Mume wangu anataka kuoa mwanaume mwenzie

Mume wangu anataka kuoa mwanaume mwenzie

Kitu kichisimikwa kwenye mbolea afu kinasimikwa kwenye K? God forbid, hata kama sijui kusoma na kuandika, ntarudi kwetu kujipanga.

Kwani kufugaa kuku/bata/njiwa au kulima mchicha, spinach kunahitaji degree ngapi jamani?

Unaogopa kurudi Tz,hilo nalo unataka ushauri gani mume huna, unangoja nini sasa! ww ungekuwa ndugu yangu nakuja kukutoa na fimbo kha!
 
story kama ya kutunga ila kama ni kweli temana na huyo mumeo fasta atakuja kukupa aibu kubwa na ww kama mwanamke timam unayejtambua utaishi vp na mume mende cku ata kuja kukuomba naww mattter corrre
 
Back
Top Bottom