Morning glory
Senior Member
- Mar 20, 2014
- 149
- 55
- Thread starter
- #141
muulize kama anaweza kazi za ndani tuwasiliane.
Hizi mpe grand ma nadhani ataweza vyema
muulize kama anaweza kazi za ndani tuwasiliane.
Alipata ajira nyingine na kuacha Ile ya kwanza ila kampuni ikafilisika na kusababisha wao kupewa kazi Kwa mikataba midogo(short term au temporary job agreement)Samahani mpendwa, nini kilisitisha ajira yake.
Basi asiache kutafuta. Dar ni moja kati ya majiji yanayokua kwa kasi sana duniani, kazi zipo dada tena hizo za kihisabu ndo nyinyi. Pray 4 him
Ni jana tu hapa nimepost kuwa mapenzi si pesa! Nashukuru dada hapa umewapa ushuuuda. Nakuombea kwa mungu shemeji apate kazi, pole kwa masikhara wanayokupa wana-JF, ndio hivo hata vidole vyetu mikononi havilingani!
Siwezi kusepa na kamwe sitasepa hata itokee nini,najua Maisha ni ups and downs
Alipata ajira nyingine na kuacha Ile ya kwanza ila kampuni ikafilisika na kusababisha wao kupewa kazi Kwa mikataba midogo(short term au temporary job agreement)
Mkuu umetisha sana,nimejifunza kitu thanks a lot
Nlivyoanza kusoma nkajua unacheza na akili za watu kadri nlivyoendelea nkagundua ni mahubiri mazuri yanafaaa sana, Ubarikiwe
Mkuu nakwambia siyo wewe tu yani kadri nilivyotiririka ndivyo nilivyogundua kitu . Elimu ni mwanzo mwisho.
Copy kwa Asprin. Upo Mkubwa! Ntakuseach hewani soon!
Ana elimu gani huyo mume wako?
Habari dada, uzi wako tokea wa kwanza niliuona ila uzi huu naona kama nina mzigo wa kuchangia.
Nina mambo baadhi ninapenda nikuulize na pia nikushauri,
1. Mumeo anayo drive (Msukumo binafsi wa kutafuta ajira??) Kuna watu wengi sana wanalia hawana kazi ila ndani mwao hawana msukumo wa kutafuta ajira kwa nguvu. Msukumo kama ulionao wewe wa yeye kuwa na ajira.
2. kazi ya kwanza aliipataje na ilikuwaje akaiacha? na hivi sasa anajishughulisha na nini au ana malengo gani mbali na kutafuta kazi??
3.Mbinu gani mnazitumia kutafuta kazi?? how are you updated when it comes to the job market?? mnanunua magazeti? mitandao?? mbinu gani za kuwahabarisha?
4. Nakushauri (sijui kama umelifanya hili,) andaa Cv ya mumeo, yenye current information, muandalie na cover letter nzuri wewe ndio uchukue jukumu la kufanya application kwa niaba ya mumeo, pia uipeleke tume ya ajira mwishowe anaweza kuitwa kwenye interviews na hatimaye kupewa kazi.
5.Mshirikisheni Mungu kwa kila mnalofanya na muombe pamoja kulichukulia jambo hilo kwa uzito sana kwa sababu jambo lisiposogea kwenye ulimwengu wa roho hata ulimwengu wa mwili linabaki pale pale.
Ni matumaini yangu kazi za accounts na procurement zipo nying tu na ana advantage ya kufanya kazi miaka mitatu tena kwahiyo chances za yeye kupata kazi ni kubwa.
Nawatakia kila la heri.