Mume wangu anataka kuoa mwanaume mwenzie

Mume wangu anataka kuoa mwanaume mwenzie

Mke mwenza, hapa uite wazee wa nini? Wazungumze nini? Au unazungumza nini na mmeo? Kwamba huwa unamfanyaje? No way, kwangu hapana aisee.

Mie hata mtu akiniibia huwaga simtafuti wala simuulizi, naona kama najishusha, sembuse mwanamme ananiibia mme? Jamani!

Hivi utajadiliana nini na mme?ujue mambo ya kingono mtu hachagui anapenda tu. Mfano kuna mtu anapenda kokrochi death, hata ufanyeje hatafurahia mbuzi kagoma kivile.

Ndio watajifunza kama degee inatunza mume au inakukomboa kwenye utumwa wa utegemezi.



heheheheh mke mwenza nimependa hayo maneno yako ya mwisho......


Ila tatizo la huyu bi shost(kama story yake ni ya kweli) ni utegemezi...... Hataki kumuacha mume kwa kuwa anamsaidia....basi aite wazee wazungumze na mume aache (ingawa sijui kama wanaachaga watu wa hivi) au wamtafutie mshauri nasaha....

Ila hapa kwa upande wangu hakuna ndoa ni kudhalilishwa na mume na kuendelea na huyo mwanaume ni kujidhalilisha....

I see heri uibiwe na mwanamke mwenzio kuliko kuibiwa na mwanaume....full kinyaa na kichefuchefu

hebu imagine mwanaume ndo karudi home anakukumbatia anataka unyumba ppppttuuuuuu....

Degree oyeeeeeeee wanawake wasome tu jamani degree muhimu
 
pole dada, lakini tambua kwa stage aliyofikia jamaa ya hadi kufunga ndoa na huyo mcameroon mwenzake, he will never go back. labda tu ujiulize swali moja, kabla yake yeye ulikuwa huishi? huli? hupendezi?(nasema hivi kwa sababu hakika alikupenda mara baada ya kukuona umependeza). KUANZA UPYA SI UJINGA, Mwanaume wa maisha yako yupo na siyo huyo wa type hiyo! ni CHUKIZO KWA MUNGU PIA. LEAVE HIM AND LIFE GOES ON.........
 
familia yangu haijui chochote uwa nawaambia tu nina matatizo na ndoa yangu bas..naogopa san kumdhalilisha mume wangu alinisaidia sana na bado anaendelea kunisaidia sema tu hiyo tabia yake chafu inanikera ni bora angekuw mwanamke huyo kijana...yaan naumia sana juzi tu wametok capetown wote yaan mme wangu haambilik kwa huyo kijana hat sijui cha kufanya

alafu inaonekana pia hiyo tabia ya mumeo haijakukera kivilee!! Hivi wanawake wengine mpoje??
 
Elimu yangu ni form four sema nilisoma college nikabahatik kupat diploma ya accounting na apo awal nilikuw nikifany kaz ila alinistopish nisifany kaz kwa kigezo kuwa ana uwezo wa kunihudumia.
 
Nilibahatika kuolewa miaka saba iliyopita na kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mmoja.apo awali maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana.mume wangu alinipenda na kunijal sana.mume wangu ni mfany kaz wa benki moja ivi kubwa apa jijini,hivyo suala la pesa halikuwa tatizo kweny ndoa yangu.siku moja usiku mume wangu alienda kuoga na kuiacha simu yake kitandani,kwa kuwa yy ni mume wangu sikusita kuichukua simu yake na kupekua msg kweny simu.nilishtushwa na msg za mapenz nilizozikuta,kwan mume wangu hakuw na tabia ya kutembea nje ya ndoa.bas niliumia sana moyoni ila sikumwambia,nilipang kuchunguza mwenyew ili nimjue huyo mwiz wangu..kwel nilifanikiw kuiba na namba ya simu ya huyo mtu na kumpigia akapokea mvulana nilijua nimekosea namb,nikaangalia namba vizur.nikapiga tena nikamwambia natak kuongea na mwenye simu,yy akajibu simu ni yake nimwambie shida yake nin..nikamuuliza unamjua fulan(jina la mme wangu).akasema ndio anamjua nikamuuliza ni nani kwake.akakata simu,nilijaribu kupiga ila hakupokea.niliumia sana moyon nakumbuka nilikuw na mimba ya miez sita.mume wangu alivyorud sikumwambia kitu..ila aliniona siko saw na kuniuliz nikamwambia ni uchovu tu.nikaanza kumfuatilia nyendo zake.nakimbuka ilikuw jumamos mume wangu aliniag anaenda saloon kukat nywel,nikakubal ila alivyotok tu nikamfuatilia nyuma..nilishangaa kumuona akiingia kweny nyumba moja ivi maeneo ya boko dawasa.nilijiuliza mume wangu huku anamfuat nani kwan hakukuw na ndug wal jamaa aliyeish maeneo hayo.nilikaa pemben kama saa moj iv ndo akatok na kijan mmoj iv mrefu mweupe umr kati ya miaka 22 au 23.nilishangaa san kwan sikuwah kumuona mume wangu na rafik mtot kias kile..nilijiuliza atakuw ni nani..nilipat shida sana kuelew ile hal..baadae mume wangu akaondok yule kijan akarud ndan.

so what dude..
 
Elimu yangu ni form four sema nilisoma college nikabahatik kupat diploma ya accounting na apo awal nilikuw nikifany kaz ila alinistopish nisifany kaz kwa kigezo kuwa ana uwezo wa kunihudumia.

na wewe ukakubali..
 
