Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

We unatisha ndio maana.......


attachment.php

ndo vizuriiiiiiiiii
 
Wakati mwingine unaheshimiwa kuwa ni mke wa mtu ndiyo maana hutongozwi.
NIMESITISHA MSAKO WA KUMSAKA MCHAWI WANGU.lol

Umebuugi meeeeeeeeeeeen...lol!!

Naamini watu hawaongelei kucheza mechi za ugenini...jambo ambalo hawangepata neno langu hata moja....!!

Hapa tunajadili ule mvuto wa kuwatia watu bashasha hadi wanakusalimia kana kwamba mmefahamiana for 10yrs kumbe ndo mmekutana kituo cha dala dala...lol!!

Kama hiyo stimu imekata, it is not healthy...... nakushauir mwombe mganga wako akusaidie ku-recharge!

Good for you.
Wewe utongozwe hadi na teens halafu ujisifie una mvuto; kweli?????

Hayo sasa ni maudhi na kero....hakuna mtu anaweza ku-entertain ujinga kama huo!!

Da Mkubwa Kaunga leo umenichekesha asubuhi asubuhi.............................akhaa kuwa mume kamroga asitongozwe!! Duniani vituko haviishi.

Wewe huoni kuwa kuna jambo mdogo wangu??

Unawezaje kuishi hata mwezi, bila kunasa mtu amekukodolea macho??



Umejuaje? Wengine kutongoza ni hobby yetu. Unataka tu umwone binti akitongozwa anakuaje..... ukiona ana mwelekeo wa kukubali na we huna mashamsham naye unajisepea zako tartiiiibu.

Na mwanamke kutongozwa sunna. Ukiona umemaliza miezi mitatu hujatongozwa, kaogee magadi. Nuksi hiyo!

Siongezi kitu hapa mzee mwenzangu.......

Babu DC!!
 
yaani mimi nipo tofauti na wewe
nikitongozwa huwa inanipa shida sana.....
najiuliza ni kitu gani kimetokea? yaani pamoja na kuniona na kufuli zangu kwa kidole bado ananitongoza!
nakosa amani kwa kweli

Mtu akikufanya ujihisi hivyo basi hana stadi za hiyo kazi.....

Anyway, wengine tulishajistaafia, ngoja tukae kimya!!

Babu DC!!
 
Unajaribu tu kuleta ujinga humu kwa sababu hakuna kitabu hata kimoja kinachoongelea mambo ya kutongazana bali kuna kuposa na kuoa na havifanyiki uchochoroni baina ya watu wawili mbali na macho ya mashahidi ila watu wanatongoza kwa shingo zao ngumu na kuiandama zinaa. Kusema ukitongoza utapewa haina maana imeruhusiwa ndio mana vimewekwa mbele yako uzima na mauti na ni juu yako kuchagua. Huko kwenye dini tuko hapa tuliopinda hebu tupige mbio humu tuone nani anaingia mitini
Hebu wacha kuleta maneno mengi, wapi imeandikwa kutongoza ni dhambi?

Afu lazima ujuwe kwanza neno kutongozwa lina mana gani, kabla ya kukimbilai kuongea maneno mengi yasio fahamika.

Yeah and btw mimi huwa sijali kuitwa mjinga na wajinga...We kama umeshindwa kujibu swali langu sema tu nimeshindwa...Swali, WAPI KWENYE VITABU VYA MUNGU IMEANDIKWA KUTONGOZA NI DHAMBI:biggrin:
 
wewe babu unajua adha za kutongozwa? hasa kama ni mke wa mtu?
Ingewezekana ningeamuru ubadilishwe kuwa mmama wiki moja tu utongozwe uone kasheshe yake


Hapa unaongelea watu wazima au watoto watoto?

Watu wazima hawawezi kukerana kwa sababu wanafanya mambo yao organically....

Ila hao wanaokera wala hawana tija...

Babu DC!!
 
ume-calculate pia probability wa kuwakataa hao wote?
cc. Fidel80

Kwa mwanamume yeyote, expected probability ni approx. 1.0!!

Ila actual probability tunamwachia mhusika mwenyewe...ndiyo maana watu wote wanaotumia principle hii hawanaga haja ya kukimbizana na nyendo za wake au GF zao...


Babu DC!!
 
Mtu akikufanya ujihisi hivyo basi hana stadi za hiyo kazi.....

Anyway, wengine tulishajistaafia, ngoja tukae kimya!!

Babu DC!!
siyo najisikia vibaya sababu kani-harass... najisikia vibaya kwa nini kanitongoza. hata kama kaja kwa upole kiasi gani.... kwa nini anitongoze na wakati anaona nina kufuli vidoleni? kanionaje mpaka kanitongoza?
 
