hayuko peke yake, tupo wengi sana. mimi mwenyewe sikumbuki lini katika maisha yangu ya ndoa nimetandika kitanda. hakika ni zamani mno na nilitandika kwa shida sana. hiyo ni kazi yako wewe au la kama mmeo unataka awe demu mwambie atandike kitanda.Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!
Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!
Ananiudhi!!
Hata wewe pia umeolewa? Poor IQ kama hii hiyo ndoa mtapata maendeleo gani?Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!
Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!
Ananiudhi!!
una mdogo wako hajaolewa!? kuna familia zinalea mabinti kuwa wake wema.Je ueolewa na Marioo?? Nijuavyo Mimi mwanamke huamka mapema kisha huiandalia familia breakfast na kuhakikisha Nguo kuanzia za watoto mpaka za mume zipo tayari kuvaliwa siku hiyo,kisha tunaandaa maji kwa ajili ya kuoga wewe na kisha mumeo,huku watoto nao wakijiandaa kwa muda wao, sasa huo muda mumeo anakua bafuni kuoga wewe ulipaswa ubadirishe shuka + folonya za mito na kutandika upyaa, ili hata kama mumeo atarudi tena kulala (ikiwa ni marioo) basi hatokitimua kama mlivyo kitimua usiku uliopita
Wanawake hebu tuacheni kulalamikia vitu ambavyo vipo ndani ya majukumu yetu, wanaume ni watoto zetu wakubwa na ni jukumu letu kuwatengenezea utaratibu na kuwasimamia kama tuwasimamiavyo vijana wetu
Mtihani huo.Basi laleni kistaarabu msivuruge kitanda
Umemaliza kila kitu dadaa.unakunywa soda gani?hauna Mdogo ako ambaye hajaolewa unipatie tafadhali hahaJe ueolewa na Marioo?? Nijuavyo Mimi mwanamke huamka mapema kisha huiandalia familia breakfast na kuhakikisha Nguo kuanzia za watoto mpaka za mume zipo tayari kuvaliwa siku hiyo,kisha tunaandaa maji kwa ajili ya kuoga wewe na kisha mumeo,huku watoto nao waki
jiandaa kwa muda wa
Wanawake hebu tuacheni kulalamikia vitu ambavyo vipo ndani ya majukumu yetu, wanaume ni watoto zetu wakubwa na ni jukumu letu kuwatengenezea utaratibu na kuwasimamia kama tuwasimamiavyo vijana wetu
Nimemuwahi Mdogo ake Mkuu.wewe subiria labda mwanaeuna mdogo wako hajaolewa!? kuna familia zinalea mabinti kuwa wake wema.
Shukrani sana kakangu, hapa tunakumbushana tuUmemaliza kila kitu dadaa.unakunywa soda gani?hauna Mdogo ako ambaye hajaolewa unipatie tafadhali haha
Muhimu sana kukumbushana,muda mwingine huwa tunateleza kidogo Mimi naamini wanawake wote ni wake Wema kwa waume zaouna mdogo wako hajaolewa!? kuna familia zinalea mabinti kuwa wake wema.
Mshauri aoe mke wa pili.awe ana kusaidia kutandika.Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!
Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!
Ananiudhi!!
Sasa mimi nitandike kitanda wewe unafanya kazi gani?shukuru Mungu aic asilimia ya wanaume weng hawatandiki vtanda achana na kufua ht handkerchief mxiewwwwwww
Ni kweli kbsa dadaa.ngoja nije pm tuanze mikakati ya mahari kwa Mdogo akoShukrani sana kakangu, hapa tunakumbushana tu