Oh mydear.....verry sorry better u leave him so soon..ts more dan shame lol
 
pole dada, lakini tambua kwa stage aliyofikia jamaa ya hadi kufunga ndoa na huyo mcameroon mwenzake, he will never go back. labda tu ujiulize swali moja, kabla yake yeye ulikuwa huishi? huli? hupendezi?(nasema hivi kwa sababu hakika alikupenda mara baada ya kukuona umependeza). KUANZA UPYA SI UJINGA, Mwanaume wa maisha yako yupo na siyo huyo wa type hiyo! ni CHUKIZO KWA MUNGU PIA. LEAVE HIM AND LIFE GOES ON.........

well said dude.. cc wajojo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wajojo,unajuaje kama huyo kijana ni 'mke' wa mume wako na si 'mume' wake? Yawezekana kabisa akawa ni mume wake. Chunguza vyema...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wajojo,unajuaje kama huyo kijana ni 'mke' wa mume wako na si 'mume' wake? Yawezekana kabisa akawa ni mume wake. Chunguza vyema...
Hili nalo neno hasa Mkuu! Pengine kwake mume akifika kwa kijana nae mke tu.
 
Last edited by a moderator:
Inasikitisha. Ita watu wa heshima waongee nae
 
Kwa maelezo haya ndugu zangu wanaMMU hapa tunajihangaisha tu.
Huyu dada wala hana sauti wala maamuzi juu ya mustakabali wa ndoa yake.
Hawezi kumuacha mume wake mtu huyu wandugu.

Familia yangu haijui chochote uwa nawaambia tu nina matatizo na ndoa yangu bas..naogopa san kumdhalilisha mume wangu alinisaidia sana na bado anaendelea kunisaidia sema tu hiyo tabia yake chafu inanikera ni bora angekuw mwanamke huyo kijana...yaan naumia sana juzi tu wametok capetown wote yaan mme wangu haambilik kwa huyo kijana hat sijui cha kufanya
 
Hili ni zaidi ya janga. Nikuulize mwanadada huna kwenu au uliua so hutakiwi kurudi tena? Kabla hujaolewa maisha yalikuwa hayapo? Watu wengine huwa mnanishangaza sijui kwann hampendi kuepusha msongamano lol!
Familia yangu haijui
chochote uwa nawaambia tu nina matatizo na ndoa yangu bas..naogopa san
kumdhalilisha mume wangu alinisaidia sana na bado anaendelea kunisaidia
sema tu hiyo tabia yake chafu inanikera ni bora angekuw mwanamke huyo
kijana...yaan naumia sana juzi tu wametok capetown wote yaan mme wangu
haambilik kwa huyo kijana hat sijui cha kufanya
 
Hapana nilishawah kukuta msg kweny simu ya mume wangu.hivyo sishawishik kuw mume wangu anafanyiw mchezo mchafu.yy ndiye anamuhudumia yule kijn kwa kila kitu..
 
Kama watu wanataka kufanya mapenzi ya jinsia moja ruksa,mradi tu wawe sterilized. Huyu mtu hawezi kufunga hiyo ndoa anayosema,ama sivyo atafukuzwa kazi Benki,ili asiwatie hofu wateja.
 
Laana kum mkubwa huyo!!!!!!!!!! Jamani mitihani mingine?????? Utauweka wapi uso wako shosti @ Mumeo Basha???????? Azabu yake kama ni kumsemea tu kwa familia, majirani, kazini, kanisani, kote kote! Tuone atambashia nani mjini hapa!!!!!!!!! MXIUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

nampatia picha siku ukimfumania Mchanga!!hilo timbwili lake
 
Nilivyorud nyumbani..usiku wake niliwah kulala na kumuach mume wangu sebuleni..niliingia chumban na kujilaza..baadae mlango ukafunguliwa alikuw ni mume wangu na sikutak kugeuka ukabamizw tena nikajua anakuj kulal kumbe aliingia na kutok baada ya kuon nimelala..baadae nilisikia mtu anaongea na simu kwa nje..nilitega sikio kwa umakin..nilisikia saut ya mume wangu akiongea kimahab kweny simu,sikujua anaongea na nan ila nilisikia akisema mama yake yaan mama mkwe wangu hana shida ana mambo ya kizungu hawez kuleta shida..na kuwa harus itafanyik kwa sir nchini(africa) na itakuw na watu wachache tu..nilishtuk san pale aliposema kuw tanzania hairuhus ndoa ya jinsia moja..sikutak kuamin mume wangu anatak kumuoa mwanaume mwenzie..nililia san chumban.mbaya zaid siku iz amekuwa mlevi na anawez kaa nje siku tatu had nne ukimuuliza ngumi yaan ndoa yangu naiona chungu..kuna kipindi had gar yangu aliichukia na kumpa huyo kijana atumie ila ilirud baad ya miez miwil.nilishamkany huyo kijan na kumpig mar kadhaa ila hasikii mume wangu nae hatak kumuacha..nimesharud kwet kijijin mar mbil ila anakuj na kuniomb msamah yanaisha ila ni mates baad ya mda anarudia tena.kampangia nyumba anamsomesh chuo huyo kijana ila nashindwa kumuach mume wangu huduma zote ananipa ila tatizo hilo tu..

Kwa hiyo unaugua kwamba watoto wako na wa huyo mke mwenzio watagombea urithi eti?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom