Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Kwa vile teacher wa ukweli gfsonwin yuko hapa, naomba labda kwanza atupatie maana ya neno "kutongoza"

Labda mie ninalielewa tofauti...

Hivi nikikuangalia kwa jicho la uchokozi (na kusepa) pamoja na kufuli zako utajisikia vibaya??

Babu DC!!
wanasemaga macho hayana pazia.... ingawa kwa sasa inabidi tuanze kuyashonea, lol!
ila kama kuniangalia hakutakutosha na ukajitutumua kuniambia neno hapo sasa ugomvi wangu unapoanzia
 
Sidhani kama mumewe kweli alimroga asitongozwe (maybe l am wrong, there is a lot going on duniani humu), lkn kweli can you say it aloud tena kwenye kikao? I think she is either posessed au hayuko okay upstairs.

Turudi ktk kutongozwa, inategemea; kuna watu mlionao karibu kazini au sehemu nyingine. Wanaweza kukutongoza kiutani fulani hivi bila kuacha maswali na wewe unaweza kuwatolea nje kiutani bila kuacha madhara au uadui (flirting), it happens all the time especially kama wewe mama ni mcheshi na mtu wa utani kiasi. Lkn kuna ile ambayo kila anayekuja (tena huwa wanauliza baada ya tathmini ya awali if huyo mtu analika au vipi) wewe ndio unayetongozwa, this is disgusting.
Kuna wamama wanavutia lkn wakaka wanakosa guts za kuwatokea kwa jinsi walivyo reserved.
lakin ukweli ni kwamba, kama mama hatongozwi kwasababu ya kulongwa na amethibitisha basi kweli mumewe kamkosea manake huko ni kumtia nuksi mkewe na mbaya zaid si kwa wanaume tu bali hata kwa wanawake wenzie kwamba anaweza kukosa mvuto kazini, nyumban, njian na popote pale.
.
ila kama hatongozwi kwasabab hana mvuto ni jambo jingine.

so far kwangu mimi natafsiri, mtongozo kwa mtu mzima wa makamo yangu kwa maana mbili ya kwanza ni mvuto tu ambao mwanamke anao, na huu upo tu mtu anazaliwa nao na jinsi anavyo jikeep.

ila pia kuna mtongozo ule wa kutega manati ambao mwanamke anatega makusudi ili mtongozo upite huu kwangu nauona kama ni kujidhalilisha kwa mtu binafsi.

kote kote tongoozo sio kosa ila kosa laweza kuwa ni matokeo ya mtongozo wenyewe.
 
mmmh! labda nikuulize Kaunga hivi mtu ukitongozwa posta may be kwenye mgahawa, ukarudi ofsin hapa Azikiwe ukatongozwa na bosi ama mtumish mwenzi, jion ukia njian kwenye dala dala ukatongozwa na neighbor wako kwenye siti, uliposhuka kwenye gari njian ukatongozwa na mtu ambaye alikuwa anaenda njia moja na wewe je wewe uta i define vipi hii??

wote wakawa wanakutamkia kabaisa dada u mzuri napenda kuwa karibu na wewe.

Hivi mtu akitamka maneno kama hayo unaweza kama mtu ambaye yuko serious kweli??

Mie naamini kinachoangaliwa ni jinsi mtu alivyojikunja na kujipanga....

Ila hao wengine wanapass time......

Babu DC!!
 
Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.

Huyo mke ana kipaji cha umalaya sema hakijagunduliwa tuu na wasaka vipaji vya namna hii!
 
Kwa vile teacher wa ukweli gfsonwin yuko hapa, naomba labda kwanza atupatie maana ya neno "kutongoza"

Labda mie ninalielewa tofauti...

Hivi nikikuangalia kwa jicho la uchokozi (na kusepa) pamoja na kufuli zako utajisikia vibaya??

Babu DC!!
kwangu mimi natafsiri kutongoza kama ni njia ya kumtaka ama kumtamani mtu ili atende jambo unalolitaka hii inaweza kuwa kwa vitendo tu ama kwa kumtamkia maneno. hii ni definition yangu mm.
 
Safi sana ume-eleza vizuri sana...mana mwanamke kutongozwa ni kitu cha kawaida na si dhambi, na akiwa ana uzuri kwanini asitongozwe?

Kama hana uzuri akitongozwa yeye mwenyewe anawezea kujishangaa...vipi nimetongozwa, lakini huyo mama anaonyesha alikuwa anatongozwa sana zamani...lakini mme wake kamrogo tu ndo haoni hata mwanaume anamtongoza, kama alikuwa hatongozwi vipi alalamike na wakati anajijua hana mvuto unless awe kichaa tu, na kama kichaa vipi huyo mwanaume angeishi naye au kama hana uzuri:biggrin:

AFU KUNAMSEMO UNASEMA WAZURI KWA WAZURI NA WABAYA KWA WABAYA...yani hata kama hana uzuri, hata wale wanaume wasio wazuri hakuna atakae mtongoza.

