kwa miezi 4 bila ruhusa ya mumeo?


eeenh hapa naona kuna stori ndefu kidogo!
 
Huyo plumber ni muajiriwa wa Serikali, halafu ni charming na natural flirt; kiasi kwamba niliamini kwa 90% kuwa yeye ndio chanzo cha matatizo ya ndoa yake.

Si kwamba mke ana frustration fulani na kwamba hayo maneno yakamtoka bila hiyari?
 
huyu mwnamke anaonekana malaya yan kaolewa lakin anataka tu, si haba hili litakuwa pepo

I also think the same. Actually nimemwambia kaka yangu wafanye maombi, anasema mkewe hataki kusikia chochote kuhusu kusali au kanisa.
 
Kweli huo ndo utetezi unaoweza kuutoa kwenye kikao kinachojaribu kutafuta foot cause ya kumnyima unyumba mwenzio na kuondoka nyumbani kwa miezi 4 bila ruhusa ya mumeo?
Sa mimi nilijibu kutokana na swali lako sikujua kama mwanaume kanyimwa unyumba na mke wake mda wa miezi minne, ndo naona sasa hivi kwenye comment yako:biggrin:

Hata hivyo inawezekana mwanaume ni mchawi, vipi mke wake asitongozwe wakati mwanamke anataka atangozwe na wanaume wengine na hatongozwi, hapo ndo pakutazama:biggrin:
 
eeenh hapa naona kuna stori ndefu kidogo!

Kweli story ni ndefu, halafu nimeisikia kutoka upande mmoja tu; lkn hiyo kauli nimeiona ni ya mwaka. No matter who is at fault, kushutumu kubaniwa kutongozwa is something else.
 
Back
Top Bottom