Mimi ninaiona ni kiu tu ya kukubalika au kutamanisha (desirable) . Kwani sidhani kwamba one can be with kila anayemtongoza, ile feeling ya kuwa desirable kwa watu wengine zaudi ya watu wetu huenda ina pandisha confidence level.
Kuna baadhi ya wenzi nitasemea kina baba, wanajisikia kuwa wamechagua kitu bomba pale ambapo jamaa wengine wanawatolea macho wake zao.
Wanaosaliti ndoa zao wanaanza hivyo hivyo.
Wanataka kuwa desirable tu, si zaidi.
Mara kijana mtanashati kampigia mbinje, mama anasema "kijana mtanashati kweli, ngoja nimsikilize tu, sifanyi zaidi".
Mara kijana katoa offer ya dinner, mama anajisemea kimoyomoyo "dinner tu, tena kijana mwenyewe mtaratibu sana haelekei hata kuwa na makuu".
Mara dinner inakwenda na wine.
Mama anasema "ni wine tu, hata Yesu alikunywa divai".
In Vino Veritas.
Mara kushikana mikono, kugongeana.Mazungumzo yananoooga, mama anajisikia yuko wingu la saba.
Mara anaongeza glasi, na glasi.Mara "blame it on the al al al cohol".Kijana anajichukulia mzigo kirahisi.
Mama anasema "what he doesn't know will not hurt hubby"
Anasaliti. Anagundulika.Talaka!
Jiepushe.