Hapa unaongelea watu wazima au watoto watoto?

Watu wazima hawawezi kukerana kwa sababu wanafanya mambo yao organically....

Ila hao wanaokera wala hawana tija...

Babu DC!!
hapa nazungumzia mchanganyiko, kuanzia serengeti boy mpaka mstaafu, lol!
kutongozwa ni kutongozwa tu my dear, haijalishi na nani
 
Asante babu Dark City kwa michango yako mizuri; ngoja nitaanza kuweka record ninatongozwa mara ngapi kwa miaka 5, maana nikisema kwa mwezi obvious nitachemsha! LOL
Lakini mitongozo ikizidi kwa mmama wa heshima zake huoni kama inaashiria u-easy fulani? Na huyo mama kuweka complain hiyo kwenye kikao she has a lot of guts eeh.
 
Last edited by a moderator:
lakin ukweli ni kwamba, kama mama hatongozwi kwasababu ya kulongwa na amethibitisha basi kweli mumewe kamkosea manake huko ni kumtia nuksi mkewe na mbaya zaid si kwa wanaume tu bali hata kwa wanawake wenzie kwamba anaweza kukosa mvuto kazini, nyumban, njian na popote pale.
.
ila kama hatongozwi kwasabab hana mvuto ni jambo jingine.

so far kwangu mimi natafsiri, mtongozo kwa mtu mzima wa makamo yangu kwa maana mbili ya kwanza ni mvuto tu ambao mwanamke anao, na huu upo tu mtu anazaliwa nao na jinsi anavyo jikeep.

ila pia kuna mtongozo ule wa kutega manati ambao mwanamke anatega makusudi ili mtongozo upite huu kwangu nauona kama ni kujidhalilisha kwa mtu binafsi.

kote kote tongoozo sio kosa ila kosa laweza kuwa ni matokeo ya mtongozo wenyewe.
 
Kwa mwanamume yeyote, expected probability ni approx. 1.0!!

Ila actual probability tunamwachia mhusika mwenyewe...ndiyo maana watu wote wanaotumia principle hii hawanaga haja ya kukimbizana na nyendo za wake au GF zao...


Babu DC!!
ha haaaa..... umejiweka pazuriiiiiiiii
nimegundua 0 hata zikiwa milioni, ukizijumlisha, kuzijumlisha na disaini yoyote bado utapata zero....
good for you
 
siyo najisikia vibaya sababu kani-harass... najisikia vibaya kwa nini kanitongoza. hata kama kaja kwa upole kiasi gani.... kwa nini anitongoze na wakati anaona nina kufuli vidoleni? kanionaje mpaka kanitongoza?

Exactly!
Maana hata kwa wanaume hadi akutongoze, atakuwa na matumaini walau hata 30% ya kukubaliwa; so hadi kukuapproach mke wa mtu kuna kauhakika kiasi kuwa unaweza cheat.
 
Asante babu Dark City kwa michango yako mizuri; ngoja nitaanza kuweka record ninatongozwa mara ngapi kwa miaka 5, maana nikisema kwa mwezi obvious nitachemsha! LOL
Lakini mitongozo ikizidi kwa mmama wa heshima zake huoni kama inaashiria u-easy fulani? Na huyo mama kuweka complain hiyo kwenye kikao she has a lot of guts eeh.

mmmh! labda nikuulize Kaunga hivi mtu ukitongozwa posta may be kwenye mgahawa, ukarudi ofsin hapa Azikiwe ukatongozwa na bosi ama mtumish mwenzi, jion ukia njian kwenye dala dala ukatongozwa na neighbor wako kwenye siti, uliposhuka kwenye gari njian ukatongozwa na mtu ambaye alikuwa anaenda njia moja na wewe je wewe uta i define vipi hii??

wote wakawa wanakutamkia kabaisa dada u mzuri napenda kuwa karibu na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Asante babu Dark City kwa michango yako mizuri; ngoja nitaanza kuweka record ninatongozwa mara ngapi kwa miaka 5, maana nikisema kwa mwezi obvious nitachemsha! LOL
Lakini mitongozo ikizidi kwa mmama wa heshima zake huoni kama inaashiria u-easy fulani? Na huyo mama kuweka complain hiyo kwenye kikao she has a lot of guts eeh.
ha haaa, rafiki ngoja nikununulie recorder, lol! sipati picha..... unaweza ishia njiani kuhesabu
 
siyo najisikia vibaya sababu kani-harass... najisikia vibaya kwa nini kanitongoza. hata kama kaja kwa upole kiasi gani.... kwa nini anitongoze na wakati anaona nina kufuli vidoleni? kanionaje mpaka kanitongoza?


