Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Wanawake wa siku hizi wanatoa siri za ndani! ....vipi anakibamia? Kitambi hasara?mgegedo anaumudu?
 
I also wonder hili tatizo lilinianza lini, maana kpnd cha ubachelor sikuwa nalo kbs.
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Tukusaidie nini labda
 
Mungu azidi kuwaongezea busara wake wachache walio nazo, mtu anakuja kuleta minor case humu, sidhani kama hiyo ndoa ataiweza.
 
Maskini! Pole sana nimeumia sana baada ya kujua huyo mume wako hatandiki kitanda. Nimeshikwa na huruma sana jamani. Kama unaweza Nitafute siku akisafiri mimi nitakutandikia tukishaamka asubuhi. Pole sana ikute mume wako hana fimbo ya kumtandika nayo huyo mjinga
ahaha mjinga gani??
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Kama nitakuwa wrong.Nisamehe...
Binafsi siwezi kukuamini au kukukatalia kwa hilo usemalo.Ila naona kwa jambo hili humu sio sehemu sahihi kulisema...

Kwa nilivyokuelewa ww umekuja kumuumbua mumeo huku jf.hii inatokana na hizo sentensi zako sijaona km ulidhamiria kuomba ushauri..Nina wasiwasi na hekma zako ww km mke .huenda hata huko ulikolelewe hizi tabia za kusema habari za ndani zipo sana...

Haya tumejua tyr mumeo hatandiki kitanda.si what next?.Huku sio Facebook kwamba kila upumbavu utapost..na kabla ya kupost huu upuuzi wako ulishajaribu kutembelea threads mbalimbali ambazo wanajf walikuwa wanaomba ushauri juu ya ndoa zao?..sina shaka km ulizisoma lazima km una good reasoning usingeandika huo ujinga...Km unashindwa Kuhandle issue km hii ambapo naamini mumeo anakupenda na maisha yenu ya ndoa yanaamani basi kwa mkao wa kula ujiandae na mengine yakianza na utakuja sema hapa hadi styles mnazo tumia..kuwa makini na tabia yako ya kuropoka internal affairs za mumeo utakuja juta....Samahani lkn
 
Mpe jukumu hilo dada wa kazi hapo nyumbani. Ukishaenda kwenye mishe zako, yeye atakusaidia kumtandikia mzee akiamka.
 
Ingekua mm ni mmeo nmeona hli bandiko mngeshakua wawili mbadilishane shift ukiamka mwenzio anaingia kutandika kitanda
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!

Kabla hajakuoa alikuwa anatandika? Kama sio bac inabidi uwe unatandika tu hamna namna
 
Back
Top Bottom