Mume wangu anataka kuoa mwanaume mwenzie

Mume wangu anataka kuoa mwanaume mwenzie

Familia yangu haijui chochote uwa nawaambia tu nina matatizo na ndoa yangu bas..naogopa san kumdhalilisha mume wangu alinisaidia sana na bado anaendelea kunisaidia sema tu hiyo tabia yake chafu inanikera ni bora angekuw mwanamke huyo kijana...yaan naumia sana juzi tu wametok capetown wote yaan mme wangu haambilik kwa huyo kijana hat sijui cha kufanya

usikute yeye ndio mke, sababu kama anachotaka ni kinyume na maumbile si angekueleza
 
Mke mwenza, hapa uite wazee wa nini? Wazungumze nini? Au unazungumza nini na mmeo? Kwamba huwa unamfanyaje? No way, kwangu hapana aisee.

Mie hata mtu akiniibia huwaga simtafuti wala simuulizi, naona kama najishusha, sembuse mwanamme ananiibia mme? Jamani!

Hivi utajadiliana nini na mme?ujue mambo ya kingono mtu hachagui anapenda tu. Mfano kuna mtu anapenda kokrochi death, hata ufanyeje hatafurahia mbuzi kagoma kivile.

Ndio watajifunza kama degee inatunza mume au inakukomboa kwenye utumwa wa utegemezi.

utegemezi wako ndo unakuponza.........

Yaani mwanaume anaenda kudumbukiza dudu yake kwenye nya ya mwanaume mwenzie halafu anarudi kwako unashika maiki?(najaribu kupata picha tu)

hapo huna ndoa.....ila kama huwezi kuondoka vumilia.....ila kumbuka si kila mvumilivu atapata mbivu......

Na unaporudi kwenu unawaambiaje?

Anyway ulishawahi kuwaita wazee au mshenga wenu mkazungumzia hilo? Viongozi wa dini je? Mumeo ushakaa nae kuzungumza nae?
 
Ni kweli au ndo stor zenu hizi?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kampangia nyumba anamsomesh chuo huyo kijana ila nashindwa kumuach mume wangu huduma zote ananipa ila tatizo hilo tu..
Kama taarifa hizi ni za kweli, basi pole sana na hongera kwa uvumilivu maana kwa tabia kama hii, angekuwa mwingine angekuwa anayazungumzia haya akiwa tayari keshaomba talaka!
Hapo nilipobold, kwa kuwa umesema wazi unashindwa kumuacha, ni ngumu kuzungumza zaidi. Kilichobaki kwako sasa ni uvumilivu na kumuomba Mungu labda huenda atakuja kubadilika na kuachana na hiyo tabia. Binafsi huwa nina level fulani ya kuvumilia, ila kwa jambo likifikia hatua hii, kwa kweli huwa nafanya maamuzi magumu!
 