Kwa vile teacher wa ukweli gfsonwin yuko hapa, naomba labda kwanza atupatie maana ya neno "kutongoza"

Labda mie ninalielewa tofauti...

Hivi nikikuangalia kwa jicho la uchokozi (na kusepa) pamoja na kufuli zako utajisikia vibaya??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Exactly!
Maana hata kwa wanaume hadi akutongoze, atakuwa na matumaini walau hata 30% ya kukubaliwa; so hadi kukuapproach mke wa mtu kuna kauhakika kiasi kuwa unaweza cheat.
hilo ndo hasa linaloniumiza kichwa.....
yaani mtu akianza kumwaga sera tu huwa nakimbilia kuangalia kidole kama nimesahau zile kufuri. nikiziona ndo hasira inazidi kupanda
 
lakin ukweli ni kwamba, kama mama hatongozwi kwasababu ya kulongwa na amethibitisha basi kweli mumewe kamkosea manake huko ni kumtia nuksi mkewe na mbaya zaid si kwa wanaume tu bali hata kwa wanawake wenzie kwamba anaweza kukosa mvuto kazini, nyumban, njian na popote pale.
.
ila kama hatongozwi kwasabab hana mvuto ni jambo jingine.

so far kwangu mimi natafsiri, mtongozo kwa mtu mzima wa makamo yangu kwa maana mbili ya kwanza ni mvuto tu ambao mwanamke anao, na huu upo tu mtu anazaliwa nao na jinsi anavyo jikeep.

ila pia kuna mtongozo ule wa kutega manati ambao mwanamke anatega makusudi ili mtongozo upite huu kwangu nauona kama ni kujidhalilisha kwa mtu binafsi.

kote kote tongoozo sio kosa ila kosa laweza kuwa ni matokeo ya mtongozo wenyewe.

Hapa sasa ndipo wa wote wa 1947 hatunaga tofauti hata chembe....

Kwamba Bibi kasemeshwa kwangu siyo issue.....ila akiuvaa mkenge sasa hapo ndipo hapatakiwi kabisa!!

Babu DC!!
 
lakin ukweli ni kwamba, kama mama hatongozwi kwasababu ya kulongwa na amethibitisha basi kweli mumewe kamkosea manake huko ni kumtia nuksi mkewe na mbaya zaid si kwa wanaume tu bali hata kwa wanawake wenzie kwamba anaweza kukosa mvuto kazini, nyumban, njian na popote pale.
.
ila kama hatongozwi kwasabab hana mvuto ni jambo jingine.

so far kwangu mimi natafsiri, mtongozo kwa mtu mzima wa makamo yangu kwa maana mbili ya kwanza ni mvuto tu ambao mwanamke anao, na huu upo tu mtu anazaliwa nao na jinsi anavyo jikeep.

ila pia kuna mtongozo ule wa kutega manati ambao mwanamke anatega makusudi ili mtongozo upite huu kwangu nauona kama ni kujidhalilisha kwa mtu binafsi.

kote kote tongoozo sio kosa ila kosa laweza kuwa ni matokeo ya mtongozo wenyewe.
Safi sana ume-eleza vizuri sana...mana mwanamke kutongozwa ni kitu cha kawaida na si dhambi, na akiwa ana uzuri kwanini asitongozwe?

Kama hana uzuri akitongozwa yeye mwenyewe anawezea kujishangaa...vipi nimetongozwa, lakini huyo mama anaonyesha alikuwa anatongozwa sana zamani...lakini mme wake kamrogo tu ndo haoni hata mwanaume anamtongoza, kama alikuwa hatongozwi vipi alalamike na wakati anajijua hana mvuto unless awe kichaa tu, na kama kichaa vipi huyo mwanaume angeishi naye au kama hana uzuri:biggrin:

AFU KUNAMSEMO UNASEMA WAZURI KWA WAZURI NA WABAYA KWA WABAYA...yani hata kama hana uzuri, hata wale wanaume wasio wazuri hakuna atakae mtongoza.
 
Exactly!
Maana hata kwa wanaume hadi akutongoze, atakuwa na matumaini walau hata 30% ya kukubaliwa; so hadi kukuapproach mke wa mtu kuna kauhakika kiasi kuwa unaweza cheat.


Hapana Kaunga,

Kuna mtu anaweza kuflirt tu bila hata 1% ya mategemeo...just to make you feel that your an adorable woman....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom