Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Hii kutandika kitanda ni wajibu wako!
Labda kama ulisafir, la sivyo atatafuta wa kukusaidia kumtandikia kitanda
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Ndio maana watoto wa kitanga wanapiga bao
 
Inabidi wanawake na wasichana mkewe jukwaa lenu mfundishane maadili, adabu, majukumu n.k kuhusu maisha ya ndoa.
Sijajaliwa ajabu wengi wenu hamna fikra pevu
 
Inabidi wanawake na wasichana mkewe jukwaa lenu mfundishane maadili, adabu, majukumu n.k kuhusu maisha ya ndoa.
Sijajaliwa ajabu wengi wenu hamna fikra pevu
Mpewe [HASHTAG]#mkewe[/HASHTAG]
 
Wanawake wa humu wanavyojifanya ni wa Tanzania na Dunia Tofauti na hii waliyozaliwamooo.. Kweli Kuwa Uyaone..Mitandao inawafanya wanawake waonekane wastaarabu sana majumbani kwao kumbe.... Mungu anawaona

Wengi wao ni wachafu,wanarudia mpaka chupi.
 
Siku hizi kwenye kitchen party wanatunzana vyombo tu na makabati.Kama mimi ndio mume wako nitalala chini tu kukuunga mkono.
 
unawahi kuamka sawa.

je unaendaga wapi ?
kwani nani anaingiaga huko chumbani kwenu mpaka uhofie huo uvululuvululu ??
We huwa unatandika alafu unamponza mwenzio!!
 
Maskini! Pole sana nimeumia sana baada ya kujua huyo mume wako hatandiki kitanda. Nimeshikwa na huruma sana jamani. Kama unaweza Nitafute siku akisafiri mimi nitakutandikia tukishaamka asubuhi. Pole sana ikute mume wako hana fimbo ya kumtandika nayo huyo mjinga
 
Muhimu sana kukumbushana,muda mwingine huwa tunateleza kidogo Mimi naamini wanawake wote ni wake Wema kwa waume zao
sio huyu anayekuja kumuanika mme wake hatandiki kitanda.
mme anapaswa kufikiria na kutekeleza mambo makubwa.
 
Huyu naye ni mke wa mtu amemshindwa jamaa yake na kuja kulalamika huku
 
Back
Top Bottom