Nilibahatika kuolewa miaka saba iliyopita na kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mmoja.apo awali maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana.mume wangu alinipenda na kunijal sana.mume wangu ni mfany kaz wa benki moja ivi kubwa apa jijini,hivyo suala la pesa halikuwa tatizo kweny ndoa yangu.siku moja usiku mume wangu alienda kuoga na kuiacha simu yake kitandani,kwa kuwa yy ni mume wangu sikusita kuichukua simu yake na kupekua msg kweny simu.nilishtushwa na msg za mapenz nilizozikuta,kwan mume wangu hakuw na tabia ya kutembea nje ya ndoa.bas niliumia sana moyoni ila sikumwambia,nilipang kuchunguza mwenyew ili nimjue huyo mwiz wangu..kwel nilifanikiw kuiba na namba ya simu ya huyo mtu na kumpigia akapokea mvulana nilijua nimekosea namb,nikaangalia namba vizur.nikapiga tena nikamwambia natak kuongea na mwenye simu,yy akajibu simu ni yake nimwambie shida yake nin..nikamuuliza unamjua fulan(jina la mme wangu).akasema ndio anamjua nikamuuliza ni nani kwake.akakata simu,nilijaribu kupiga ila hakupokea.niliumia sana moyon nakumbuka nilikuw na mimba ya miez sita.mume wangu alivyorud sikumwambia kitu..ila aliniona siko saw na kuniuliz nikamwambia ni uchovu tu.nikaanza kumfuatilia nyendo zake.nakimbuka ilikuw jumamos mume wangu aliniag anaenda saloon kukat nywel,nikakubal ila alivyotok tu nikamfuatilia nyuma..nilishangaa kumuona akiingia kweny nyumba moja ivi maeneo ya boko dawasa.nilijiuliza mume wangu huku anamfuat nani kwan hakukuw na ndug wal jamaa aliyeish maeneo hayo.nilikaa pemben kama saa moj iv ndo akatok na kijan mmoj iv mrefu mweupe umr kati ya miaka 22 au 23.nilishangaa san kwan sikuwah kumuona mume wangu na rafik mtot kias kile..nilijiuliza atakuw ni nani..nilipat shida sana kuelew ile hal..baadae mume wangu akaondok yule kijan akarud ndan.
sio mahali pakuelezea tamthilia apa.
 
Kitu ambacho kina nipa uvumilivu ni upendo wake na jins anavyonijal.hana tabia nyingine ya ajabu af ni mwepes kuomba msamah had analia ila ukimwambia kuhus tabia yake tu anakuw mkali,alishawah kunitamkia waz kuwa anampenda huyo kijana na hawez kumuacha apo sikuweza kuvumilia nilibeba mizigo yangu nikarud kwetu alikuj nyumbn na kunisih kuw ni hasir tu ananipenda sana..kwel nampenda mume wangu na yupo vizur sana kitan...
 
Kama angekuw hanijal na kunidharau hakyamungu nisingeendelea na hii jera isiyoisha kifungo..sema sumu yake ya kunijal tu ndo inayonimaliza af ni mpole sana ukimwangalia uson tu unawez kuangush choz jins anavyotia huruma ila ndo ivyo..mda mwingine ananitamkia wazi uo ndo udhaifu wake ni uzoee tu...
 
mama umekuwa bond na super glue??, then kama amekusaidia sana s ilikuwa kipindi hicho kwan ni sasa????? Huwez kutumia akili yako kujianzishia mirad ya maendeleo kama anvyosema kongosho???? Mpaka umtegemee yy????? Khaaaaaaaaaaaaaaa
 
Sasa mbona hakuna la ajabu hapo? We wasiwasi wako tu. Kama mumeo anatabia hiyo hata 0713 yako ingekuwa ameshaijeruhi. Tuletee ushahidi wenye tija

Picha niliyoipata hapo ni hii kwamba mme wake ndo anabanduliwa tigo na huyo bwana mdogo na ndiye atakayeolewa na si bwana mdogo. Pia kama yeye mme wake na mtoa mada mdo anabandua tigo ya dogo hawezi kuomba tigo ya mkewe kwa sababu ya kujitunzia heshima kwa mkewe.
 
Familia yangu haijui chochote uwa nawaambia tu nina matatizo na ndoa yangu bas..naogopa san kumdhalilisha mume wangu alinisaidia sana na bado anaendelea kunisaidia sema tu hiyo tabia yake chafu inanikera ni bora angekuw mwanamke huyo kijana...yaan naumia sana juzi tu wametok capetown wote yaan mme wangu haambilik kwa huyo kijana hat sijui cha kufanya

Mmmh, bonge la kigugumizi! Halafu hii hadithi yako imekaa kaa kama Bongo Movie!
 
Ukichoka sana na kama huogopi kuishi bila yeye, mtafutie sumu ale chakulani ili afe tu badala ya kukusababisha uishi kwa taabu na aibu iliyo na uvundo mkali kiasi hicho.
 
kama angekuw hanijal na kunidharau hakyamungu nisingeendelea na hii jera isiyoisha kifungo..sema sumu yake ya kunijal tu ndo inayonimaliza af ni mpole sana ukimwangalia uson tu unawez kuangush choz jins anavyotia huruma ila ndo ivyo..mda mwingine ananitamkia wazi uo ndo udhaifu wake ni uzoee tu...

chunguza kiumakini,inawezekana pia mumeo ndo anamegwa,kwasababu kama huo ndo udhaifu wake angekua amesha kuomba 0713 ili atulie.
 
We mtoa mada unapendezwa na jinsi alivyo huyo mmeo anavyopigwa litigo. Ulivyosikia wanapanga kwenda south africa kwa nini hukuficha passport yake ya kusafiria? Kapanga safari tayari, kwa nini hukutaka kwenda naye?
Nahisi kisa hiki nh cha kutunga tu maana sidhani kama unashindwa kulithibiti hilo libasha lako.
 
Nilibahatika kuolewa miaka saba iliyopita na kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mmoja.apo awali maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana.mume wangu alinipenda na kunijal sana.mume wangu ni mfany kaz wa benki moja ivi kubwa apa jijini,hivyo suala la pesa halikuwa tatizo kweny ndoa yangu.siku moja usiku mume wangu alienda kuoga na kuiacha simu yake kitandani,kwa kuwa yy ni mume wangu sikusita kuichukua simu yake na kupekua msg kweny simu.nilishtushwa na msg za mapenz nilizozikuta,kwan mume wangu hakuw na tabia ya kutembea nje ya ndoa.bas niliumia sana moyoni ila sikumwambia,nilipang kuchunguza mwenyew ili nimjue huyo mwiz wangu..kwel nilifanikiw kuiba na namba ya simu ya huyo mtu na kumpigia akapokea mvulana nilijua nimekosea namb,nikaangalia namba vizur.nikapiga tena nikamwambia natak kuongea na mwenye simu,yy akajibu simu ni yake nimwambie shida yake nin..nikamuuliza unamjua fulan(jina la mme wangu).akasema ndio anamjua nikamuuliza ni nani kwake.akakata simu,nilijaribu kupiga ila hakupokea.niliumia sana moyon nakumbuka nilikuw na mimba ya miez sita.mume wangu alivyorud sikumwambia kitu..ila aliniona siko saw na kuniuliz nikamwambia ni uchovu tu.nikaanza kumfuatilia nyendo zake.nakimbuka ilikuw jumamos mume wangu aliniag anaenda saloon kukat nywel,nikakubal ila alivyotok tu nikamfuatilia nyuma..nilishangaa kumuona akiingia kweny nyumba moja ivi maeneo ya boko dawasa.nilijiuliza mume wangu huku anamfuat nani kwan hakukuw na ndug wal jamaa aliyeish maeneo hayo.nilikaa pemben kama saa moj iv ndo akatok na kijan mmoj iv mrefu mweupe umr kati ya miaka 22 au 23.nilishangaa san kwan sikuwah kumuona mume wangu na rafik mtot kias kile..nilijiuliza atakuw ni nani..nilipat shida sana kuelew ile hal..baadae mume wangu akaondok yule kijan akarud ndan.

Join Date : 29th April 2013
Posts : 28
Rep Power : 306
Likes Received1
Likes Given1:behindsofa:
 
powle sana dada angu kwa ujaathiri wako vuta subra muombe Mungu kila time inshaallah Mungu atakufungulia fungo lako vumilia hakuna kitu kisichokua na mwisho atajuta badaae tu na kutubu kwani najua thamani ya mtu ukimpenda inauma kwa kweli daah..powle sana
 
Huyo mumeo ni bisexual so ,so he play both sides
Mama chapa lapa uende zako maana ni aibu loooo
 
Hujui mateso ya ndoa.. mme wangu aliniambia anaenda south kikaz..utamfichia passport?,ila nilikuja kujua kuwa alienda na huyo jamaa baad ya kufany uchunguz
 
Back
Top Bottom