Suala la huyo mama lina mengi ambayo yamefichika...

Kwa wale watu wazima wenzangu, watakubaliana na mimi kwamba hii ndoa ina matatizo makubwa na mmoja wao anaweza kusema lolote ili wazee wawasaidie....!!


Babu DC!!
 
Hebu wacha kuleta maneno mengi, wapi imeandikwa kutongoza ni dhambi?

Afu lazima ujuwe kwanza neno kutongozwa lina mana gani, kabla ya kukimbilai kuongea maneno mengi yasio fahamika.

Yeah and btw mimi huwa sijali kuitwa mjinga na wajinga...We kama umeshindwa kujibu swali langu sema tu nimeshindwa...Swali, WAPI KWENYE VITABU VYA MUNGU IMEANDIKWA KUTONGOZA NI DHAMBI:biggrin:

Imeandikwa usiwape nguruwe chakula cha watoto watakikanyagakanyaga kisha wakugeukie wakurarue. Mpaka hapo kama hujajiona mjinga kupewa maelezo halafu unasema ni maneno mengi sasa uliuliza nini. Kwa hiyo vitabu vitakatifu vitaandika kila ujinga atakaouwazia mwanadamu chini ya mbingu manake badae kidogo utauliza wapi imeandikwa kunya barabarani ni dhambi. Kimaandiko ikitamkwa seti kuu, vyote vilivyomo kama subset vina-follow suit. Badala ya kuleta hiyo tafsiri yako ya kutongoza inayoendana na uzi ulioko mezani na andiko linalosema ruksa kutongoza mke wa mtu wewe unatema cheche. Unanirarua kwa kuwa hustahili kupewa maandiko yenye akili ambayo ni chakula cha watoto.
 
Hivi mtu akitamka maneno kama hayo unaweza kama mtu ambaye yuko serious kweli??

Mie naamini kinachoangaliwa ni jinsi mtu alivyojikunja na kujipanga....

Ila hao wengine wanapass time......

Babu DC!!

babu maneno kama haya huwa yanapangwa na kurembwa kiasi cha kutaka kumdodosha ng'ombe kibla.

of course mwanaue anayetongoza kwa nia a kumpata mtu huwa anakuwa na maneno tofauti nayule anayekuja kwa nia ya kupass by. hata patience na utayari wa kumsikiliza mtongozwaji huwa tofauti kabisa.
 
ha haaa, rafiki ngoja nikununulie recorder, lol! sipati picha..... unaweza ishia njiani kuhesabu

Wala recorder haihitajiki, maana natongozwa nikijitahidi saana mara 1 kwa miaka 2. Mvuto ni minus maana yake!
 
wewe babu acha masihara.....
hivi kuna mtu anaweza akamtokea mdada akitegemea kukataliwa kwa 100%
sasa kwa nini unamtokea?


Ngona niwithdraw maneno yangu....

Naona kama mie nimekamatika kati ya maneno mawili yanayoweza kuchanganywa na wengi...kuhashua (source Gaijin) na kutongoza......

Binafsi nilikuwa nabebana nayo kwa pamoja...

Ila napenda kukuhakikishia kuwa kuna mtu anaweza kukutokea akionesha kama yuko 100% ila kumbe hamna kitu...

Sitaki kutoa ushahidi zaidi kwani hata mzee mwenzangu Asprin keshalisemea hili jambo...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
huyo atakuwa ndugaembe kazi kweli kweli shetani wa wanawake ni kutongozwa akipita mitaa kadhaa bila kupingwa miruzi, kiss basi wanawake hujisikia vimbaya sana
 
Sidhani kama mumewe kweli alimroga asitongozwe (maybe l am wrong, there is a lot going on duniani humu), lkn kweli can you say it aloud tena kwenye kikao? I think she is either posessed au hayuko okay upstairs.

Turudi ktk kutongozwa, inategemea; kuna watu mlionao karibu kazini au sehemu nyingine. Wanaweza kukutongoza kiutani fulani hivi bila kuacha maswali na wewe unaweza kuwatolea nje kiutani bila kuacha madhara au uadui (flirting), it happens all the time especially kama wewe mama ni mcheshi na mtu wa utani kiasi. Lkn kuna ile ambayo kila anayekuja (tena huwa wanauliza baada ya tathmini ya awali if huyo mtu analika au vipi) wewe ndio unayetongozwa, this is disgusting.
Kuna wamama wanavutia lkn wakaka wanakosa guts za kuwatokea kwa jinsi walivyo reserved.
sina tatizo na RED, huwa yanatokea mara kwa mara.....
napenda watu wani-treat kama hapo blue..... yaani mtu anakosa nguvu ya kukuambia upuuzi wake
 
babu maneno kama haya huwa yanapangwa na kurembwa kiasi cha kutaka kumdodosha ng'ombe kibla.

of course mwanaue anayetongoza kwa nia a kumpata mtu huwa anakuwa na maneno tofauti nayule anayekuja kwa nia ya kupass by. hata patience na utayari wa kumsikiliza mtongozwaji huwa tofauti kabisa.

Hapo sasa tuko pamoja,

Naona mkubwa mwenzangu FP yeye huwa anagongwa na tsunami za kweli kweli wala siyo tahadahri za watu TMA..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
sina tatizo na RED, huwa yanatokea mara kwa mara.....
napenda watu wani-treat kama hapo blue..... yaani mtu anakosa nguvu ya kukuambia upuuzi wake


Unaona sasa?

Nahisi kama wewe unatamani hayo kwa sababu hujawahi kuwa kwenye hiyo position...

Ni sawa na mtu anayehisi bora asingezaa kwa sababu hakuwa mgumba....lol!!

Nadhani hata wadada wanamna hiyo huwa inafikia mahali inawakera..

Babu DC!!
 
Duh watu mna mivuto! Mimi siwezi imagine kutongozwa hivyo, nafikiri l am very unfriendly kiasi kwamba inahitaji dhamira ya dhati hadi mtu niliokaa naye kwenye daladala kuanzisha story nami baada ya salamu.

Najua kuangaliwa (stolen look) kiwizi wizi, that happens lkn mtu kuanza kuniimbisha sijui labda kwenye seminar ya kuanzia 3 days. Na mara nyingi najua intentions za watu kupitia kwa watu wengine (wanaowaulizia hbr zangu) hasa madreva.
mmmh! labda nikuulize Kaunga hivi mtu ukitongozwa posta may be kwenye mgahawa, ukarudi ofsin hapa Azikiwe ukatongozwa na bosi ama mtumish mwenzi, jion ukia njian kwenye dala dala ukatongozwa na neighbor wako kwenye siti, uliposhuka kwenye gari njian ukatongozwa na mtu ambaye alikuwa anaenda njia moja na wewe je wewe uta i define vipi hii??

wote wakawa wanakutamkia kabaisa dada u mzuri napenda kuwa karibu na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Safi sana ume-eleza vizuri sana...mana mwanamke kutongozwa ni kitu cha kawaida na si dhambi, na akiwa ana uzuri kwanini asitongozwe?

Kama hana uzuri akitongozwa yeye mwenyewe anawezea kujishangaa...vipi nimetongozwa, lakini huyo mama anaonyesha alikuwa anatongozwa sana zamani...lakini mme wake kamrogo tu ndo haoni hata mwanaume anamtongoza, kama alikuwa hatongozwi vipi alalamike na wakati anajijua hana mvuto unless awe kichaa tu, na kama kichaa vipi huyo mwanaume angeishi naye au kama hana uzuri:biggrin:

AFU KUNAMSEMO UNASEMA WAZURI KWA WAZURI NA WABAYA KWA WABAYA...yani hata kama hana uzuri, hata wale wanaume wasio wazuri hakuna atakae mtongoza.

mie swala la kutongozwa huwa sion kama ni baya sana manake sio kosa la mtongozwaji wakati mwingine, na pia kiukweli na hapa labda niseme uwazi jamani akina mama wenzangu hivi wiki mwezi mwaka unapita jamani pasi hata mtu kukutamkia maneno nakupenda mtu baki hivi utajiskiaje?? mie binafsi hata nikipendeza ofcn nikiambiwa leo umetokelezea na mkaka huwa najiskia kwamba ni kiumbe ninayeish na nakubalika katika jamii.

kitendo cha kukaa hata ofsn halafu hakuna hata anayesema lunch time jamani fulan huendi ama twende kwangu mimi naona kama ni tatizo kwani inaoaneka wazi kwamba uwepo wako hautambuliki ulipo.

tatzo hapa ni kosa tena kubwa sana kwa mwanamke aliyeko ndani ya ndoa kutongozwa na kukubali kushiriki uzinzi ila kutongozwa as kutongozwa sion kama ni kosa.

tena hupandisha chart sana kama unatongozwa halafu uanwatolea nje watajifunza kukuheshimu huku wakikuadmire zaid na zaid.
 
Back
Top Bottom